Kwa Mara ya Kwanza nimeona Mafanikio ya Serikali kwenye suala la Machinga, Hongera Serikali ya Awamu ya Sita

Kwa Mara ya Kwanza nimeona Mafanikio ya Serikali kwenye suala la Machinga, Hongera Serikali ya Awamu ya Sita

Dust dust, kwamba kuonekana kwa mji kunawaingizia kipato wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo kwako uchafu ndo unawaingizia kipato wananchi?

Kwa akili izo mfu alafu unaweza kuta una ndoto za kuwa kiongozi! Jinga kabisa

Watu kama nyie ndo mnatakiwa kurudishwa tena shule na kupewa kozi maalum za ustaarabu!
 
tatizo huwa halishi kwa kuacha tatizo liendelee.

Nimatumaini kuwa tatizo jipya unalolitabiri lipatapata utatuzi

Tatizo la njaa linatatuliwa na kulima

Ukilima unapata tatizo la sugu viganjani

Kuna namna ya kutatua tatizo la sugu na si kwa kuacha kulima.

Maisha ni matatizo yanayotafutiwa utatuzi kila siku.
Mwambie kilaza huyo
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hii nhi ilichezewa sana ndugu zangu.

Yaani mtu anapika ugali katika stendi ya daladala, kwa kutumia kuni na ana mwaga maji machafu barabaran.

Ukiuliza eti magufuli karuhusu biashara.
Nchi hii ilifika katika Kiwango cha juu kabisa cha ujinga! Mungu katusaidia sana
 
Hongera kwa kazi nzuri, miji kwa kweli ilikuwa michafu, nakumbuka kuna wakati Makonda alijitahidi kuisafisha kariakoo lakini jiwe akaamuru waachwe wajinafasi, kwa hili jiwe was absolutely wrong.

Ila kumbuka, umetatua tatizo kubwa...umeibua tatizo kubwa, the jobless.. the kipatoless, soon ukabaji, udokozi na wizi utaanza. Unless measures za uhakika zichukuliwe kunusuru hii hali.
How jobless? Wakati watu wamepangaa kwenye maeneo mapya ambayo yanawekewa utaratibu mzuri zaidi utakaofanikisha hata nchi kuanza kukusanya kodi kutoka kwenye hili kundi badae?
 
How jobless? Wakati watu wamepangaa kwenye maeneo mapya ambayo yanawekewa utaratibu mzuri zaidi utakaofanikisha hata nchi kuanza kukusanya kodi kutoka kwenye hili kundi badae?
Kiongozi, unajua huko wanakopelekwa hakuna wateja, wavumilivu ni wachache, wengi watajaribu kurudi na wengine kuacha kabisa coz mauzo yatashuka sana. Mfano ni pale Mbezi mwisho, wakiondokewa kupelekwa nyuma ya stand ya magufuli unadhani nani ataenda kununua bidhaa kule? Shana ya machinga ni kufuata mteja alipo, sio mteja kumufuata na sisi watanzania hatupendi kufuata huduma, tunapenda huduma zitufate, ndio maana machinga hawawezi kuisha.
 
Swala la machinga nampongeza Rais kwa kutoa maamuzi magumu machinga walishakuwa kero pia vibanda na uchafu ilikuwa aibu kwa majiji makubwa ilifanya tuonekane nchi ka ya vichaa, pia nimpongeze Makele jiji limeanza kuwa safi kuanzia Mwenge, ustawi na kwingine aisee vile vibanda plus mbao ulikuwa uchafu uliokubuhu Hadi nawaza kwanini machinga hawana aibu na hawajali usafi?
Bora kwao ilikuwa ni kutengeneza pesa tu bila kuzingatia ustaarabu. Hatuwezi kuishi vile!!
 
