Mangi kwa hiyo Nairobi haina hoteli nyingi kama za Arusha ?hivi yale mabanda ya hoteli pale arusha mjini nazo ni hotel au ni vyumba vya kulala wageni?Broo nimezaliwa kaskazini Arusha haijawahi kushuka kiutali isipokuwa kipindi cha corona 2020-2021 na sera mbovu za Magu, ndiyo maana Arusha ina hoteli nyingi sn za kitalii kuliko mji wowote hapa EAC
Hivi unafikiri kila binadamu ni tapeli kama mzee mbowe?Baadae kitakufa, wakati nakuwa nilikutana na kilimo kwanza ikafa, ikaja BRN ikafa, serikali ya viwanda ikafa(viwanda mia 3 kila mkoa ya Jafo), royal tour ikafa, leo maigizo ya land rover sijui hakuna lolote, ukiambiwa budget na kitakachopatikana ni mbingu na ardhi, TRA huwa wanasema wamekusanya 3T lakini huwezi kusikia wanasoma mapato na matumizi hata siku moja ni utapeli tapeli tu
Huwezi kuelewa wewe UWTKwa hiyo Dangote anafanya biashara ya hasara ?hii mipuuzi ya chadema sijui ilizaliwa na wazazi wa aina gani aisee? SHAME
Ni sawa kuliko nyie UWTNadhani mzee mbowe amewavutisha bangi misukule yote ya chaggadema aisee
UWT jifunze hata kuandika mbowe=MboweHivi unafikiri kila binadamu ni tapeli kama mzee mbowe?
Na Makonda asinge sema hivyo zisingefika hata Land-rover 50 Arusha nakuambia!![emoji113]Hii kitu inaweza kugeuka kuwa kitu kikubwa hata majirani wakaanza kushiriki.
Simkubali ila hii inaweza kuvutia watalii kama ulivyosema. Sema aache kujifanya wazir wa nchi eti trafiki akikukamata mwambie anipigie mimi. Yani utoke mbeya na gari bovu trafiki wakuache kisa makonda kasema.
Konda afanye awezavyo - uhamisho ukija bado itakuwa sawa - kule nako atafanya mengine - kinachompa konda sifa ni uwezo binafsi na ubunifu.Akiwa DC wa Kinondoni kwa ushirikiano na Ruge Mutahaba alianzisha Malkia wa Nguvu na yeye kuvishwa taji ya Balkia wa Nguvu na hapa ndipo akina sisi watu wa βKauli Umbaβ tukamtolea kauli humu humu JFοΌ iliyomuumbia u RC
wa DSM Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Naomba kuheshimu mawazo yako hata kwa kuliona hili moja tuu ni mwanzo mzuri wa kumuangazia Konda Boy with positive prospective outlook kutoka kwa mtu kama weweοΌ it does something good for him and his endeavors on the aspect the power of positive thinking that will make this festival a big thing in futureοΌ wasiwasi wangu ni kitu kinachoitwa continuity on the part of mamlaka yake ya uteuziοΌ βukipata tuu a "limelightβ kosaοΌοΌ utaonekana you are trying to steals the showοΌunang'olewaοΌ. Inferiority complex ni tatizo on her partοΌοΌ kuna mtu alitumbuliwa uwaziri kwa kosa la kupiga picha na rais fulaniοΌ. Baada ya mwenezi kung'araοΌ akaonekana ana overshineοΌ akaondolewaοΌοΌ baada ya Jerry Slaa kushine ardhiοΌ akaondolewaοΌοΌ baada ya Mtaka kushine DodomaοΌ akatupwa NjombeοΌοΌ hivyo dogo akishine sana ArachugaοΌ huchelewi kusikia amehamishwa kuwa RC Lindi au SingidaοΌ where is the continuityοΌ
P
Tatizo ni umasikini wako yaani ukifika Arusha unaishia mitaa ya makao mapya.next time ukija Arusha tuulize upelekwe maeneo yenye hoteli.Mangi kwa hiyo Nairobi haina hoteli nyingi kama za Arusha ?hivi yale mabanda ya hoteli pale arusha mjini nazo ni hotel au ni vyumba vya kulala wageni?
mboweUWT jifunze hata kuandika mbowe=Mbowe
Hizo hotel za nyota tano ziko chache sana MangiTatizo ni umasikini wako yaani ukifika Arusha unaishia mitaa ya makao mapya.next time ukija Arusha tuulize upelekwe maeneo yenye hoteli.
