The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mimi naona yanayoendelea ni haya πWewe mwenye akili na usiyeshikiwa akili mbona umeshindwa kuyajua yanayoendelea nchini.
MifumoJe, Africa inahitaji watu imara au mifumo imara.
Kwa hiyo hao ndugu bila kuuliwa wangeishi milele??!!!Kwa sababu hakuuwa ndugu zako lazima ukivimbiwa makande uje hapa kujambajamba.
Mimi naona yanayoendelea ni haya π
HALLELUJAHSikuwahi kumkubali huyu mwamba kipindi chake chote Cha utawala mpaka anakufa.
Akili imenikaa sawa sawa,kama binadamu ni kweli alikuwa na mapungufu yake hakuna mkamilifu.
Nakubali huyu mwamba alikuwa na nia ya dhati ya kulipigania hili taifa. Nahisi labda njia tu ndo zilitukwaza baadhi yetu nimemsahe pale ambapo alinikwaza kama mwananchi wa kawaida.
Nampa udhuru pia kwasababu naamini ilitakiwa iwe vile,Kwa namna ambavyo Watanzania tulivyo ilimlazimu awe vile. Kubembelezana na kulambanalambana kumetufanya tuchelewe Sana. Kama kiongozi alikuwa sahihi kuwa mkali hasa Kwa mafisadi, wahujumu uchumi, mabeberu na vibaraka wa mabeberu.
Kwa haya yanayoendelea nchini ni dhahiri tunarudishwa nyuma mnoooo haina ubishi. Kama mtanzania nimeona nisiwe mnafki, nasema kweli kutoka moyoni mwangu.
Alisema Magufuli "mutanikumbuka, tena sio Kwa ubaya mtanikumbuka Kwa mazuri" Nakiri kumkumbuka Magufuli Kwa mazuri yake.
Mnisamehe Watanzania wenzangu ambao niliwakwaza Kwa namna yoyote ile hasa wale ambao walibahatika kuwa na maono ya haraka juu ya uzuri wa Magufuli. Nakiri nilitenda kosa la kumzungumza vibaya mzee wetu.
Magufuli ametenda, kwa hali iliyopo Sasa hivi Kila mtu anashuhudia. Na huko tuendako tutaimba nyimbo moja.
Ahsanteni sana.
Atakuwa miongoni mwa wale vichaa waliotajwaNaomba nitumie nafasi hii kukuuliza we jamaa, una matatizo ya akili!? Au kama unatumia vidonge basi naomba ufuate masharti ya dozi!! Na kama bangi basi acha mara moja!!
Sio tuu kwamba wewe ni mburula bali ni nyumbu kabisa..View attachment 2405157
Kwanini wakulima wanagomea bei ya korosho?
View attachment 2405158
Kwa hali halisi ya huku mtaani labda iwe umelazwa milembe ndo utakuja kukubaliana na hizi pumba
Ukweli umekuweka huru mkuu.Sikuwahi kumkubali huyu mwamba kipindi chake chote Cha utawala mpaka anakufa.
Akili imenikaa sawa sawa,kama binadamu ni kweli alikuwa na mapungufu yake hakuna mkamilifu.
Nakubali huyu mwamba alikuwa na nia ya dhati ya kulipigania hili taifa. Nahisi labda njia tu ndo zilitukwaza baadhi yetu nimemsahe pale ambapo alinikwaza kama mwananchi wa kawaida.
Nampa udhuru pia kwasababu naamini ilitakiwa iwe vile,Kwa namna ambavyo Watanzania tulivyo ilimlazimu awe vile. Kubembelezana na kulambanalambana kumetufanya tuchelewe Sana. Kama kiongozi alikuwa sahihi kuwa mkali hasa Kwa mafisadi, wahujumu uchumi, mabeberu na vibaraka wa mabeberu.
Kwa haya yanayoendelea nchini ni dhahiri tunarudishwa nyuma mnoooo haina ubishi. Kama mtanzania nimeona nisiwe mnafki, nasema kweli kutoka moyoni mwangu.
