Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.

Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Pendekeza maswali yako Leta hapa tuyachambue tuone Kama yatafaa kuwa mbadala
 
Kwani wewe hawakutumii kwenye simu yako?
Ilitakiwa liwepo swali linalohusu katiba mpya. Kujua kama wananchi wanafahamu katiba iliyopo na endapo wangehitaji katiba mpya.

Pia swali la uchumi liwepo. Je, mwananchi anaonaje hali ya kiuchumi katika eneo lake? Nzuri, inaridhisha, mbaya au haieleweki! Ili sasa wazee wa tozo wajue kama waendelee na tozo au wasitishe kwanza!
View attachment 2331390
Hii ndiyo maana ya uandishi uliotimia! Ahsante sana ngosha
 
Tunafanya sensa mara moja tu kila baada ya miaka 10....na bado watu wanaona maswali mengi! Issue hapa ni maswali ya msingi, yatasaidia kutambua ukubwa wa mahitaji ya msingi, by the way...huhitaji haya certificate ya darasa la 7 kuyajibu!
Then hio itasaidia kupunguza tozo sio?
 
Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.

Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Unafahamu kitu inaitwa skip katika utafiti? Si kila mtu au kila kaya inaulizwa maswali yote.
 
Kwani wewe hawakutumii kwenye simu yako?
Ilitakiwa liwepo swali linalohusu katiba mpya. Kujua kama wananchi wanafahamu katiba iliyopo na endapo wangehitaji katiba mpya.

Pia swali la uchumi liwepo. Je, mwananchi anaonaje hali ya kiuchumi katika eneo lake? Nzuri, inaridhisha, mbaya au haieleweki! Ili sasa wazee wa tozo wajue kama waendelee na tozo au wasitishe kwanza!
View attachment 2331390
Afadhali wewe unafikra chanya si Ileje mwenye mawazo mgando. Kukujibu, ni kuwa maswali ya muhimu ni mengi na ukitaka yote yaulizwe ni gharama kubwa sana. Usisahau kuwa swali moja ni sawa na billion moja. Mfano Uhusiano na mkuu wa kaya gharama yake ni billion moja
 
Wameanza kupitia kuchukua taarifa sensa katika taasisi za uma sasa jana wamekuja watu wa sensa tulichukuwa dk kama 20 aisee ni kweli kuna maswali mengine yanaboa yanakera yanakatisha tamaa ya mazungumzo mm jana niliulizwaa eti humu huwa mnatumia choo gani? Haya jamaani semeni hata nyinyi takwimu hadi idadi ya vyoo navyo huku kupotezeana mida tu
 
Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.

Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Hili ni paper LA form six
 
Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.

Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Wao watakula wapi?

Kimsingi wamejiwekea kazi ya kufanya ili wale pesa ndefu.
 
Back
Top Bottom