Ila hakikisha una hela
Nyie UWT ni vilaza snmbowe
Mwache akikua atapungaza mihemko!Mangi kwa hiyo Nairobi haina hoteli nyingi kama za Arusha ?hivi yale mabanda ya hoteli pale arusha mjini nazo ni hotel au ni vyumba vya kulala wageni?
Hotel nyingi Arusha za kawaida sana mimi nijuavyo hotel ziko Serengeti na Karatu huko!Tatizo ni umasikini wako yaani ukifika Arusha unaishia mitaa ya makao mapya.next time ukija Arusha tuulize upelekwe maeneo yenye hoteli.
Ila hakikisha una hela
Mnatia KINYAA,hivi wewe unekuwa msemaji wa DANGOTE tokea lini ? Tafauta kazi ya kufanya Mangi ,unafikiri kupata uwekezaji wa kiwango alichowekeza DANGOTE ni kama kutupia picha ya jumba la mzee mbowe humu ehe?Huwezi kuelewa wewe UWT
Ujue ni ubunifu wa watu wa Arusha na sio Makonda. Kwani Samia ndiye aliyebuni Royal Tour?Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana.
Katika kumfuatilia kwangu tangu akiwa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, then Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mpaka alivyokuwa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi na sasa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nadhani amefanya jambo moja tu ambalo naliona kama jambo la maana lenye impact chanya kwenye uchumi wa nchi.
Jambo hili ni huu ubinifu wa Land Rover Festival!
Pamoja na Rais Samia kuanza kusemwa vibaya na media za kimataifa ila tunakumbuka kuwa kwa muda wa miaka 3 sasa media hizi zilikuwa zikimsema vizuri sana hadi kuleta impact kubwa sana kwenye sekta ya utalii ambayo ndo chanzo chetu kikuu cha fedha za kigeni zinazotunisha mfuko wetu wa Benki Kuu bila kusahau uwekezaji wa kigeni (FDI)
Ni dhahili sasa kuwa, suala hili la Land Rover Festival ni ubunifu mkubwa sana katika kupiga chapuo ukuaji wa Utalii nchini Tanzania na kuufanya ukue zaidi katika siku za mbeleni na kuongeza mapato ya Taifa.
Nimependa publicity ya hili tukio na kusema kweli publicity hii ikienda hewani hadi kimataifa inaweza kuja kufanya mwaka kesho wakaja hadi waingereza na wajerumani kuja kushiriki hili Tamasha kwa kuleta magari yao.
Soma Pia: RC Makonda: Oktoba 2024 tuna maonesho ya Landcruiser, Range na Landrover 1000
Mwisho pamoja na kumpongeza Makonda kwa hii creativity na publicity yenye matokeo chanya kwenye uchumi wa nchi.
Napendekeza pia Festival hii ihusishe matukio ya burudani kama vile mziki na maonyesho ya vyakula mbalimbali vya kitanzania.
Hili kusema kweli litakuza sana Utalii wetu na miaka ya mbeleni linaweza kuja kuwa Tamasha kubwa kama yale ya Carnival (Brazil) na mengineyo tunayoyafahamu Duniani.
Pili najua huu ni mwanzo ila ni vizuri Tamasha hili likawa linafanyika hata kwa Wiki nzima ili kuweka nafasi ya matukio mengi kufanyika.
Hongera Makonda. Huu ndo ubunifu tunaoutaka sio yale mambo yako ya kijinga ya kuchongea watu, ufitini, wivu wa madaraka, ufisadi, na kutafuta cheap popularity!
Keep it up!
Lord denning
Jenga na wewe acha wivu wa kijingaMnatia KINYAA,hivi wewe unekuwa msemaji wa DANGOTE tokea lini ? Tafauta kazi ya kufanya Mangi ,unafikiri kupata uwekezaji wa kiwango alichowekeza DANGOTE ni kama kutupia picha ya jumba la mzee mbowe humu ehe?