Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Karma is real.Mzee kahangaika sana kutafuta pesa za kuwasomesha na kuwalisha ila mtoto akipata anaekumbukwa ni Mama, DUH!!
Pesa ilibid umtumie aliekuwa na majukumu yakuwatafutia pesa (baba), mama nae akipewa anashukuru.
Hii na wewe inaweza kukurudia ukipata watoto.