Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

mwalimu unababaika sana aise, unakwamia wapi kwani? 🐒

halafu ni wewe pekeyako ndio hujaelewa, unababaika na grammar, si urekebishe tu taratibu na hawa hawa wangwana wa JF wajifunze na kufahamu usahihi wa hizo grammar taratibu na tusonge mbele pamoja 🐒

hata hivyo ile muhimu zaidi ni content. ukiona content inakufaa unaichukua na ukiona haina maana unatembea mbele taratibu bila kumkanyaga mwenzio kwa kebehi, dhihaka wala mchecheto 🐒

Lakini pia hii kazi ya wanainchi, wewe huna haja kubabaika nayo, hiyo nang'ang'ana nayo mimi na wao mpka tufike pale ambapo tumelenga na tumekubaliana kufika 🐒

Jambo la maana zaidi, nadhani wewe ungesaidia sana kurekebisha sarufi tu kwenye mabandiko ya maana kama haya, hii kazi inakufaa sana mwalimu, inakupendeza sana, na kwakweli nimekufurahia sana kwahilo 🌹

kwako mwalimu Matrix19
Hii ndio comment yangu ya mwisho hapa maana hujibu maswali ya msingi unaendelea kuandika upuuzi ambao sioni haja ya kuendelea kuusoma au kukujibu..
 
mwalimu unababaika sana aise, unakwamia wapi kwani? 🐒

halafu ni wewe pekeyako ndio hujaelewa, unababaika na grammar, si urekebishe tu taratibu na hawa hawa wangwana wa JF wajifunze na kufahamu usahihi wa hizo grammar taratibu na tusonge mbele pamoja 🐒

hata hivyo ile muhimu zaidi ni content. ukiona content inakufaa unaichukua na ukiona haina maana unatembea mbele taratibu bila kumkanyaga mwenzio kwa kebehi, dhihaka wala mchecheto 🐒

Lakini pia hii kazi ya wanainchi, wewe huna haja kubabaika nayo, hiyo nang'ang'ana nayo mimi na wao mpka tufike pale ambapo tumelenga na tumekubaliana kufika 🐒

Jambo la maana zaidi, nadhani wewe ungesaidia sana kurekebisha sarufi tu kwenye mabandiko ya maana kama haya, hii kazi inakufaa sana mwalimu, inakupendeza sana, na kwakweli nimekufurahia sana kwahilo 🌹

kwako mwalimu Matrix19
🔊🎶🎵💃Singeli ya tlaatlaah!
 
Hii ndio comment yangu ya mwisho hapa maana hujibu maswali ya msingi unaendelea kuandika upuuzi ambao sioni haja ya kuendelea kuusoma au kukujibu..
calm down mwalimu Matrix19, my friend nakuja dm tumalize hii habari yako,

relax bas kidogo kwanza 🐒
 
Huo ubunge labda wa nccr au cdm kwenye majimbo ya ndani kabisa huko, ila ccm ukienda kuchukua fomu na Baja hata usingepewa😃😃, Kila mtia Nia ana V8 hata ya kuazima
Navitambi mdebwedo pia inakua kigezo muhimu.
 
kwahiyo unadharau akina mh shigongo na Dr. Kasheku msukuma?

kwan huyu mchapakazi sana kwenye sekta ya maji aliingiaje mjengoni, alitoka wapi 🐒

halafu,
Let me tell you,
huko kwa hiyo chama ambayo niligombea tulikua zaidi ya wa gombeaji 10, wa2 wlikua graduates, moja alikua ni Dr, mimi nilikua nimemaliza masomo nilikua graduate in waiting....

the rest walikua walimu, ila sio graduates, makada wa chama na business mens and womens...

Na kuna very powerful taycoon moja nae alikua mgombea, he was very clear kwamba mbele za wanachama, kwamba yeye ni std7 na anataka kusaidia maendeleo ya jimbo, anaomba kura na ridhaa ya wanachama.full stop 🐒

this senear tycoon nilimuogopa kidogo 🐒
But wasio na shule wapo na wanaujasiri kabisaaaa wa kushinda Uchaguzi 🐒
Senear, kazi kweli
 
actually,
to me kwenye mzunguko ule kuna mahali katikati ya wilaya tulikatiza manjagu walitutazama tulipita na mwendo wa ngiri, tukajua watatufuata but hawakufanya hivyo...

