Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma ndio ujibuHii ni ramli kama ramli zingine tu.
Watanzania ni watu wa kulalamika kila siku, kila kitu.
Ingekua ulaya wangemalizia others (specify) 😀Swali la 3.
Je wewe ni mwanaume au MWANAMKE?😄
Fundi maikoKuna swali linauliza nyumba unayoishi alipaua nani na aliyesakafia ni nani?
Hahahaha bado kituko tu kwamba mm baba ni me au ke ? Huoni ni kuvunjiana heshima hapo ?Swali hili lita onekana kwa karani ila hutaulizwa kama upo hapo kama haupo, karani anaweza kuuliza kujiridhidha.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Kwamba una jinsia ya mchongo hasa hawa ma LBGTIngekua ulaya wangemalizia others (specify) [emoji3]
[emoji28][emoji28]Kama unajenga kwa nini umeishia kwenye renta,, huyu Samia kazi kweli.....isitoshe Mimi nipo kwenye renta sasa sijui nisubiri bati
Weka maswali yako wewe yanayomzidi uelewa Dr. Chuwa, ili nawewe ujipambanue nasi tuyachambue na tupime uwezo wako wa kuchanganua mambo. Acheni kejeri ndugu watanzania wenzanguHuyu mama Dr. Chuwa ameshiriki sana sensa ila kwa hapa ameonyesha jinsi PhD yake haijamsaidia kupambanua mambo!
Ujinga umekutawala! Mwambie Chuwa anipe hiyo consultancy!Weka maswali yako wewe yanayomzidi uelewa Dr. Chuwa, ili nawewe ujipambanue nasi tuyachambue na tupime uwezo wako wa kuchanganua mambo. Acheni kejeri ndugu watanzania wenzangu
Sijui waliwapata wapi watu wa kutunga maswali ya kijinga kama haya!Ulikuja lini kwenye huu mkoa halafu tena una muda gani kwenye huu mkoa...