Kuna wakina dada wanachakalika mkuu, wanapiga kazi kama hawana akili nzuri. Nimeshuhudia wawili. Mmoja kwenye mgahawa, mwingine anaka shop kake tu ka uongo na ukweli. Nimefuatilia mahali wanapoishi, nimegundua ni wa kawaida sana kimaisha!
Huyu wa hotel nimejaribu kumtupia nyavu, kakubali, nikampatia elfu tano ya vocha akaikataa!
Kuna baadhi ya wanawake kama hawa wanatakiwa kusainiwa rasmi kwenye kundi la watu, tuwatoe kwenye kundi la vitafunwa!