Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania

Usisumbuke hawa jamaa akili kisoda, biashara bila ushindani ni ujinga mkubwa, halafu walivo wapuuzi matatizo yatokee nchini kwako ukaanze kusingizia nchi jirani huo ni upuuzi uliopitiliza
Kwani wao wanahudumia Zambia?
Wanawapenda sana ndio maana wanaongea
 
Uko macho kwa kumpa mwarabu. 🤣🤣🤣🤣 Unawashambuliwa wakenya cause wanachati kiswahili au kiingereza unaelewa. Congo Mumbiji na kwingine hujui chochote. Hadi wahindi wanacheka
Sawa basi. Mwingereza nae ni kipofu kumpa mwarabu kuendesha bandari ya Southampton
 
Naunga mkono hoja
 
Kwani wao wanahudumia Zambia?
Wanawapenda sana ndio maana wanaongea

Biashara ilitakiwa isijifunge, kuruhusu monopolisation kwenye biashara ya bandari ni ujinga wa viongozi wa ccm usiomithirika kabisa, na lazima waelezwe ukweli kua hawajatumia akili kwenye huo mkataba
 
Kwa hiyo mkaamu bora kubutua mpira nje ukadondokee uarabuni?
 
Watanzania walishaona kwa Epa, Iptl, Net group Richmond nk. Mikataba ilipitishwa kwa makofi mengi..mwishowe ilijulikana kuwa hovyo kabisa..
 
Watanzania walishaona kwa Epa, Iptl, Net group Richmond nk. Mikataba ilipitishwa kwa makofi mengi..mwishowe ilijulikana kuwa hovyo kabisa..
 
Mmeulizwa kwa nini bandari za zanzibar hazihusiki mnakimbilia ooohh ubaguzi halafu hamjibu maswali haya mkataba ni wa muda gani miaka 10 , 20 au 30 ? Hamjibu yaani mnatuona sote wajinga wenzenu yani kama mlovowajinga mnahisi kila mtu ni mjinga? Shame on you makubwa jinga msiojielewa
 
Watanzania walishaona kwa Epa, Iptl, Net group Richmond nk. Mikataba ilipitishwa kwa makofi mengi..mwishowe ilijulikana kuwa hovyo kabisa..

Tuna uzoefu wa mikataba ya kipuuzi ya hawa jamaa anzia Epa, IPTL, migodini huko, mtwara kwenye gesi wanashangiliaga hivihivi baadae ukiwauliza wanakua hawana majibu
 
Watanzania walishaona kwa Epa, Iptl, Net group Richmond nk. Mikataba ilipitishwa kwa makofi mengi..mwishowe ilijulikana kuwa hovyo kabisa..
Epa ni mkataba kwani? Na ilipitishwa wapi? Na Bunge gani? Unajua hata maana ya Epa?

Iptl ilipitishwa na Bunge gani? Richmond ilipitishwa na Bunge gani?
 
Tuna uzoefu wa mikataba ya kipuuzi ya hawa jamaa anzia Epa, IPTL, migodini huko, mtwara kwenye gesi wanashangiliaga hivihivi baadae ukiwauliza wanakua hawana majibu
Ulivyosema epa ni mkataba tu nimeona wewe ni zumbukuku
 
CCM wana sera za kijamaa hawaujui ubepari ndio maana wanagawa rasilimali zetu burebure bila aibu maana wao hawajui ulimwengu wa kibepari unamaanisha nini na kamwe nchi haitonufaika kwa kubinafsisha vitu hiyo haitokuja kutokea kamwe
 
Ulivyosema epa ni mkataba tu nimeona wewe ni zumbukuku

Wewe ndezi hayo ni baadhi ya upuuzi uliofanywa na bado ukaacha machungu na maumivu kwa wananchi, ni ubinafsishaji gani serikali ya ccm iliwahi kufanya ikawa na matunda mazuri kwa nchi jibu ni hakuna hivo bora rasilimali mziache tu ziwepo
 
CCM wana sera za kijamaa hawaujui ubepari ndio maana wanagawa rasilimali zetu burebure bila aibu maana wao hawajui ulimwengu wa kibepari unamaanisha nini na kamwe nchi haitonufaika kwa kubinafsisha vitu hiyo haitokuja kutokea kamwe
Unajua NMB inaendeshwaje? Unajua kabla ya kubinafsishwa ilikuwa na hali gani?

Unajua kiwanda cha Bakhresa Tazara/ Buguruni kabla ya kubinafsishwa kilikuwa cha Serikali? Huoni ufanisi wake?

Umewahi panda treni ya kwenda kigoma inayoendeshwa na Serikali? Usafiri wake ukoje? Inaendeshwa kwa ufanisi?
 
Endlea kudanganya watu hapa JF.

Unapoteza muda wako bure tu hapa kutetea watu ambao hata hawajui if you exist.
Kwani kumbe hapa kazi yenu ni kutetea watu?
Mimi sitetei mtu ila natetea maendeleo ya kweli ya Tanzania
 
Kwani kumbe hapa kazi yenu ni kutetea watu?
Mimi sitetei mtu ila natetea maendeleo ya kweli ya Tanzania
Sasa wewe mjinga kuuza bandari ndio maendeleo.

Una akili ndogo mno ndio maana huwezi tofautisha kati ya kuibiwa na maendeleo?

Pumbavu kabisa.

Kumpa mgeni lango kuu la uchumi milele ni maendeleo??

Njaa tu zimepiga ubongo wako unadhani kusifia ujinga kutakutoa kimaisha.

Idiot.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…