Kwa Mara ya kwanza Napongeza Ubunifu alioufanya Makonda Arusha

Kwa Mara ya kwanza Napongeza Ubunifu alioufanya Makonda Arusha

Akiwa DC wa Kinondoni kwa ushirikiano na Ruge Mutahaba alianzisha Malkia wa Nguvu na yeye kuvishwa taji ya Balkia wa Nguvu na hapa ndipo akina sisi watu wa “Kauli Umba” tukamtolea kauli humu humu JF, iliyomuumbia u RC
wa DSM Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam

Naomba kuheshimu mawazo yako hata kwa kuliona hili moja tuu ni mwanzo mzuri wa kumuangazia Konda Boy with positive prospective outlook kutoka kwa mtu kama wewe, it does something good for him and his endeavors on the aspect the power of positive thinking that will make this festival a big thing in future, wasiwasi wangu ni kitu kinachoitwa continuity on the part of mamlaka yake ya uteuzi, ”ukipata tuu a "limelight” kosa!, utaonekana you are trying to steals the show!unang'olewa!. Inferiority complex ni tatizo on her part!, kuna mtu alitumbuliwa uwaziri kwa kosa la kupiga picha na rais fulani!. Baada ya mwenezi kung'ara, akaonekana ana overshine, akaondolewa!, baada ya Jerry Slaa kushine ardhi, akaondolewa!, baada ya Mtaka kushine Dodoma, akatupwa Njombe!, hivyo dogo akishine sana Arachuga, hichelewi kusikia amehamishwa kuwa RC Lindi au Singida, where is the continuity?

P
Imagine kwa hii thinking wewe ndo unanafuu... imagine wewe mwenye nafuu unaowazidi ndo hao wengine ma DC, RCs, Mawaziri nkt. Imagine hii thinking inatawala na kubuni mbinu za mwafrika kutoka hapa kuelekea pale...

Naungana na waliowahi sema "Mwafrika bado sana hajaweza kujitawala"
 
Hujielewi, how is that related to Samia? Utalii uko promoted only na wa fanya Biashara, na unaharibiwa na serikali!
Kama una akili kidogo tu, utaelewa!

Kama una akili kweli, soma kichwa cha Habari na Comment yangu uliyojibu, How is Samia related to report ya 2000 na 2016? Unesahau akili yako kwa mchepuko?
Dada angu wewe huwezi kuelewa hizi mambo
 
Mkuu unachosema ni kweli, ila mleta mada kasema pamoja na mapungufu yote aliyo nayo Makonda kwa hili ni ubunifu wenye tija kwa Taifa.

Na ni kweli!!

Mkuu ukumbuke kuwa hata saa mbovu kuna muda husema majira sahihi.
Mi sikatai lakini mwendelezo wake ni upi?
 
Oooh sawa. Ila hata kwa kulichukua na kulifanya liwe namna lilivyofanywa anastahili pongezi zetu.

Nategemea kuwaona Mawaziri wa Utalii na Habari wakishiriki kulipa publicity kubwa hili tukio ili liwe na manufaa tuliyoyasema humu.
Kwanini sasa litafanyika Mjini kuleta usumbufu wa foleni badala ya kufanya huko mbugani ili kutangaza huo utalii vizuri?
 
Kwanini sasa litafanyika Mjini kuleta usumbufu wa foleni badala ya kufanya huko mbugani ili kutangaza huo utalii vizuri?
Nimesikia kesho wana ratiba ya kwenda mbugani.

Ni jambo zuri usumbugu mdogo lazima utokee. Tutizame faida yake zaidi
 
Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana.

Katika kumfuatilia kwangu tangu akiwa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, then Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mpaka alivyokuwa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi na sasa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nadhani amefanya jambo moja tu ambalo naliona kama jambo la maana lenye impact chanya kwenye uchumi wa nchi.

Jambo hili ni huu ubinifu wa Land Rover Festival!

Pamoja na Rais Samia kuanza kusemwa vibaya na media za kimataifa ila tunakumbuka kuwa kwa muda wa miaka 3 sasa media hizi zilikuwa zikimsema vizuri sana hadi kuleta impact kubwa sana kwenye sekta ya utalii ambayo ndo chanzo chetu kikuu cha fedha za kigeni zinazotunisha mfuko wetu wa Benki Kuu bila kusahau uwekezaji wa kigeni (FDI)

Ni dhahili sasa kuwa, suala hili la Land Rover Festival ni ubunifu mkubwa sana katika kupiga chapuo ukuaji wa Utalii nchini Tanzania na kuufanya ukue zaidi katika siku za mbeleni na kuongeza mapato ya Taifa.

Nimependa publicity ya hili tukio na kusema kweli publicity hii ikienda hewani hadi kimataifa inaweza kuja kufanya mwaka kesho wakaja hadi waingereza na wajerumani kuja kushiriki hili Tamasha kwa kuleta magari yao.