Bora kwao ilikuwa ni kutengeneza pesa tu bila kuzingatia ustaarabu. Hatuwezi kuishi vile!!
Kama nchi lazima kufata sheria na maisha sio rahisi kwa yoyote Sasa machinga walikuwa wanajiona exceptional na ni wanyonge usiku nilipita watu wajiji wakivunja hvo vibanda aisee mitaro ilikuwa imejaa matakataka na hizi mvua zingeleta mafuriko na milipuko ya magonjwa, na sasa jiji linaonekana safi
 
Bora kwao ilikuwa ni kutengeneza pesa tu bila kuzingatia ustaarabu. Hatuwezi kuishi vile!!
Kama nchi lazima kufata sheria na maisha sio rahisi kwa yoyote Sasa machinga walikuwa wanajiona exceptional na ni wanyonge usiku nilipita watu wajiji wakivunja hvo vibanda aisee mitaro ilikuwa imejaa matakataka na hizi mvua zingeleta mafuriko na milipuko ya magonjwa, na sasa jiji linaonekana safi
 
Kiongozi, unajua huko wanakopelekwa hakuna wateja, wavumilivu ni wachache, wengi watajaribu kurudi na wengine kuacha kabisa coz mauzo yatashuka sana. Mfano ni pale Mbezi mwisho, wakiondokewa kupelekwa nyuma ya stand ya magufuli unadhani nani ataenda kununua bidhaa kule? Shana ya machinga ni kufuata mteja alipo, sio mteja kumufuata na sisi watanzania hatupendi kufuata huduma, tunapenda huduma zitufate, ndio maana machinga hawawezi kuisha.
Mbona kariakoo watu wanatoka Hadi nje ya nchi kufata bidhaa, hao watakaoshindwa na biashara kufa watafte kitu kingine chakufanya
 
Mtu kula yake hajui itakuaje,unamuambia habari za usafi?
Machinga ni kama result tu,huku sababu kubwa ikiwa ni ujinga na umasikini uliotopea.....
Kula ya mtu kila mtu apambano nayo hyo sio kigezo Cha kuchafua mazingira kisa kula au kuvunja sheria za road reserve na hao machinga wengi walikimbia vijijini penye unafuu na kuja mijini wakitegemea kupanga vitu kwenye mitaro na barabara za wapita miguu then waachwe tu wao ni nani?
Wengine wanalipia frame Malaki ya hela wao wanataka tu vitu free tu coz wanajiona ni exceptional kisa kula, tena nampongeza mama kwa kuwasafisha hao machinga
 
Mbona kariakoo watu wanatoka Hadi nje ya nchi kufata bidhaa, hao watakaoshindwa na biashara kufa watafte kitu kingine chakufanya
Ndio nikasema, baadhi wataishia kuwa vibaka. Matokeo yake tutayaona very soon!

I'm not against kuweka mji sawa though.
 
Ndio nikasema, baadhi wataishia kuwa vibaka. Matokeo yake tutayaona very soon!

I'm not against kuweka mji sawa though.
Hao vibaka Raia wataua tu hamna shida, na ukiona kibaka ujue ndio tabia yake wala haihusiki na umachinga wa holela
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani Jana magari ya city yalikuwa yanazoa takataka kwenye mitaro hafu waachwe tu eti na vibanda wengine wanapika Hadi vyakula na hamna vyoo
Alafu kuna watu walikuwa wanatetea huu upuuzi! Watu weusi tunasikitisha sana
 
Kula ya mtu kila mtu apambano nayo hyo sio kigezo Cha kuchafua mazingira kisa kula au kuvunja sheria za road reserve na hao machinga wengi walikimbia vijijini penye unafuu na kuja mijini wakitegemea kupanga vitu kwenye mitaro na barabara za wapita miguu then waachwe tu wao ni nani?
Wengine wanalipia frame Malaki ya hela wao wanataka tu vitu free tu coz wanajiona ni exceptional kisa kula, tena nampongeza mama kwa kuwasafisha hao machinga
Kulikuwa na tabia za ajabu sana ilitengenezwa kwa watanzania! Watu hawataki kufuata taratibu na ustaarabu wa binadamu eti kisa kujiita mnyonge!

Walijipa hatimiliki ya kuvunja sheria, kuharibu miji, kuvunja utaratibu wa barabara zetu eti kisa wao ni wanyonge!

Huu ulikuwa ushamba uliotukuka
 
Back
Top Bottom