Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nchi Ina upungufu wa megawatt 190 za umeme kama sikosei. Hiyo pesa ilikuwa na uwezo wa kununua mtambo ambao tungeweza kupunguza zaidi tatizo la umeme kuliko kuingia kwenye haya matumizi mabaya ya fedha za umma.Nakukumbushia tu ,tumesaini mktaba wa software ya kufuatilia mahali ambapo umeme unakatika nchini mwetu. Tumeikodi kwa 69 bilioni...
Kama walikuwa na lengo la kutuweka mikononi mwa Mabeberu na kuuhujumu uchumi wetu, endelea kuwakumbukanamkumbuka Ben Sanane
namkumbuka Azory Gwanda
nawakumbuka wale walio okotwa CoCo Beach kwenye viroba
Manka peleka tegemeza jimbo Kwa Paroko, jiandae na kuchangia redio Maria na redio tumaini.We kijamaa ni kituko sana
sijui msikitini huwa unaenda kufanya nini
Ile crane ya kunyanyua door ya Tani 260 haipo. Bwawa lisifanyike ili umeme wa gesi utumike na tuuze gesi ya rostam ingawa Kuna mkubwa nyuma yake. Yaani itapitishwa Sheria Kama huna gesi ama mtungi wa Taifa gesi ndani unawekwa ndani.Na nchi Ina upungufu wa megawatt 190 za umeme kama sikosei. Hiyo pesa ilikuwa na uwezo wa kununua mtambo ambao tungeweza kupunguza zaidi tatizo la umeme kuliko kuingia kwenye haya matumizi mabaya ya fedha za umma.
Watu imara, mifumo imara haifanyi kazi AfrikaJe Africa inahitaji watu imara au mifumo imara
Siyo maana yake kwasababu sote tutakufaMfate huko aliko
SawaUkweli utakuja kuuona mwenyewe,yajayo yanafurahisha
Wazee wa kila siku sherehe 😂, mpango kazi wao ni kazi na bata 😂ZAMA ZA WASWAHILI.
WANAJUA KUONGEA MISAMIATI MINGI
KWENYE UTENDAJI, WANA ALEJI
Weka ushahidi wako hapa mezani tuupime!!Ben Saanane.
Kama ulijua anafanya kazi nzuri kwanini ulimdiss akiwa hai, sie tulimpa sapoti akiwa hai. Kula mfumuko wa bei na msamaha wako baki naoMfumuko wa bei na njaa vitakuua mapema sana
Wengine walipata haki yao ( walipata walichokitafuta) , wewe mbona Uko hai???Push Gang At Work.
Azory ,Ben saanane , Kanguye ,Rwujabe.
1.5T imeenda wapi?
Wengine walipata haki yao ( walipata walichokitafuta) , wewe mbona Uko hai???
Kwahiyo unadhani kumkubali Sasa hivi itakuwa inakupunguzia umaarufu wako? Roho mbaya mpaka kwenye mapenzi binafsi ya mtu? Ndio maana nikakuambia utakufa mapema sana kwasababu najua uko na msongo mkubwa sana wa mawazo. Pole Sana kijanaKama ulijua anafanya kazi nzuri kwanini ulimdiss akiwa hai, sie tulimpa sapoti akiwa hai. Kula mfumuko wa bei na msamaha wako baki nao
Utakuwa huna akili au unashikiwa akili..Yanayoendelea Nchini yapi hayo?Sikuwahi kumkubali huyu mwamba kipindi chake chote Cha utawala mpaka anakufa.
Akili imenikaa sawa sawa,kama binadamu ni kweli alikuwa na mapungufu yake hakuna mkamilifu...
Ulivyogusia wamama kujifungulia mazingira yasiyo rafiki umenikumbusha mbali mkuu. Ni majuzi tu tumesaidia mmama kujifungua nje ya hospitali na wahusika wakiwa ndani wanastrem mitandaoni.Nakukumbushia tu ,tumesaini mktaba wa software ya kufuatilia mahali ambapo umeme unakatika nchini mwetu. Tumeikodi kwa 69bilioni...
Wewe mwenye akili na usiyeshikiwa akili mbona umeshindwa kuyajua yanayoendelea nchini.Utakuwa huna akili au unashikiwa akili..Yanayoendelea Nchini yapi hayo?
KUla mgao ushibeKwahiyo unadhani kumkubali Sasa hivi itakuwa inakupunguzia umaarufu wako? Roho mbaya mpaka kwenye mapenzi binafsi ya mtu? Ndio maana nikakuambia utakufa mapema sana kwasababu najua uko na msongo mkubwa sana wa mawazo. Pole Sana kijana