Kwa mara ya kwanza toka 1979 Tanzania inapata uhaba wa pesa za kigeni bila ya kuwa vitani

Kwa mara ya kwanza toka 1979 Tanzania inapata uhaba wa pesa za kigeni bila ya kuwa vitani

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
 
Nani kama Mama

FB_IMG_1687975860493.jpg
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Kuna Vita ya ufisudi
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Kumbe waziri wa pesa ni nani vile? Tujikumbushe na elimu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema ni tatizo la Dunia nzima. Federal Bank imepandisha interest rate.

Hivyo ndivyo atakavyojibu, Mwigulu Nchemba, mchumi first class, Ph.D.

Atamalizia kwa kusema, uchumi muachieni yeye, jadilini uganga. Kama hamtaki hamieni Burundi.
🚶
 
Wanasema ni tatizo la Dunia nzima. Federal Bank imepandisha interest rate.

Hivyo ndivyo atakavyojibu, Mwigulu Nchemba, mchumi first class, Ph.D.

Atamalizia kwa kusema, uchumi muachieni yeye, jadilini uganga. Kama hamtaki hamieni Burundi.
Hahahahaha
 
CHUKI ZAKO IPO SIKU ZITAKUUWA MWENYEWE,NCHI YETU KWA SASA INANUNUA MACHINERY NYINGI NJE KWA AJILI YA VYUMA VYA RELI,BAADHI YA VIFAA VYA GHARAMA KUBWA VYA DAMS ZA UMEME ZENYE UHITAJI WA MILLIONS OF DOLLARS,HAYA YAKIISHA HALI ITA STABILIZE.
NOTE THIS!
Usitupange Kuna muda serikali iliweka sera nzuri ya ubadilishaji fedha. Wenye akili kuliko mwenye akili wakatoa hiyo sheria. Hahahha
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Sababu ya uhaba huu ni kwamba nchi imevamiwa na kutekwa na mafisadi. Wako mpaka ikulu
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Chawa Wanasema mama anahujumiwa
 
Back
Top Bottom