Kwa mara ya kwanza nimempata mwanamke asiyeomba pesa


Yaani umpe mtu buku tano utegemee apokee? Hizo ni dharau. Watu vocha wanatoa elfu 50 wewe unampa buku 5 kakataa halafu unaona hapendi hela?
 
Hao tunawaita "G/mboto land mines" siku litakapolipuka utajikuta kwa mkapa stadium na hujui umefikaje Mkuu
 
Wasikutishe mkuu! Mimi namaliza mwaka wa4 huu bila kuombwa hata hela ya vocha wala nauli na bado napendwa vizuri na nahudumiwa vizuri kwa nafasi yangu [emoji94] ( Neno ilo litaleta ukakasi kidogo kwa wazee wasio na dogo, NAHUDUMIWA NA MWANAMKE )
Sasa kama unahudumiwa na mwanamke unataka akuombe nini? Damu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…