Soma Pia: RC Makonda: Oktoba 2024 tuna maonesho ya Landcruiser, Range na Landrover 1000

Mwisho pamoja na kumpongeza Makonda kwa hii creativity na publicity yenye matokeo chanya kwenye uchumi wa nchi.

Napendekeza pia Festival hii ihusishe matukio ya burudani kama vile mziki na maonyesho ya vyakula mbalimbali vya kitanzania.

Hili kusema kweli litakuza sana Utalii wetu na miaka ya mbeleni linaweza kuja kuwa Tamasha kubwa kama yale ya Carnival (Brazil) na mengineyo tunayoyafahamu Duniani.

Pili najua huu ni mwanzo ila ni vizuri Tamasha hili likawa linafanyika hata kwa Wiki nzima ili kuweka nafasi ya matukio mengi kufanyika.


Hongera Makonda. Huu ndo ubunifu tunaoutaka sio yale mambo yako ya kijinga ya kuchongea watu, ufitini, wivu wa madaraka, ufisadi, na kutafuta cheap popularity!

Keep it up!

Lord denning
Pongezi nyingi kwake,
Nimesikia akisema kuwa;
1. Nov kuna Balloons Festival, kwamba ballons Parachuti zote za Africa Mashariki zitahusika.
2. Dec kuna Festival nyingine inayohusu mataifa zaidi ya 12 na hayo mataifa yataonesha culture zao kuanzia vyakula hadi mapambo katika mtaa watakao gaiwa hapo mjini kati Mwezi huo.

Nasikitika Ma RC kama Chalamila anashindwa hata kukusanya watu kusema Beach festival watu wakakusanye uchafu kule kusafisha fukwe zetu, mahala kama Dar ndipo angeweza kufanya wonders lkn bahati mbaya ubunifu umeishia kwenye kucheza Singeli!
 
Kwa kweli kwenye haya anastahili pongezi zetu. Sekta ya utalii Tanzania inahitaji vitu vingi kufikia it's potential na kimoja wapo ni publicity na matukio ya namna hii
Pongezi nyingi kwake,
Nimesikia akisema kuwa;
1. Nov kuna Balloons Festival, kwamba ballons Parachuti zote za Africa Mashariki zitahusika.
2. Dec kuna Festival nyingine inayohusu mataifa zaidi ya 12 na hayo mataifa yataonesha culture zao kuanzia vyakula hadi mapambo katika mtaa watakao gaiwa hapo mjini kati Mwezi huo.

Nasikitika Ma RC kama Chalamila anashindwa hata kukusanya watu kusema Beach festival watu wakakusanye uchafu kule kusafisha fukwe zetu, mahala kama Dar ndipo angeweza kufanya wonders lkn bahati mbaya ubunifu umeishia kwenye kucheza Singeli!
 
Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana.

Katika kumfuatilia kwangu tangu akiwa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, then Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mpaka alivyokuwa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi na sasa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nadhani amefanya jambo moja tu ambalo naliona kama jambo la maana lenye impact chanya kwenye uchumi wa nchi.

Jambo hili ni huu ubinifu wa Land Rover Festival!

Pamoja na Rais Samia kuanza kusemwa vibaya na media za kimataifa ila tunakumbuka kuwa kwa muda wa miaka 3 sasa media hizi zilikuwa zikimsema vizuri sana hadi kuleta impact kubwa sana kwenye sekta ya utalii ambayo ndo chanzo chetu kikuu cha fedha za kigeni zinazotunisha mfuko wetu wa Benki Kuu bila kusahau uwekezaji wa kigeni (FDI)

Ni dhahili sasa kuwa, suala hili la Land Rover Festival ni ubunifu mkubwa sana katika kupiga chapuo ukuaji wa Utalii nchini Tanzania na kuufanya ukue zaidi katika siku za mbeleni na kuongeza mapato ya Taifa.

Nimependa publicity ya hili tukio na kusema kweli publicity hii ikienda hewani hadi kimataifa inaweza kuja kufanya mwaka kesho wakaja hadi waingereza na wajerumani kuja kushiriki hili Tamasha kwa kuleta magari yao.

Soma Pia: RC Makonda: Oktoba 2024 tuna maonesho ya Landcruiser, Range na Landrover 1000

Mwisho pamoja na kumpongeza Makonda kwa hii creativity na publicity yenye matokeo chanya kwenye uchumi wa nchi.

Napendekeza pia Festival hii ihusishe matukio ya burudani kama vile mziki na maonyesho ya vyakula mbalimbali vya kitanzania.

Hili kusema kweli litakuza sana Utalii wetu na miaka ya mbeleni linaweza kuja kuwa Tamasha kubwa kama yale ya Carnival (Brazil) na mengineyo tunayoyafahamu Duniani.

