Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu

Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu

Hakuna uchawi Wala kuroga. Ni ujinga tu na kuwa na Imani potofu. Uchawi kazi yake mabaya tu. Je mazuri ni ya nani. Jitambueni ni Imani za kijinga. Eti umekwenda Kwa mganga umemroga mkono au ndiyo wewe ulimvamia na kumuumiza mkono
 
................ila kuna mwamba anafirst class ya mzumbe ni bodaboda tabata so inawezekana pia, mzumbe walimbakisha akakataa akidhani huku nje atatoboa kirahisi na makaratasi yake,alipojaribu kurudi mzumbe wakamwambia imeisha huyo
Uyo jamaa najua anajuta sana.
Itakuwa motivation speaker walimchanganya inabd uwe makin sana kuwa sikiliza wale jamaa na uangalie na mazingira.
 
Sasa kilichokuumiza kuyafanya yote hayo ni kwa sababu jamaa mlisoma nae na hakuwa na uwezo mkubwa sana lakini alifanikiwa maishani kwa kiasi chake kukuzidi au kwa sababu alikutwanga, anakupotezea sana wewe na wana wengine au anawavimbia wana ?!

Jifunzeni kujua kuwa watu hubadilika wakipata au kuna pride zingine ziko ndani ya mtu ni za asili ni ngumu kubadilikika na kila mtu na qadar yake jinsi mungu amemuandikia ingawa jitihada na ibada hubadilisha mambo.

Jifunze kupuuza na kusamehe mtoto wa kiume.
 
Nina miaka kadhaa sasa.. But nilichojifunza, ukimfanyia mtu ubaya au kufanya kitu kibaya, kitakurudia tu... tena kwanmna tofauti au ilele katika mtazamo tofauti.. Yeye alivyo kupiga na kukudharau halikwamba huna kosa, yeye ingempata kwa namna nyingne.. angepigwa tu kwa namna nyingne..
ila ujachelewa ndugu yangu mrudie Mungu wako Utubu.. omba toba kwa mwenyezi Mungu...
 
Ni kweli uchawi upo. Ila wakati mwingine unaweza kuhisi mtu amepatwa jambo kama majibu ya kombora ulilorusha kumbe ni coincidence tu unampa mganga credit.
Kama ni coicedence huyu asingepata taarifa. Hii ina maana ni kombora lake limefanya kazi. Pia mnaosema akijua atamuua jua tangu mwanzo wa yote muumba yuko anatizama. Si rahis muonewaji afe kwa kisasi cha ubaya mimi nimeona wengi wakifa na wengine wakifiwa na kupatwa na ajali, mikosi na balaa kwa ajili ya ujeuri wao na uonevu.
 
Back
Top Bottom