I think ni kwasababu kuna lile katazo la kuwafukuzia bodaboda baada ya kusababisha vifo vingi sana vya hawa jamaa....

but siku iyo ilikua mnada na askari doria huwa ni wengi kila kona na actually kwa kijijini tena mnadani na chombo cha moto uwe na kibali au hauna watakusimamisha tu na nilazima utakutikana na kasoro au dosari mathalani kadi au leseni 🐒

so,
I tried to escape obstacles and difficulties in that way ili kufikia malengo, nia na ndoto zangu 🐒
Yeah, maisha ubishi.
 
Ndio nilikua nimemaliza tu chuo kikuu, na nilikua na kiasi cha tsh laki5 tu, cash in hand, fedha ambazo nilikua nikijibana bana na kudunduliza nikiwa chuo kwa madhumuni haya haya ya kugombea ubunge. Nikajitosa katika mchakato wa ndani ya chama, kuomba ridhaa ya wanachama nipeperushe bendera ya chama kwenye uchuguzi mkuu....

Nakumbuka mtihani wa mwisho chuo, mwaka wa tatu semester ya mwisho ulikua tarehe za mwanzo za mwezi July mwaka huo wa uchaguzi, na fomu kura za maoni kwenye chama nilichokusudia kuomba ridhaa yake, zilianza kutolewa katikati ya mwezi huo huo July. Lakini pia na kampeni zilianza mwisho mwa mwezi huo huo July, mwaka ule wa uchaguzi...

Basi bana,
Dhamira na nia ya dhati kwenda kuomba ridhaa ya wanainchi iliuteka na kuutawala sana mutima wangu.

Matumaini ya kushinda uchaguzi huo yalinizidi kipimo. Vipaumbele vyangu, mipango na mikakati ya kuwakomboa wanainchi katika changamoto mbalimbali wanazo kumbana nazo pale jimboni, ilikua wazi sana, na ilinipa ujasiri sana nafsini mwangu. Na kwamba kivyovyote vile nitafaulu kupata ridhaa hiyo....

Nilikuwa nashauku, nguvu, ari, na moyo wa kipekee sana, kwenda kuwaongoza wanainchi.
Nilikua nikifanya maombi kama dose ya masaa, kila nilipopata wasaa, nilimuomba na kumshukuru Mungu anionyeshe njia...

Bas,
siku ikafika,
Baada ya tu kumaliza paper chuoni, nikaenda kuwaaga ndugu zangu pale mjini, na kuwaeleza safari yangu kuelekea mkoani kijijini.

Kesho yake asubuhi nikanyaka ndinga, huyo moja kwa moja mpaka kijijini, nilifika mapema tu jioni.. ...

Nilipofika, siku pumzika, nilielekea moja kwa moja kijiweni na katika baadhi ya maeneo ya mikusanyiko ya watu, na baada ya kuzurura kidogo pale kijijini jioni ile, na kuwaarifu viongozi wa chama, ndugu na wanainchi wa pale kijijini kwamba nimefika, lakini pia kusisitiza kuhusu nia yangu ya kuwawakilisha mjengoni, japo ilishafahamika hivyo tangu mapema kwamba nitatangaza nia.

Kila niliekutana nae aliniambia wewe umepita bana, wewe ndie mbunge wetu, usiwe na wasi, wala usiogope tutakuchagua. Nilipata, ujasiri na matumaini zaidi.
wanainchi kijijini pangu walinitia moyo sana.....

Usiku ukaingia tukapumzika. Pakakucha salama asubuhi.
Pale home kwetu kuna Baja, ule mpikipiki flani mkubwa, upo tu store, asubuhi ile nikaucheki kama uko sawa, nikakuta uko sawa, nikaupiga full tank mafuta, nikamtafuta dereva mzuri ninae mfahamu tukakubaliana posho, na nikamuelekeza mzunguko utaanzia wap na nitamlipaje, kisha tukaanza safari, kuzunguka katika baadhi ya kata nilizokua nime zitageti kuvuna na kupata kura nyingi za maoni na ambazo ninafahamika vizuri..

Kwa siku3 mfululizo, nilikua nimezunguka kwa uhakika sana na baja, katika kata 7, miongoni mwa kata zaidi ya 20 jimboni. haikua rahisi aise. kuna vitu vya kuvunja moyo sana, kuna vitu vya kukupa ujasiri na nguvu sana.

Ila kitu muhimu zadi kwangu, sikukata tamaa wala kubabaika hata chembe, bali nilisonga mbele na daima nikimtanguliza na kumshukuru Mungu. Mara zote nilimshirikisha nilipo ona ugumu au uzito wa jambo fulani anifanyie wepesi na anionyeshe njia ya kusonga mbele..

