Kwa mara ya kwanza nimemkumbuka Hayati Magufuli tokea afariki dunia

Kwa mara ya kwanza nimemkumbuka Hayati Magufuli tokea afariki dunia

Magufuli kajenga mfumo upi imara????? kama angeacha mifumo imara inchi isingekua kama ilivyo Leo
Mfumo imara alioujenga Magufuli ni pamoja na kuchukia na kukataa rushwa. Msingi huu umetuwezesha watanzania tuliowengi kufuatilia maendeleo ya taifa letu kiuchumi na kijamii.

Inatufanya tujue haraka tunapopigwa na viongozi wa hovyo. Leo Kila mtu anajua kuwa tumerudi hatua kumi nyuma
 
Mfumo imara alioujenga Magufuli ni pamoja na kuchukia na kukataa rushwa. Msingi huu umetuwezesha watanzania tuliowengi kufuatilia maendeleo ya taifa letu kiuchumi na kijamii. Inatufanya tujue haraka tunapopigwa na viongozi wa hovyo. Leo Kila mtu anajua kuwa tumerudi hatua kumi nyuma
Magufuli ndo alikua bingwa wa rushwa unajua maana ya mifumo imara hata kama haupo bado inafanya kazi

Kipindi Cha magufuli ni fisadi yupi aliyefungwa Zaid ya kuambiwa watoe kishika uchumba, Tanzania hakuna mifumo imara ndo maana nchi ni maskin
 
Magufuli ndo alikua bingwa wa rushwa unajua maana ya mifumo imara hata kama haupo bado inafanya kazi

Kipindi Cha magufuli ni fisadi yupi aliyefungwa Zaid ya kuambiwa watoe kishika uchumba, Tanzania hakuna mifumo imara ndo maana nchi ni maskin
Ni ngumu kuthibitisha haya,sipo hapa kuyapa nafasi maneno ya wenye chuki na kinyongo
 
Sikuwahi kumkubali huyu mwamba kipindi chake chote Cha utawala mpaka anakufa.

Akili imenikaa sawa sawa,kama binadamu ni kweli alikuwa na mapungufu yake hakuna mkamilifu.

Nakubali huyu mwamba alikuwa na nia ya dhati ya kulipigania hili taifa. Nahisi labda njia tu ndo zilitukwaza baadhi yetu nimemsahe pale ambapo alinikwaza kama mwananchi wa kawaida.

Nampa udhuru pia kwasababu naamini ilitakiwa iwe vile,Kwa namna ambavyo Watanzania tulivyo ilimlazimu awe vile. Kubembelezana na kulambanalambana kumetufanya tuchelewe Sana. Kama kiongozi alikuwa sahihi kuwa mkali hasa Kwa mafisadi, wahujumu uchumi, mabeberu na vibaraka wa mabeberu.

Kwa haya yanayoendelea nchini ni dhahiri tunarudishwa nyuma mnoooo haina ubishi. Kama mtanzania nimeona nisiwe mnafki, nasema kweli kutoka moyoni mwangu.

Alisema Magufuli "mutanikumbuka, tena sio Kwa ubaya mtanikumbuka Kwa mazuri" Nakiri kumkumbuka Magufuli Kwa mazuri yake.

Mnisamehe Watanzania wenzangu ambao niliwakwaza Kwa namna yoyote ile hasa wale ambao walibahatika kuwa na maono ya haraka juu ya uzuri wa Magufuli. Nakiri nilitenda kosa la kumzungumza vibaya mzee wetu.

Magufuli ametenda, kwa hali iliyopo Sasa hivi Kila mtu anashuhudia. Na huko tuendako tutaimba nyimbo moja.

Ahsanteni sana.
Nasema


JPM mzalendo wa kweli wa Taifa hili.

Walamba asali tuu ndio wamejishibia
Hadi wanataka kututoaa kwenye Nishati yetu asili.ya kuni nimekuzwa na Kuni hadi leo nina akili and additionally wazazi wangu wanatumia Kuni hadi leo
Niwape tuu Taarifa chakula kinachopikwa na kuni kitamuu nyie asikuambie mtuu.

Kwanini hakwenda huko kaskazini kugawa hiyo mitungi angetolewa Baruu

Huyu kipara anafahamu Kuni kwelii au anaropokaa tuu


Katka nchi ambayo haina hata strategic planning ni Tanzania yetu

Haina kipaumbele wala nini.

Hilii la nishati hata sijui hata limetoka wapii.

Limeibuka tuuu ,

Hata wabunge uwaulize hakuna anayejua.

Wee Makamba nani katoa hiyo Mitungi ya gesi uliyogawa kwa akina mama

Na ikisha hawana hela ya kujaza hata unaongea ndani
 
Hao watu imara wa Tanzania wamejenga mifumo ipi imara
Sasa huo mfumo wako imara utatengenezwa na akina nani walio imara?

Najua utasema chama fulani,hebu ni tajie chama chochote unachokiona wewe imara kuanzia ngazi ya chama chao tu humo humo.

Mtu mmoja imara anaweza kutengeneza mfumo imara kutokana na misimamo yake wengine wakaiga kutoka kwake.

Mfano (sijui dini yako),ila kwangu Yesu pekee kupitia misimamo yake na matendo yake aliweza kutengeneza imani iliyo imara ya kikristo.

Mohamed kupitia yeye aliweza kutengeneza na kuisimika imani ya Kislam na wengine wakaiga kutoka kwake.

Mao ndiye aliye itransform China kwani misimamao na mawazo yake ndio leo imeifanya China kuwa vile.

So kitu chochote imara lazima kianze na mtu imara,so kupitia yy wale anaofanya kazi wataiga kile akifanyacho na ndipo mfumo imara huanza kusimikwa.
 
Back
Top Bottom