Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania


"Do not argue with a fool because people won't notice the difference".
 
Haha we jamaa muongo sana kadanye wajinga wenzako huko Bukoba.

Mhaya mjinga kabisa.

Hiyo three ya makongo ndio uwe na akili??
 
Ushuzi mtupu, propaganda za kitoto mno hizo. Kakaeni chini muandike upya script.
 
Haha we jamaa muongo sana kadanye wajinga wenzako huko Bukoba.

Mhaya mjinga kabisa.

Hiyo three ya makongo ndio uwe na akili??
Najua uliwaga shule hukuwahi kupata Div nilizopata
 
Mtajuana wenyewe mi naangalia uchumi wangu sijali kuhusu uchumi wa inchi wala nini hata mkitaka kuuza tz yote uzeni2
 
Mleta mada umelipwa kiasi gani kuanzisha huu uzi wa kiwaki?
Mambo mengine mnajidhalilisha sana hata kama unatumia fake ID.
 
Mleta mada umelipwa kiasi gani kuanzisha huu uzi wa kiwaki?
Mambo mengine mnajidhalilisha sana hata kama unatumia fake ID.
Najua sindano imegusa mfupa ila vumilia tu.

Tanzania tumeamka na Kenya hatupati tena
 
Lord! Kwani wakenya hawaruhusiwi kuingia mkataba na DP World!! Akili yako ni fupi wewe kilaza
 
Lord! Kwani wakenya hawaruhusiwi kuingia mkataba na DP World!! Akili yako ni fupi wewe kilaza
Uzuri Ujinga na Akili hujitenga kwenye mitihani. Tutajitenga tu na wajinga wait and see 2025 haifiki. Mafuta na Maji yatajitenga
 
Uzuri Ujinga na Akili hujitenga kwenye mitihani. Tutajitenga tu na wajinga wait and see 2025 haifiki. Mafuta na Maji yatajitenga
Unajua maana ya kutoruhusu competitor wako aendelee ili wewe ndo utawale soko?
 
Unajua maana ya kutoruhusu competitor wako aendelee ili wewe ndo utawale soko?

Usisumbuke hawa jamaa akili kisoda, biashara bila ushindani ni ujinga mkubwa, halafu walivo wapuuzi matatizo yatokee nchini kwako ukaanze kusingizia nchi jirani huo ni upuuzi uliopitiliza
 
Sio kila anayepinga mkataba wenu wa kilaghai hana akili hapana wengine tunafahamu uwezo wenu kiakili ni mdogo ndio maana mnaunga mkono mikataba ya ujinga kama hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…