Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
- Thread starter
-
- #41
Yani lite alafu ndio unajifungia chumbani?? achana na hio itakuchelewesha sana kugundua unachotaka kufahamu. Vuta nondo aka Safari lager, mdomoni ladha tamu hizo utakunywa nyingi alafu sasa ndio utapata majibu unayotamani kuyapata.
I am afraid your understanding, not only of specific issues, but even general knowledge, is obviously very poor & rudimentary. Msahafu ama Bible ikisema uwe na kiasi kwa mambo yote, haina maana kwamba umepewa ^pasipo-tea^ na Green Card ya kufakamia ^killer-key-2^ Which school did you go, even!??? 🙂
Last but not least, ukadiriaji wako wa mafanikio kwa kutumia idadi ya viwanda na magari amilikiyo mhusika ni hoja FUPI SANA isiyokubalika popote.
Kama ni mara yako ya kwanza na umemaliza chupa moja haufeel chochote basi we ni una stress sio za dunia hii[emoji848]Nimemaliza chupa moja nataka niongeze nyingine maana sifeel chochote [emoji16][emoji16]
Sasa chupa moja utaelewa vipi bia?Ili iweje Mkuu.! Sinywi zaidi ya Chupa Moja
Oooh What do you actually know about Taking beer Sips ?? Wanaokunywa bia wote ni masikini ??
Mrejesho pls.
Sasa chupa moja utaelewa vipi bia?
Gonga angalau 4 upate definition ya beer! Hio chupa alc vol. Itakuwa 4.3% nahisi kitu kama hicho sasa unatakiwa umeze walau 16% ndio uanze kuhisi kitu! Otherwise ni sawa na kula chapati moja na azam embe!
Pole, mkuu. Usijipeleke jehanum ya moto, please.Habari za wakati huu wanaJf, Ni asubuhi tulivu watu mko katika majukum yenu ya kila siku. Eeeh bhana leo kwa mara ya kwanza nimeamua kunywa Bia nijue Inaleta feeling gani mpaka watu wanakesha Bar au Wakati mwingine kutelekeza familia zao.
Nimeanza Castle lite, Ni chungu [emoji36][emoji36]ila ngoja nijikaze tu mpaka iishe nione nitakuwaje baada ya hapo. Sitaki kuwa mtu wa kusimuliwa utamu wakati utamu wenyewe naweza upata kwa hela zangu.
Nimewahi kutumia wine zenye 15% Alcohol, I didn’t feel anything exciting about it. Wacha nijaribu sasa hili dude.
View attachment 1767229
Hapo ilipofikia nimepamvana sana, ila nitajilazimisha iishe ili nione au ni feel hiyo feeling walevi inawachanganya.
Wish Me Luck [emoji18]
Ukweli mchunguJiandae kuwa maskini wa akili, mali na roho
Ndio beer nayopenda ingawa sahizi nimekacha beer napiga spirit na wines tu! Kitambi kilikuja kwa kasi na mashavu nataka vipungue aisee!Naona unavyoipigia promo ile kampuni yako 🙂
Sasa chupa moja utaelewa vipi bia?
Gonga angalau 4 upate definition ya beer! Hio chupa alc vol. Itakuwa 4.3% nahisi kitu kama hicho sasa unatakiwa umeze walau 16% ndio uanze kuhisi kitu! Otherwise ni sawa na kula chapati moja na azam embe!
Pole, mkuu. Usijipeleke jehanum ya moto, please.
Pole, mkuu. Usijipeleke jehanum ya moto, please.
Castle ina mzuka wa haraka kuliko chui lite! Ni nzito hio beer[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ila nimepata kafeeling fulani hivi swaafi. Jioni mida ya saa moja natenga 15k najifungia nizikamue zote
Unaambiwa yumo sitting room ya jehanamu teyari
Kama ni mara yako ya kwanza na umemaliza chupa moja haufeel chochote basi we ni una stress sio za dunia hii[emoji848]
Soma Warumi 14:1 - utaelewa vizuri alfu ndio uje hapa nione kama utaendelea kubwabwaja.!