Kwa mara ya Kwanza nimepokea Call zaidi ya 500 na SMS 2076 ndani ya masaa 11; Vijana Nani kawaloga?

Kwa mara ya Kwanza nimepokea Call zaidi ya 500 na SMS 2076 ndani ya masaa 11; Vijana Nani kawaloga?

Kizazi hiki tulichinacho kuna umbwe kubwa sana yaan ni huzuni sana.
 
Serikali ifuatilie Sana. Kuna siku utalia mzinga hapa taifa litabaki mdomo wazi.
Hata wakisema wamfunge haitasaidia kwani aibu ishaingia tayari.

Wanasema jinga ni Bora kuliko Tiba, na Kheri lawama kuliko Fedheha
Kwani viongozi Ni kina Nani?!
Ulie tu huo mzinga . ... Itakuwa funzo kwao pia!

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Kwema Wakuu!

Simu yangu leo ilikuwa bize ungedhani ni Customer Care wa Voda, nimeiona, kihere here kimeniisha, hapa nimeblock all unknown Call ili simu yangu ipumzike Kwanza. Unaweza ona Masikhara lakini ndio ukweli wenyewe.

Kutokana na kile kilichotokea na kudaiwa kuwa video ya Msanii Oprah kuvuja, nikasema Acha nione nini kitatokea endapo nitaandika hivi; Anayehitaji connection ya Oprah anicheki Kwa namba 06********** nitamtumia tugawane dhambi"
Yaani nimemaliza tuu kupost haijaisha dakika moja simu na SMS zikaanza kuingia mfululizo, Kwa kweli nimestaajabu Sana.

Vijana wa kitanzania Nani aliyewaloga?
Connection ya uchi itakusaidia nini kwenye maisha yako?
Ukimuona Fulani akiwa uchi nini unapata au upuuzi tuu!

Ukiandika vya maana Mtandaoni Vijana hawana time navyo, andika upuuzi uone utavyoungwa Mkono, ninaushahidi Kwa Jambo hili Mimi binafsi.
Maandiko yenye kujenga hayapendelewi na vijana wa kitanzania, Ila andika matusi, chuki, kejeli au Stori za Mapenzi uone!

Nilikuwa napitia Ukurasa wa Kigogo2014 wa Facebook wiki hii niliona akipost angalau vitu vya maana vya kujenga jamii, kupost biashara za watu, akapost masuala ya umuhimu wa Biashara ya Fedha ya kidigitali, post zake zote zenye tija hakupata like hata Mia moja, lakini akipost matusi Kwa Viongozi au Jambo lolote negative Watanzania utaona like na comments za kutosha.

Hivi ni Nani aliwaloga Watanzania?
Ndio maana Dr. William wa Marekani anatumia mbinu ya Kutukana na kutoa maneno makali ili kupata uungwaji Mkono. Ajabu Sana hii!

Vijana wa kitanzania Nani amewaloga?

Connection sio zakuzifurahia Sana, ipo siku hapa itatokea aibu kubwa katika taifa letu Kama tabia hii haitakomeshwa, unachekelea kuona uchi wa wanawake wengine, siku ukimuona Mama yako, au Mkeo au binti yako ndio akili itawajilia.
Kuna mambo sio yakuyachekea hata kidogo.

Oooh! Aliyemuambia ajirekodi Uchi wake Nani, kwani alirekodi kwenye siku yako, wewe uliyepost uchi usiowako ndio unapaswa uchukuliwe hatua Kali za kinidhamu.

Sijui nini kinasababisha watu Kupenda wengine wakidhalilika na kuumia. Ni roho mbaya na chuki zisizo na maana.
Vijana wenye tabia hizi muache Kwa kweli. Jaribuni kujiweka katika nafasi za wahanga. Chukulia kuwa he huyo ingekuwa Mama yako ungefurahi, au angekuwa binti yako ungechekelea na kuomba Connection ya kuuona Uchi wa Mama yako au Binti Yako. Kama mmeshindwa kuwa na UTU basi kuweni hata Waungwana.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
We mwenyewe umelogwa, ujana ni maji ya moto, vijana huwa hawajaribiwi kwenye jambo lolote liwe baya au zuri, pia wewe hukuwa mstaarabu kwa kuwapitisha vijana kwenye majaribu ambayo sio ya lazima, kitu gani kingine umewahi kufanya ambacho ni positive kwa vijana zaidi ya hii ya kuwatia majaribuni!?
 
Mtu kujirekodi yeye mwenyewe kwenye simu yake sio tatizo.
Tatizo ni huyo mwizi wa kuchukua nyaraka za mtu mwingine na kuzihamisha bila ridhaa ya mhusika hiyo ndio sio haki.
Bado ni tatizo, unajirekodi ili iweje!? Kitendo cha kujirekodi tu unafanya jambo lolote ujue upo kwenye risk
 
We mwenyewe umelogwa, ujana ni maji ya moto, vijana huwa hawajaribiwi kwenye jambo lolote liwe baya au zuri, pia wewe hukuwa mstaarabu kwa kuwapitisha vijana kwenye majaribu ambayo sio ya lazima, kitu gani kingine umewahi kufanya ambacho ni positive kwa vijana zaidi ya hii ya kuwatia majaribuni!?