Pili najua huu ni mwanzo ila ni vizuri Tamasha hili likawa linafanyika hata kwa Wiki nzima ili kuweka nafasi ya matukio mengi kufanyika.


Hongera Makonda. Huu ndo ubunifu tunaoutaka sio yale mambo yako ya kijinga ya kuchongea watu, ufitini, wivu wa madaraka, ufisadi, na kutafuta cheap popularity!

Keep it up!

Lord denning
of course amefanya kitu kizuri. naamini waingereza watakuwa wameona namna landrover ilivyopiga promo na wanaweza kusapoti mwakani.
 
Kama wana business analyst mzuri anaweza washauri wawe na kiwanda kabisa hapa Tanzania as inawapa picha kuwa gari zao zinapendwa na kukubaliwa pia
of course amefanya kitu kizuri. naamini waingereza watakuwa wameona namna landrover ilivyopiga promo na wanaweza kusapoti mwakani.
 
Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana.

Katika kumfuatilia kwangu tangu akiwa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, then Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mpaka alivyokuwa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi na sasa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nadhani amefanya jambo moja tu ambalo naliona kama jambo la maana lenye impact chanya kwenye uchumi wa nchi.

Jambo hili ni huu ubinifu wa Land Rover Festival!

Pamoja na Rais Samia kuanza kusemwa vibaya na media za kimataifa ila tunakumbuka kuwa kwa muda wa miaka 3 sasa media hizi zilikuwa zikimsema vizuri sana hadi kuleta impact kubwa sana kwenye sekta ya utalii ambayo ndo chanzo chetu kikuu cha fedha za kigeni zinazotunisha mfuko wetu wa Benki Kuu bila kusahau uwekezaji wa kigeni (FDI)

Ni dhahili sasa kuwa, suala hili la Land Rover Festival ni ubunifu mkubwa sana katika kupiga chapuo ukuaji wa Utalii nchini Tanzania na kuufanya ukue zaidi katika siku za mbeleni na kuongeza mapato ya Taifa.

Nimependa publicity ya hili tukio na kusema kweli publicity hii ikienda hewani hadi kimataifa inaweza kuja kufanya mwaka kesho wakaja hadi waingereza na wajerumani kuja kushiriki hili Tamasha kwa kuleta magari yao.

Soma Pia: RC Makonda: Oktoba 2024 tuna maonesho ya Landcruiser, Range na Landrover 1000

Mwisho pamoja na kumpongeza Makonda kwa hii creativity na publicity yenye matokeo chanya kwenye uchumi wa nchi.

Napendekeza pia Festival hii ihusishe matukio ya burudani kama vile mziki na maonyesho ya vyakula mbalimbali vya kitanzania.

Hili kusema kweli litakuza sana Utalii wetu na miaka ya mbeleni linaweza kuja kuwa Tamasha kubwa kama yale ya Carnival (Brazil) na mengineyo tunayoyafahamu Duniani.

Pili najua huu ni mwanzo ila ni vizuri Tamasha hili likawa linafanyika hata kwa Wiki nzima ili kuweka nafasi ya matukio mengi kufanyika.


Hongera Makonda. Huu ndo ubunifu tunaoutaka sio yale mambo yako ya kijinga ya kuchongea watu, ufitini, wivu wa madaraka, ufisadi, na kutafuta cheap popularity!

Keep it up!

Lord denning
Wajinga ndio waliwao

Tuna safari ndefu sana ya kujitambua

Umejiuliza nani amefadhili hili?
Kwa pesa ya nani? Kwa faida ya nani? Why now?
Endeleeni kusifu na kuabudu.

Huyu na matukio yooooote bado mnamsifu ?
Kuna watu wanalia usiku na mchana kwa kudhulumiwa mengi ninyi mpo humu kumshangilia kafanya jambo. Lipi jambo?

Tuombe Neema ya Mungu kwa Taifa lipate kukombolewa.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika mwenyewe.
 
Kama wana business analyst mzuri anaweza washauri wawe na kiwanda kabisa hapa Tanzania as inawapa picha kuwa gari zao zinapendwa na kukubaliwa pia
hizo defender zilishastop kuzalishwa, hazizalishwi tena na hawategemei kuzalisha kama hizo. siku hizi zipo zile soft ambazo moja inauzwa milioni kama 400 za kitanzania, ambapo hata wakiweka kiwanda hapa bongo hakuna atakayenunua. kuweka kiwanda hua wanaangalia na wateja wao. wanachotakiwa kufanya hapo, ni kulenga kutangaza utalii na kuwavuta landrover wawasponse kwenye festive zingine na kwenye mashindano mengine. manake hapo tumewapiga bao hata wakenya hawajawahi kuwa na icho kitu.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom