Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Naona wanateseka sanaNa bado kuna watu watakuambia Samia ni dhaifu..
Wakuu wa mikoa waongeze nguvu kuhakikisha zoezi linafanikiwa kwa asilimia mia moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wanateseka sanaNa bado kuna watu watakuambia Samia ni dhaifu..
Wakuu wa mikoa waongeze nguvu kuhakikisha zoezi linafanikiwa kwa asilimia mia moja.
Kweli kabisa Mkuu! Kupitia huu utaratibu mpya serikali itapata majibu sahihi na Pia kuweza kukusanya mapato sahihi ambayo ilikuwa haiyakusanyi kwa kipindi kirefu sana kwa kweliNenda soko la Karume ( Mchikichini ) kila mmoja anajifanya machinga ila watu wana mitaji mpaka ya 200M hapo.
Na ndio maana hata kipindi kile soko limeungua walirudi kwa kasi kama hakikutokea kitu.
Machinga hawalipi kodi!! Bora wenye biashara zenye leseni wataongeza mapato!!watu waliweka hardware's katikati ya barabaraWameshindwa kuwatoa machangudoa na wala shisha ambao ni wahalifu wataweza kuwatoa machinga ambao hawamwibii mtu yoyote?
Tatizo viongozi wetu huwa hawajifunzi kutokana na historia ni suala la muda tu ngoja hela ziwaishie.
Alafu mtu anamtetea huyo mtu asiyelipa kodiMachinga hawalipi kodi!! Bora wenye biashara zenye leseni wataongeza mapato!!watu waliweka hardware's katikati ya barabara
Kwa nini unasema ivyo Mkuu?Tatizo limeahirishwa tu, halijatatuliwa
Magufuli si aliwaruhusu??..au umesahau?Mimi nina mtazamo binafsi kuwa asilimia fulani ya Machinga ni watu wa mfumo. Wanatumika kufanya surveillance, kukusanya data na kusambaza propaganda. Hili zoezi ni geresha tu, ndiyo maana maeneo hayo hayo wanapoondolewa, kuna vibanda bado vimebaki.
Hauwezi kuniambia Serikali haikuwa inaliona hili tatizo hadi limekuwa kubwa hivi. Kuna maeneo kabisa wanajenga vibanda hadi unajiuliza haiwezekani huyu kufanya hivi bila kuwa na baraka za mamlaka husika.
Siasa za kijinga na ushamba ndo vilitufikisha hukoMimi nina mtazamo binafsi kuwa asilimia fulani ya Machinga ni watu wa mfumo. Wanatumika kufanya surveillance, kukusanya data na kusambaza propaganda. Hili zoezi ni geresha tu, ndiyo maana maeneo hayo hayo wanapoondolewa, kuna vibanda bado vimebaki.
Hauwezi kuniambia Serikali haikuwa inaliona hili tatizo hadi limekuwa kubwa hivi. Kuna maeneo kabisa wanajenga vibanda hadi unajiuliza haiwezekani huyu kufanya hivi bila kuwa na baraka za mamlaka husika.
Huwezi pingana na ukweliHivi mandate ya kusema Kwa kuwa Rais ni nwanamke mnaitoa wapi .to be honest hii kauli binafsi inanikera na inanikera hata pale inaposenwa na mama mwenyewe it's disgusting to here such statement .
Uchafu kila corner in the name of wanyonge serikali kwa hili iwe strictly maana jiji limeanza kuwa safiIlikuwa aibu! Tulikuwa tunaonekana wote ni nchi ya wajinga tusio wasafi na tusiofuata taratibu!
Kweli kwa hili naipongeza awamu ya sita! Wasirudi nyuma tu
Umenena vyema kabisa!Uchafu kila corner in the name of wanyonge serikali kwa hili iwe strictly maana jiji limeanza kuwa safi
Mama anakwenda vizuri suala la wamachinga lipo kwenye Mpango wa ustawi wa maendeleo na mkakati wa kuwaweka katika masoko ya pamoja.Amani iwe nanyi wanabodi!
Wakati Mama Samia anatangaza mkakati wake wa kuwapanga upya machinga kwenye maeneo mbalimbali, nilibarikiwa kuwa mmoja wa watu wa mwanzo kabisa kutoa ushauri wangu humu!
Aliyewatumia kisiasa hayupo tenaUchafu kila corner in the name of wanyonge serikali kwa hili iwe strictly maana jiji limeanza kuwa safi
Mshaaanza na wazeee wa mifumo (system), wazeee wa Masuti suti na majina kadha wa kadhaMimi nina mtazamo binafsi kuwa asilimia fulani ya Machinga ni watu wa mfumo. Wanatumika kufanya surveillance, kukusanya data na kusambaza propaganda. Hili zoezi ni geresha tu, ndiyo maana maeneo hayo hayo wanapoondolewa, kuna vibanda bado vimebaki.
Hauwezi kuniambia Serikali haikuwa inaliona hili tatizo hadi limekuwa kubwa hivi. Kuna maeneo kabisa wanajenga vibanda hadi unajiuliza haiwezekani huyu kufanya hivi bila kuwa na baraka za mamlaka husika.
Mnamlaumu tu Magufuli kwenye hili. Machinga na mauchafu yao wamekuwepo hata kabla ya Magufuli kuwa Rais. Labda useme ruhusa yake ilifanya hali kuwa mbaya zaidi ila tatizo tayari lilikuwepo na tayari lilikuwa kubwa.
Machinga huwa awaweki stock yote sehemu mojaNenda soko la Karume ( Mchikichini ) kila mmoja anajifanya machinga ila watu wana mitaji mpaka ya 200M hapo.
Na ndio maana hata kipindi kile soko limeungua walirudi kwa kasi kama hakikutokea kitu.