Tarehe ya kuchukua fomu ikawadia.
kama kawaida, na usafiri wangu wa baja, siku ya kwanza kabisa ya utoaji fomu, mapema saa5 asubuh nikafika ofisi za chama kuchukua fomu, huku baja tukiwa tumelipaki nje kidogo ya mji, kwasabb halikua na kibali, kadi au kitu chochote cha utambulisho, na kwahivyo tukapaki kwa kificho kukwepa manjagu yaani traffic wasituotee.

Kuna siku tulipo kua tunazunguka kwenye zile kata ilikua siku ya mnada, kuna afande aliwahi kutupiga mkono, dereva wangu wa baja alikua mkorofi kidogo, akampuuza, halafu akamlenga na baja yule askari alie tupiga mkono, afande akakwepa, tukampita kwa kasi ya ajabu, tukatokomea zetu na safari zetu, hakuthubutu kutufuata..
na kwahiyo siku ya kwenda kuchukua fomu tulihofia anaweza kuwepo maeneo ya mjini ikawa shida, coz ndio kituo chake cha kazi.

Bas,
Nikaenda nikachukua fomu kwenye ofisi za chama, kwa gharama ya wazi kabisaaaa ya tsh laki1.

Baada ya kupokea fomu na kusaini kwamba nimeshachukua fomu, katibu mkuu wa chama alienipa fomu, akanielekeza niende kwa katibu msaidizi, nikafanye malipo na kupewa risiti ya malipo na kisha nitapewa maelekezo mengine.

Nikafanya hivyo, na nikaelezwa na katibu msaidizi kwamba, nje ya gharama za fomu, natakiwa kuchangia tsh million3.5 kama gharama za usafiri, tutakapokua tunawazungukia wanainchi kwa usafiri wa pamoja na watia nia wengine. Tulikua watia nia zaidi ya 10.

Kumbuka nimetoka chuo na laki 5 pekee cash in hand. hiyo hiyo nauli, hiyo hiyo mafuta ya baja, hiyo hiyo nilipie fomu ya kugombea, chakula na malazi. Nilipoambiwa million 3.5 tena nilichoka kabisa 🐒...

Ila kamwe sikukata tamaa hata chembe.....

Nia, dhamira na shauku ilikua bado juu mno, Imani ilikua tele kwamba I'm going to win the election na kua mbunge wa wanainchi..

Basi, nikamuuliza naibu katibu mkuu, hiyo million3.5 ni Lazima au hiyari? na naweza kutoa kiasi kisha nikamalizia baadae?

Akasema gharama hizo ni Lazima na naweza lipa kidogo kisha ukamalizia badea.

Nikachangia laki1 nyingine kutoka kwenye ile laki5 yangu..
Baada ya kufanya malipo hayo, nikaaga nikaondoka.

Nikatoka nje ya jengo la chama, kuna washroom nikaingia huku kichwa kinawaka moto, najiuliza hiyo 3.4m ntaitoa wap? Maana nimepunguza laki 1 tu.

Nikaingiza mkono mfukoni kucheki kiasi nilichobaki nacho, nikajikuta nina elfu 75,000 pekee, na safari ya kampeni bado haijaanza. Maana niliambiwa kula, kunywa na kulala kwa kila mtia nia anajitegemea mwenyewe kwa gharama zake.

Nikarudi nyumbani, nikajaza fomu vizuri, kesho yake nikairudisha na ikapokelewa. Siku2 baada ya zoezi la kurejesha fomu kwisha, wakanipigia simu kwamba ntahitajika ofisini kutakua na kikao cha watia nia wote, kupewa muongozo wa kampeni zitakavyokua. basi, siku husika ilipofika nikaenda, tukafanya kikao na kupeana utaratibu pamoja na watia nia wenzangu zaidi ya 10....

Mpaka kampeni za kura za maoni zina anza nina elf35 mfukoni....

You know what happened.

Stay tuned nakuja kumalizia.

Wacha nipate tama la maji kwanza 🐒
🌈 Unasema umemaliza chuo kikuu, kisha hujui kuandika kwa kutofautisha wakati uliopita, uliopo na ujao?!
 
Ushaibiwa wewe!!

