Kwa mara ya kwanza nimempata mwanamke asiyeomba pesa

Kwa mara ya kwanza nimempata mwanamke asiyeomba pesa

Ndugu yanguuuuu! Temea mate chini.
Hivi ninavyoongea nimenuniwa Leo siku ya 5. Nilimpata Demu akawa na maelezo yeye ni tofauti na waawake wengine wanaoombaomba hela, yeye haombi Mwanaume akitaka amhudumie mwenyewe siyo kumsumbua na mizinga kila mara, kwanza yeye ni mjasiriamali anauza nguo za kike za kukopesha, yaani yalimtoka nikajua nimepata. Nimekaa naye mwezi mzima nanunua vitu vidogo vidogo maana formula yangu ni NOT MORE THAN 10. Siku moja ghafla anakuja na huzuni, Dear mzigo wangu umekwama Dar mwenye duka ananidai 540,000/- naomba unipush! Na kweli nimempush!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah we jamaa umenichekesha balaa. Eti "kweli nikampush". Kwahiyo alikuwa anakuectia kuwa sio nyoka ni jongoo kumbe ni koboko aliekuwa anakuwa taratibu.
 
Mnaosema demu sijui ana sponsor mwingine or ana mtu mwingine anampa pesa jueni sio kila mwanamke ni malaya au toxic , still wapo innocent women out there sema ni wachache mno,, kwa sababu mnapata wanawake waliogubuhu shida au wapuuzi,, basi msihitimishe kuwa wanawake wote ni kama pathetic poor souls
Data zikionyesha 90% ya tabia kwa watu fulani then hiyo ndio itakuwa conclusion ya behavior ya hao watu. Sasa kwa hali ilivyo sasa, katika kila wadada 100 utakaokutana nao hata kama si kimahusiano ya kimapenzi bali ukaribu tu ambao hauna jina la aidha undugu, ujirani, au urafiki basi katika hao wadada 100, wadada 99 wataanzisha mazoea ya kutaka uingie gharama yoyote kwaajiri yao ili watumie rasilimali zao kujipatia mahitaji yao ya msingi na yasiyo ya msingi. Ila wanahitaji hivyo bila kuwa na makubaliano yoyote ya kimahusiano as if ni haki wao kupewa na mwanaume kugawa gawa bila utaratibu.
 
Data zikionyesha 90% ya tabia kwa watu fulani then hiyo ndio itakuwa conclusion ya behavior ya hao watu. Sasa kwa hali ilivyo sasa, katika kila wadada 100 utakaokutana nao hata kama si kimahusiano ya kimapenzi bali ukaribu tu ambao hauna jina la aidha undugu, ujirani, au urafiki basi katika hao wadada 100, wadada 99 wataanzisha mazoea ya kutaka uingie gharama yoyote kwaajiri yao ili watumie rasilimali zao kujipatia mahitaji yao ya msingi na yasiyo ya msingi. Ila wanahitaji hivyo bila kuwa na makubaliano yoyote ya kimahusiano as if ni haki wao kupewa na mwanaume kugawa gawa bila utaratibu.
Usi conclude kuwa population nzima au sample nzima wote wako hvo, just because hypothesis yako ilitiki kwa wadada 99 out of 100, mpe hyo benefit of doubt kwenye population aliyomo
 
Habari!
Nimempata binti kwakweli haombi Hela na ukimpa pesa anauliza ya nini.
Nilichojifinza ni kwamba hawa wadada wanaoomba pesa hovyo ni hali ngumu tu ya maisha ndio inawafanya wakose ustaarabu.
Wadada mkizaliwa katika familia za kimaskini tafadhali msitumie miili yenu kama chambo ya kutatulia shida zenu. Pambaneni kama sisi wanaume.
Hapo unawekwa sawa kilengeoni jombaa ngoja ukae sawa utakuja kufuta huu uzi. Btw huyo sio wa kule ukanda alipokuwa Sabaya kweli maana ndo gia zao hizo.
 
Wasikutishe mkuu! Mimi namaliza mwaka wa4 huu bila kuombwa hata hela ya vocha wala nauli na bado napendwa vizuri na nahudumiwa vizuri kwa nafasi yangu [emoji94] ( Neno ilo litaleta ukakasi kidogo kwa wazee wasio na dogo, NAHUDUMIWA NA MWANAMKE )
 
Huwa tunazuga hivo.
Hatuombi hela ili siku tukiomba hela kubwa wajue kweli tumebanwa maana hatuna mazoea ya kuomba omba.

Hata mimi huwa siombi kabisa hadi mtu anashangaa lakini baada ya muda naomba kwanzia 500k. Hapo mtu anajua kweli huyu hadi kaomba kweli amekwama.
 
Back
Top Bottom