Sio kazi yangu kujifanya ujue nimefanya nini chenye manufaa, wanaopenda manufaa wanajua wenye kuandika mambo ya manufaa
 
Hamna Ajira ndio maana vijana wanapotea Kila siku.
 
Kwema Wakuu!

Simu yangu leo ilikuwa bize ungedhani ni Customer Care wa Voda, nimeiona, kihere here kimeniisha, hapa nimeblock all unknown Call ili simu yangu ipumzike Kwanza. Unaweza ona Masikhara lakini ndio ukweli wenyewe.

Kutokana na kile kilichotokea na kudaiwa kuwa video ya Msanii Oprah kuvuja, nikasema Acha nione nini kitatokea endapo nitaandika hivi; Anayehitaji connection ya Oprah anicheki Kwa namba 06********** nitamtumia tugawane dhambi"
Yaani nimemaliza tuu kupost haijaisha dakika moja simu na SMS zikaanza kuingia mfululizo, Kwa kweli nimestaajabu Sana.

Vijana wa kitanzania Nani aliyewaloga?
Connection ya uchi itakusaidia nini kwenye maisha yako?
Ukimuona Fulani akiwa uchi nini unapata au upuuzi tuu!

Ukiandika vya maana Mtandaoni Vijana hawana time navyo, andika upuuzi uone utavyoungwa Mkono, ninaushahidi Kwa Jambo hili Mimi binafsi.
Maandiko yenye kujenga hayapendelewi na vijana wa kitanzania, Ila andika matusi, chuki, kejeli au Stori za Mapenzi uone!

Nilikuwa napitia Ukurasa wa Kigogo2014 wa Facebook wiki hii niliona akipost angalau vitu vya maana vya kujenga jamii, kupost biashara za watu, akapost masuala ya umuhimu wa Biashara ya Fedha ya kidigitali, post zake zote zenye tija hakupata like hata Mia moja, lakini akipost matusi Kwa Viongozi au Jambo lolote negative Watanzania utaona like na comments za kutosha.

Hivi ni Nani aliwaloga Watanzania?
Ndio maana Dr. William wa Marekani anatumia mbinu ya Kutukana na kutoa maneno makali ili kupata uungwaji Mkono. Ajabu Sana hii!

Vijana wa kitanzania Nani amewaloga?

Connection sio zakuzifurahia Sana, ipo siku hapa itatokea aibu kubwa katika taifa letu Kama tabia hii haitakomeshwa, unachekelea kuona uchi wa wanawake wengine, siku ukimuona Mama yako, au Mkeo au binti yako ndio akili itawajilia.
Kuna mambo sio yakuyachekea hata kidogo.

Oooh! Aliyemuambia ajirekodi Uchi wake Nani, kwani alirekodi kwenye siku yako, wewe uliyepost uchi usiowako ndio unapaswa uchukuliwe hatua Kali za kinidhamu.

Sijui nini kinasababisha watu Kupenda wengine wakidhalilika na kuumia. Ni roho mbaya na chuki zisizo na maana.
Vijana wenye tabia hizi muache Kwa kweli. Jaribuni kujiweka katika nafasi za wahanga. Chukulia kuwa he huyo ingekuwa Mama yako ungefurahi, au angekuwa binti yako ungechekelea na kuomba Connection ya kuuona Uchi wa Mama yako au Binti Yako. Kama mmeshindwa kuwa na UTU basi kuweni hata Waungwana.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kati ya watu 100 watu 95 wanapendelea burudani zaidi ya kitu chochote duniani. Kwahiyo tegemea hilo na shetani kawekeza huko zaidi. Ukiweka jambo jema la kawaida hakuna atapenda ila lile la kusisimua mwili ni kama madawa ya kulevya na pombe utaona mwitikio wa 95%.

Hili pia ni fundisho kubwa sana kwa wajasiriamali kutumia huu utafiti wako mdogo
 
Kati ya watu 100 watu 95 wanapendelea burudani zaidi ya kitu chochote duniani. Kwahiyo tegemea hilo na shetani kawekeza huko zaidi. Ukiweka jambo jema la kawaida hakuna atapenda ila lile la kusisimua mwili ni kama madawa ya kulevya na pombe utaona mwitikio wa 95%.

Hili pia ni fundisho kubwa sana kwa wajasiriamali kutumia huu utafiti wako mdogo

Ni kweli wafanyabiashara wanaweza kukuchukulia hili Kama fursa
 
Manara katukana sana wakamwacha alipotukana wakubwa kapigwa banny
 
Alafu hii video hata siyo yeye... Yule siyo yeye...
 
Back
Top Bottom