Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Tatito watu wanaweka pesa ndani kwa mfumo wa dola, matokeo yake hazipatikani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni udhibiti mdogo wa wizara ya fedhaTatito watu wanaweka pesa ndani kwa mfumo wa dola, matokeo yake hazipatikani
Kwan c kuna chawa wa mama humu walisema tatizo ni maduka ya kubadili fedha ndio yamesababisha uhaba wa dollar? Au ni njaa zao tu hawa machawa!!Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.
Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.
Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Nchi ganiHata nchi jirani USD hakuna
Wazungu wameanza kuamini hao usiowaamini kuendesha Bandari zao, kuendesha ligi zao za Mpira, kuruhusu kuwekeza kwenye masoko yao ya mitaji n.kSijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar na sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
we ulikuwepo huo mwaka au umehadithiwaMwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.
Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.
Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
we ulikuwepo huo mwaka au umehadithiwa
Lengo la kuongea hivyo ni nini?we ulikuwepo huo mwaka au umehadithiwa
Hii si kweli labda haukuwepo.Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.
Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.
Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Ukweli ni upi?Hii si kweli labda haukuwepo.
Kweli kaka..hawa watu wanauswahili Sana. Mpango akiwa Rais haya Mambo yataishaSijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar na sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
Simple tu, tumetumia fedha za kigeni kulipia madeni. Sasa sijui usd tulizokopa zimeenda wapi hadi nchi inakosa fedha hasa USD 🤔Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.
Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.
Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Siyo kweli.Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.
Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.
Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Ukweli ni kwamba kunawakati hatukuwa na dawa hospitalini na zakusafisha maji(mamlaka za maji) mafuta kwa mgao marufuku kidumu, safari za nje kwa kibali toka Benki Kuu na mengine mengi.Ukweli ni upi?
Nyerere alikataa masharti ya mkopo. Ndio maana akang'atuka. Tulivyokubali mashart wakati wa mwinyi shilingi ikaanguka mpaka leoUkweli ni kwamba kunawakati hatukuwa na dawa hospitalini na zakusafisha maji(mamlaka za maji) mafuta kwa mgao marufuku kidumu, safari za nje kwa kibali toka Benki Kuu na mengine mengi.
Vilaza waliopo Bungeni ni matokeo ya hao akili kubwaaz kwny uchaguzi wa 2020Ila tanzania ilitoka uchumi mdogo kwenda wa kati. Kwa sababu akili iliyokuwa inaongoza nchi ilikuwa kubwa, saiz vilaza ndo wamejaa bungeni na wizarani