Kwa mara ya kwanza leo nimekunywa bia

Yani lite alafu ndio unajifungia chumbani?? achana na hio itakuchelewesha sana kugundua unachotaka kufahamu. Vuta nondo aka Safari lager, mdomoni ladha tamu hizo utakunywa nyingi alafu sasa ndio utapata majibu unayotamani kuyapata.

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nitajaribu hiyo Jioni
 

Oooh What do you actually know about Taking beer Sips ?? Wanaokunywa bia wote ni masikini ??
 
Nimemaliza chupa moja nataka niongeze nyingine maana sifeel chochote [emoji16][emoji16]
Kama ni mara yako ya kwanza na umemaliza chupa moja haufeel chochote basi we ni una stress sio za dunia hii[emoji848]
 
Ili iweje Mkuu.! Sinywi zaidi ya Chupa Moja
Sasa chupa moja utaelewa vipi bia?

Gonga angalau 4 upate definition ya beer! Hio chupa alc vol. Itakuwa 4.3% nahisi kitu kama hicho sasa unatakiwa umeze walau 16% ndio uanze kuhisi kitu! Otherwise ni sawa na kula chapati moja na azam embe!
 
Sasa chupa moja utaelewa vipi bia?

Gonga angalau 4 upate definition ya beer! Hio chupa alc vol. Itakuwa 4.3% nahisi kitu kama hicho sasa unatakiwa umeze walau 16% ndio uanze kuhisi kitu! Otherwise ni sawa na kula chapati moja na azam embe!


Naona unavyoipigia promo ile kampuni yako 🙂
 
Pole, mkuu. Usijipeleke jehanum ya moto, please.
 
Sasa chupa moja utaelewa vipi bia?

Gonga angalau 4 upate definition ya beer! Hio chupa alc vol. Itakuwa 4.3% nahisi kitu kama hicho sasa unatakiwa umeze walau 16% ndio uanze kuhisi kitu! Otherwise ni sawa na kula chapati moja na azam embe!

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ila nimepata kafeeling fulani hivi swaafi. Jioni mida ya saa moja natenga 15k najifungia nizikamue zote
 
Soma Warumi 14:1 - utaelewa vizuri alfu ndio uje hapa nione kama utaendelea kubwabwaja.!


Kwa taarifa yako, dhaifu wanaozungumziwa pale ni wenye ^mawazo^ ama understanding. Sasa wewe na kujipeleka kote huko kujaribu visivyojaribiwa, tambua wala hata ^car-bee-sir^ hauko karibu na kategori hiyo ya wenye rehma hiyo. Umenisikia Mr. Mlevi, au niongeze volume!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…