Kwa mara ya kwanza leo nimekunywa bia

Ongeza ya nyingine tano nitalipia mimi. Welcome to the world. Ukiona unaanza kuongea kiingereza na kuona kila demu mzuri rudi nyumbani
 
Kwa chupa moja mkuu hutapata kitu aisee. Halafu achana na castle lite na hili baridi hutapata stim mapema, piga konyagi au value. Ila kwakua we ni mgeni ungepiga safari kubwa moja au castle lager.
KARIBU CHAMANI

NAWASILISHA

Value tena ?? [emoji3][emoji3][emoji3] Ila Shukrani sana Mkuu nimekaribia.
 
Haya Mambo ya kujaribu.
Kuna dogo alijaribu banana.
Alishindwa kutembea akabaki anacheka Cheka tu
 
Vip, kingereza kinamwagika sawa sawa, maana niliwahi sikia kuwa ukilewa kingereza unaongea kama maji nanavyo mwagika
 
Kuna mambo kama hujawahi kufanya ni suala lamkushukuru na kumwomba Mungu usithubutu kuyafanya.
 
Wewe inakuharibu? Mimi sikuwa napenda the feeling of being drunk.
Mimi hapana, kwanza mimi nikinywa huwa nakua mchangamfu sana na kama kuna watoto pembeni watafurahi nitawakusanya pamoja nakuanza kuwafundisha huwa inakuaga kituko sana ila wanainjoi, mimi huwa na kunywa kwa kiasi na pia huwa nazingatia mood,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…