Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Africa haihitaji kuwa na Viongozi imara ,only Taasisi imara tu kwa sababu hakuna watu plus Viongozi imara bila ya Taasisi imara watuJe Africa inahitaji watu imara au mifumo imara
Ben Saanane.Punguza chuki za kike hizo.
Wewe ndugu yako yupi aliuawa?
Achana nao hao.Wanajiliwaza na marehemu wao.Ben Saanane.
Sijakulazimisha na wewe umpende we endelea kuwalilia ndugu zakoKwa sababu hakuuwa ndugu zako lazima ukivimbiwa makande uje hapa kujambajamba.
Ukweli utakuja kuuona mwenyewe,yajayo yanafurahishaPole sana mkuu
Watu imara ndo hutengeneza mifumo imara. Magufuli alikuwa mtu imara na alishaanza kututengenezea mifumo imara ambayo Leo inaharibiwa na Wala nchiJe Africa inahitaji watu imara au mifumo imara
Ndugu zako kama walikuwa wajingajinga wamejaza mavi vichwani kambsa wale wa kule belgiji ni kutundikwa risasi tu ndio halali yaoKwa sababu hakuuwa ndugu zako lazima ukivimbiwa makande uje hapa kujambajamba.
Ni kweliHata Lissu anamkumbuka kimyakinya, asiyemkumbuka ni yule asiye na maono.
Mvaa kobaz kumbe ndio maana akili huna?Kondoo umeshatowa mchango wa tegemeza jimbo?
Ndio takataka gani hiyo?Ben Saanane.
Mfumuko wa bei na njaa vitakuua mapema sanaHataki msamaha wako, baki nao. Kula jeuri yako
Astaghafilulah.Mvaa kobaz kumbe ndio maana akili huna?
Sawa,ni maoni yako na huo ni mtazamo wako piaKila kitabu na zama zake....Magu nae alikuwa binadamu ambapo pamoja na ukamiilifu wake alikuwa na makosa ya kibinadamu, nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa lakini pia sikuafiki maoni yako kwa asilimia 100. Cha msingi ni kumpa kila mmoja nafasi yake kwa yale mazuri aliyofanya na kuyapokea mapungufu yake kama binadamu tulivyoumbwa.
Nakukumbushia tu ,tumesaini mktaba wa software ya kufuatilia mahali ambapo umeme unakatika nchini mwetu. Tumeikodi kwa 69bilioni. Piga hesabu Ni madarasa mangapi,vituo vya afya vingapi. Yaani haya Ni mauaji Kama mauaji mengine tu ya kimbali Mana unaona hela ambazo sio za kwako Ni za wananchi kwa manufaa yako. Huko vijijini Kuna akina mama wanajifungulia mazingira sio rafiki wanafariki ama watt wanafariki. Sasa tuna vijijini vingapi na wanajifariki Ni wangapiyanayoendelea nchini ni dhahiri tunarudishwa nyuma mnoooo haina ubishi.
Kondoo umeshatowa mchango wa tegemeza jimbo?
Inasikitisha na inaumiza nyoyoZAMA ZA WASWAHILI.
WANAJUA KUONGEA MISAMIATI MINGI
KWENYE UTENDAJI, WANA ALEJI