Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahahaha[emoji23]Texts zako hujazikuta? Au calls?? Siku hizi kuwa na Binti wa Chuo unatakiwa kuwa na Roho ya CCM yaani katili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha[emoji23]Texts zako hujazikuta? Au calls?? Siku hizi kuwa na Binti wa Chuo unatakiwa kuwa na Roho ya CCM yaani katili
Umevunja sheriaNaweza sema ni mke, tumeishi wote kabla ya mambo ya masomo, ngazi za chini mimi ndo nimemsomesha, wazazi wananijua. Kifupi nilishakabidhiwa na wazazi wake muda mrefu.
NAKAZIASasa umekuwa balozi mzuri wa wale wanaosema mchumba hasomeshwii.
Unachukua mwanamke, unaweka hela zako juu yake, unamleta chuo ili wahuni wafwaidi.
Wahenga walisema: Mchumba hasomeshwi.
Kazi ipoLeo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-
1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"
2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupika chakula soon. Inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.
Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.
3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.
4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake
5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui
6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"
7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.
Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili.
Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.
Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.
Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.
Kuna picha nyingine tatu za kiuno, sijui ni nani alitumiwa. Hizi conversations zote ni za 2024, imagine?
Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
Tufuatilie Millard Ayo news Kwa ukaribu.....🤣🤣🤣Jamaa hajarudi tena atakua ashaua mtu huko
Hayo mambo ya homa ya ini mnatutisha.....mtu unaweza kuamua kubaki single,Duh ya kweli haya au story tu 😀😀
Sipat picha hiyo homa ya ini akipata mmoja watu 7 wanapenda futi 6 wote
Yani acha tu watu Wala hawajali afyazao aiseeHayo mambo ya homa ya ini mnatutisha.....mtu unaweza kuamua kubaki single,
Yani umekaa umejitulizia zako mtoto wa watu, unafuata masharti ya Dokta Janabi, hata chipsi huli.....halafu toto la mtu liko busy kuhangaika kukuletea magonjwa ya kutisha.....inauma.
Na wanahatarisha za wengine....Imagine unakula tango moja na maji ulinde afya yako, uepuke magonjwa yasiyoambukiza......halafu mtu Kwa Raha zake anakuletea magonjwa ya kuambiza....Yani acha tu watu Wala hawajali afyazao aisee
Haha unamroga tu yaishe😀😀😀Na wanahatarisha za wengine....Imagine unakula tango moja na maji ulinde afya yako, uepuke magonjwa yasiyoambukiza......halafu mtu Kwa Raha zake anakuletea magonjwa ya kuambiza....
Now nimeelewa kwa nini Mungu aliruhusu wale malaika wafundishe watu uchawi, kuna mambo mengine sio ya kumuachia Mungu.
Are you sure una amani moyoni because i can clearly see una interpersonal conflictLeo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-
1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"
2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupika chakula soon. Inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.
Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.
3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.
4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake
5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui
6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"
7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.
Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili.
Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.
Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.
Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.
Kuna picha nyingine tatu za kiuno, sijui ni nani alitumiwa. Hizi conversations zote ni za 2024, imagine?
Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
Sikumuomba msamaha. Ingawa ndugu waliniona mkorofi sana. Niliwaeleza ile scenario hawakuniamini, ni dada yangu mmoja tu ndio alikua upande wangu. Ndugu wengine walikua upande wa yule binti.Mbona hujamalizia, ulimuomba msamaha? Au uliendelea nae?
uko sawa kiongozi, haya majitu haya fai kabisaa kuwekeza moyo na akili, acha tuwe wapitaji watusameheSikumuomba msamaha. Ingawa ndugu waliniona mkorofi sana. Niliwaeleza ile scenario hawakuniamini, ni dada yangu mmoja tu ndio alikua upande wangu. Ndugu wengine walikua upande wa yule binti.
Tokea ile siku sikua na hisia nae tena. Sikuweza kuendelea nae. Imeshapita miaka minne sasa. Mtu akiniletea habari za commitment sijui kumuamini mwanamke, mara kuoa namuona hayuko sawa kabisa!!!
Mi nadhan inawezekana umalaya ni maumbile km yalivyo mambo mengine mtu kua mkunya au muongeaji sanaSikumuomba msamaha. Ingawa ndugu waliniona mkorofi sana. Niliwaeleza ile scenario hawakuniamini, ni dada yangu mmoja tu ndio alikua upande wangu. Ndugu wengine walikua upande wa yule binti.
Tokea ile siku sikua na hisia nae tena. Sikuweza kuendelea nae. Imeshapita miaka minne sasa. Mtu akiniletea habari za commitment sijui kumuamini mwanamke, mara kuoa namuona hayuko sawa kabisa!!!