Alisema Magufuli "mutanikumbuka, tena sio Kwa ubaya mtanikumbuka Kwa mazuri" Nakiri kumkumbuka Magufuli Kwa mazuri yake.
Mnisamehe Watanzania wenzangu ambao niliwakwaza Kwa namna yoyote ile hasa wale ambao walibahatika kuwa na maono ya haraka juu ya uzuri wa Magufuli. Nakiri nilitenda kosa la kumzungumza vibaya mzee wetu.
Magufuli ametenda, kwa hali iliyopo Sasa hivi Kila mtu anashuhudia. Na huko tuendako tutaimba nyimbo moja.
Ahsanteni sana.
Watu imara ndio wanajenga mifumo imara mkuu.Je, Africa inahitaji watu imara au mifumo imara.
uchaguzi ujao vita kubwa vitakuwa ndani mwaoWazee wa kila siku sherehe π, mpango kazi wao ni kazi na bata π
Akilizako zimehamia kwenye hii Avatar yako.Kwasasa funza washamaliza jukumu lao.
Magufuli kajenga mfumo upi imara????? kama angeacha mifumo imara inchi isingekua kama ilivyo LeoWatu imara ndio wanajenga mifumo imara mkuu.
Kwa lugha nyepesi tokea uhuru mpaka Leo Rais aliyejenga mifumo imara ya kiuchumi na kiuajibikajiMifumo
Too late mkuu tuliompambania akiwa hai ndo tuna haki ya kumkumbula, watu kama wewe mpo wengi, so bora muendelee na msimamo wwnu tu haisaidii kwa sasa kumkubaliSikuwahi kumkubali huyu mwamba kipindi chake chote Cha utawala mpaka anakufa.
Akili imenikaa sawa sawa,kama binadamu ni kweli alikuwa na mapungufu yake hakuna mkamilifu.
Nakubali huyu mwamba alikuwa na nia ya dhati ya kulipigania hili taifa. Nahisi labda njia tu ndo zilitukwaza baadhi yetu nimemsahe pale ambapo alinikwaza kama mwananchi wa kawaida.
Nampa udhuru pia kwasababu naamini ilitakiwa iwe vile,Kwa namna ambavyo Watanzania tulivyo ilimlazimu awe vile. Kubembelezana na kulambanalambana kumetufanya tuchelewe Sana. Kama kiongozi alikuwa sahihi kuwa mkali hasa Kwa mafisadi, wahujumu uchumi, mabeberu na vibaraka wa mabeberu.
Kwa haya yanayoendelea nchini ni dhahiri tunarudishwa nyuma mnoooo haina ubishi. Kama mtanzania nimeona nisiwe mnafki, nasema kweli kutoka moyoni mwangu.
Alisema Magufuli "mutanikumbuka, tena sio Kwa ubaya mtanikumbuka Kwa mazuri" Nakiri kumkumbuka Magufuli Kwa mazuri yake.
Mnisamehe Watanzania wenzangu ambao niliwakwaza Kwa namna yoyote ile hasa wale ambao walibahatika kuwa na maono ya haraka juu ya uzuri wa Magufuli. Nakiri nilitenda kosa la kumzungumza vibaya mzee wetu.
Magufuli ametenda, kwa hali iliyopo Sasa hivi Kila mtu anashuhudia. Na huko tuendako tutaimba nyimbo moja.
Ahsanteni sana.
Mfumo imara unatengenezwa,watu imara chini ya kiongozi imara. Mfumo imara haujengwi na malaika kwani nao nado utahitaji mtu imara.Je, Africa inahitaji watu imara au mifumo imara.
Sawa mla asali (mla rushwa) endelea kufurahia mema ya nchi.Wewe ni looser unayedhani shida za familia yako Ndio za watu wote,endelea kuomboleza na kulalamika fursa zitakutafuta sawa..
Ahsante sanaUkweli umekuweka huru mkuu.