Huyu jamaa tunakunywa nae bia kila siku, Riverside Bar alishinda Ubunge upi huo?
wakaati nawashukuru na kuwaaga ndrungu zangu wana Dar es Salaam last month kulikua na jotro si mchezo,

muungwana moja alinihoji, Je nimewahi kufika river side katika kipindi ulichoishi dar?
nikamjibu hapana, akanambia bas bado siijui dar....

sasa napoona nawe unaipamba na kuniunganisha nami as if tunakutana sana apo, next time nikija dar breki ya kwanza ni apo river side ili nami nikajiridhishe na kushuhudia yaliyomo mtaa huo 🐒
 
na tutaanza kazi ya ufugaji mang'ombe ya maziwa na nyama kwa kisasa, na ndio sasa tupate maziwa ya kutosha, nyama nzuri, lakini pia ngozi yenye kukidhi viwango vya soko la kitaifa na kimataifa ...😂😂😂😂

Kam kwel vile ,,😂😂😂😂
 
🌈 Unasema umemaliza chuo kikuu, kisha hujui kuandika kwa kutofautisha wakati uliopita, uliopo na ujao?!
🤣naona mwalimu mkuu wa kiswahili umeingia kwa kishindo sana....

eeh embu tafadhali rekebisha kitaalamu, mahali ambapo kuna dosari au kasoro za kiuandishi mathalani sarufi, nyakati, lahaja, mofimo n.k

maana nataka kuingia sehemu ya pili ya true story kikamilifu zaidi.....

sijaelewa kwenye siasa umekuja kufanya nini, HKL ulikua unafanya vizuri zaidi kwenye kiswahili 🐒
 
Kam kwel vile ,,😂😂😂😂
that is the truth....

hakuna anaweza eleza namna hiyo humu ndani, zaidi ya ya mimi na waziri mwenye dhamana ya mifugo 🐒

ukitaka kuamini haya fatilia bajeti ya mifugo kwenye mang'ombe utaona hii nimekuonjesha 🤣
 
Mpaka kampeni za kura za maoni zina anza nina elf35 mfukoni....
Ha ha. Mkuu si uweke tu namba ya simu, uchangiwe hapa na mabilionea wa JF, uwe Mbunge wa Kwanza kutokea kwa mchango wa wahudhuri wa mtandao huu?

Ukipata huo ubunge utakubali Viieti?
 
Kwa uandishi huu eti huyu ndio msomi wa chuo kikuu!??

Ndio maana nasema kila siku elimu ya Tanzania iliharibiwa ili izalishe wajinga wengi na nchi ikiwa na wajinga wengi ni rahisi kwa watawala kuongoza.

Eti taycoon, senear ,mens womens

SMH!!

Upuuzi mtupu , yaani wewe kama kweli ni mbunge kweli na waziri pia basi nawasikitikia wananchi wa jimbo lako na watanzania kwa ujumla na hapa naamini kuanzia kule juu kuna perennial failure hadi bandari mkataba ukashindwa kusomwa na vilaza mwarabu akajishindia lotto!

Watu kama nyie ndio mnafanya hata tulioondoka nyumbani miaka kenda tukasitisha kurudi maana unaona matatizo ya zama zile na sasa hali ni mbaya kuliko zamani.
Kwani elimu ni nini!!?

Ni uandishi ulionyooka hapa jukwaani!!?

Kwanza elimu Gani unayoitumia kumpima mwandishi!!?hii ya kikoloni tulioirithi ya kuchora panzi ubaoni!!?au hii ya kabudi alioitumikia akajiona yupo jalalani!!?

Tanzania hatuna elimu mkuu,tuna kujua kusoma na kuandika katika level tofauti tofauti hasa wengi wetu tumejifunza TU kiingereza Cha kunywea maji lakini sio elimu!!

"Elimu ni kutumia nature kutatua matatizo yaliyopo"sio hii ya utumwa was kusaka ajira Kwa graduates,mtaala wa elimu ya ukweli nitauleta Mimi nitakaposhika stronghold, Jackson makweta angeileta lakini nguvu za Giza zilimzuia kugombea urais,Anga linaenda kutulia ndipo nitatimiza kiu ya Mungu aliyokuwa nayo Jackson Makweta Kwa Tanzania!!

Ndipo pale professional zitakapolipa kuliko siasa zilivyo sasa coz hatuwezi PATA maendeleo kama ualimu unadharaulika,uweledi unakimbiwa na wasomi kuona siasa ni ya maana kuliko professional zao walizosoma Kwa miaka 17 na hekima ya usomi kudharaulika!!

Iliopo sio elim hata hiyo unayojivunia siyo elimu,elim ya kweli ataisoma mjukuu wako nitaileta mkuu!!!
 
Back
Top Bottom