Kwa Mara ya kwanza Napongeza Ubunifu alioufanya Makonda Arusha

Kwa Mara ya kwanza Napongeza Ubunifu alioufanya Makonda Arusha

Kuhusu gharama iyo hoja nyingine. All in all mimi uzi wangu umejikita kwenye festival yenyewe na faida yake kwa nchi kiutalii na kiuchumi kuanzia sasa hadi miaka ijayo huko.
Wajinga ndio waliwao

Tuna safari ndefu sana ya kujitambua

Umejiuliza nani amefadhili hili?
Kwa pesa ya nani? Kwa faida ya nani? Why now?
Endeleeni kusifu na kuabudu.

Huyu na matukio yooooote bado mnamsifu ?
Kuna watu wanalia usiku na mchana kwa kudhulumiwa mengi ninyi mpo humu kumshangilia kafanya jambo. Lipi jambo?

Tuombe Neema ya Mungu kwa Taifa lipate kukombolewa.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika mwenyewe.
 
of course amefanya kitu kizuri. naamini waingereza watakuwa wameona namna landrover ilivyopiga promo na wanaweza kusapoti mwakani.
Watakaofaidi ni wale watakaopanda ndege kwenda Dubai kula mema ya nchi na wa Dubai kuja kuchukua tuliyojaliwa na Muumba katika ardhi yetu!
 
Pongezi nyingi kwake,
Nimesikia akisema kuwa;
1. Nov kuna Balloons Festival, kwamba ballons Parachuti zote za Africa Mashariki zitahusika.
2. Dec kuna Festival nyingine inayohusu mataifa zaidi ya 12 na hayo mataifa yataonesha culture zao kuanzia vyakula hadi mapambo katika mtaa watakao gaiwa hapo mjini kati Mwezi huo.

Nasikitika Ma RC kama Chalamila anashindwa hata kukusanya watu kusema Beach festival watu wakakusanye uchafu kule kusafisha fukwe zetu, mahala kama Dar ndipo angeweza kufanya wonders lkn bahati mbaya ubunifu umeishia kwenye kucheza Singeli!
Una shida gani na singeli brother
 
Nimesikia kesho wana ratiba ya kwenda mbugani.

Ni jambo zuri usumbugu mdogo lazima utokee. Tutizame faida yake zaidi
Huyu mzungu jamaa yangu naona yeye hajaenda arusha
Ila hyo festival jamaa Ana burudika sana 😄

Ova
 

Attachments

  • 20241012_104955.jpg
    20241012_104955.jpg
    536.2 KB · Views: 1
Wabongo wanashangaza sana, yani badala ya kuangalia nini kimefanywa anaangalia kwanza nani kafanya na ndio maana inawapa shida kupongeza tu pale anapoona jambo zuri limefanywa na asiyempenda.
 
Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana.

Katika kumfuatilia kwangu tangu akiwa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, then Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mpaka alivyokuwa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi na sasa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nadhani amefanya jambo moja tu ambalo naliona kama jambo la maana lenye impact chanya kwenye uchumi wa nchi.

Jambo hili ni huu ubinifu wa Land Rover Festival!

Pamoja na Rais Samia kuanza kusemwa vibaya na media za kimataifa ila tunakumbuka kuwa kwa muda wa miaka 3 sasa media hizi zilikuwa zikimsema vizuri sana hadi kuleta impact kubwa sana kwenye sekta ya utalii ambayo ndo chanzo chetu kikuu cha fedha za kigeni zinazotunisha mfuko wetu wa Benki Kuu bila kusahau uwekezaji wa kigeni (FDI)

Ni dhahili sasa kuwa, suala hili la Land Rover Festival ni ubunifu mkubwa sana katika kupiga chapuo ukuaji wa Utalii nchini Tanzania na kuufanya ukue zaidi katika siku za mbeleni na kuongeza mapato ya Taifa.

Nimependa publicity ya hili tukio na kusema kweli publicity hii ikienda hewani hadi kimataifa inaweza kuja kufanya mwaka kesho wakaja hadi waingereza na wajerumani kuja kushiriki hili Tamasha kwa kuleta magari yao.

Soma Pia: RC Makonda: Oktoba 2024 tuna maonesho ya Landcruiser, Range na Landrover 1000

Mwisho pamoja na kumpongeza Makonda kwa hii creativity na publicity yenye matokeo chanya kwenye uchumi wa nchi.

Napendekeza pia Festival hii ihusishe matukio ya burudani kama vile mziki na maonyesho ya vyakula mbalimbali vya kitanzania.

