Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

Kichwa cha kuku hakibebi mzigo hivi mnachangiaje mtu hela kununua gari ili hali ni tajiri yaani wabongo wengi kichwani ni weupe kila mtu apambane na hali yake .
Asante
 
Mkuu, hebu tupe namna ya kuchangia na sisi tushiriki kwenye kuandika historia ya huyu mwamba!
 
Hatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?

Sidhani kama tuko serious.

..Ccm wanapokea ruzuku toka serikalini bilioni 3 kila mwezi.
 
Hongera zenu ila zisiingie kwenye a/c join the chain huwa ha!ijulikani zinaishia wapi kwenye vitabu vya mapato na matumizi hazionekani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…