Hili kusema kweli litakuza sana Utalii wetu na miaka ya mbeleni linaweza kuja kuwa Tamasha kubwa kama yale ya Carnival (Brazil) na mengineyo tunayoyafahamu Duniani.

Pili najua huu ni mwanzo ila ni vizuri Tamasha hili likawa linafanyika hata kwa Wiki nzima ili kuweka nafasi ya matukio mengi kufanyika.


Hongera Makonda. Huu ndo ubunifu tunaoutaka sio yale mambo yako ya kijinga ya kuchongea watu, ufitini, wivu wa madaraka, ufisadi, na kutafuta cheap popularity!

Keep it up!

Lord denning
Ki ukweli Makonda ni KIONGOZI. Anajua kuitendea kazi kila nafasi anayopewa.
 
Wajinga ndio waliwao

Tuna safari ndefu sana ya kujitambua

Umejiuliza nani amefadhili hili?
Kwa pesa ya nani? Kwa faida ya nani? Why now?
Endeleeni kusifu na kuabudu.

Huyu na matukio yooooote bado mnamsifu ?
Kuna watu wanalia usiku na mchana kwa kudhulumiwa mengi ninyi mpo humu kumshangilia kafanya jambo. Lipi jambo?

Tuombe Neema ya Mungu kwa Taifa lipate kukombolewa.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika mwenyewe.
Kwa hili kafanya vzr, nyeupe nyeupe,nyeusi nyeusi hakuna haja ya kuwa negative muda wote.Roho mbaya tu unayo
 
Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana.

Katika kumfuatilia kwangu tangu akiwa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, then Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mpaka alivyokuwa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi na sasa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nadhani amefanya jambo moja tu ambalo naliona kama jambo la maana lenye impact chanya kwenye uchumi wa nchi.

Jambo hili ni huu ubinifu wa Land Rover Festival!

Pamoja na Rais Samia kuanza kusemwa vibaya na media za kimataifa ila tunakumbuka kuwa kwa muda wa miaka 3 sasa media hizi zilikuwa zikimsema vizuri sana hadi kuleta impact kubwa sana kwenye sekta ya utalii ambayo ndo chanzo chetu kikuu cha fedha za kigeni zinazotunisha mfuko wetu wa Benki Kuu bila kusahau uwekezaji wa kigeni (FDI)

Ni dhahili sasa kuwa, suala hili la Land Rover Festival ni ubunifu mkubwa sana katika kupiga chapuo ukuaji wa Utalii nchini Tanzania na kuufanya ukue zaidi katika siku za mbeleni na kuongeza mapato ya Taifa.

Nimependa publicity ya hili tukio na kusema kweli publicity hii ikienda hewani hadi kimataifa inaweza kuja kufanya mwaka kesho wakaja hadi waingereza na wajerumani kuja kushiriki hili Tamasha kwa kuleta magari yao.

Soma Pia: RC Makonda: Oktoba 2024 tuna maonesho ya Landcruiser, Range na Landrover 1000

Mwisho pamoja na kumpongeza Makonda kwa hii creativity na publicity yenye matokeo chanya kwenye uchumi wa nchi.

Napendekeza pia Festival hii ihusishe matukio ya burudani kama vile mziki na maonyesho ya vyakula mbalimbali vya kitanzania.

Hili kusema kweli litakuza sana Utalii wetu na miaka ya mbeleni linaweza kuja kuwa Tamasha kubwa kama yale ya Carnival (Brazil) na mengineyo tunayoyafahamu Duniani.

Pili najua huu ni mwanzo ila ni vizuri Tamasha hili likawa linafanyika hata kwa Wiki nzima ili kuweka nafasi ya matukio mengi kufanyika.


Hongera Makonda. Huu ndo ubunifu tunaoutaka sio yale mambo yako ya kijinga ya kuchongea watu, ufitini, wivu wa madaraka, ufisadi, na kutafuta cheap popularity!

Keep it up!

Lord denning
Chadema watakuponda sana
 
Uongozi wa Tanzania ni wa hovyo hakuna mtu atakuja kufungua kiwanda kikubwa hapa maana sera za hapa zinategemea matamko ya Rais aliyepo madarakani, alijaribu Dangote lakini mwisho anasua sua tu sababu ya sera mbovu na kodi za kijinga.
Kwa hiyo Dangote anafanya biashara ya hasara ?hii mipuuzi ya chadema sijui ilizaliwa na wazazi wa aina gani aisee? SHAME
 
Back
Top Bottom