Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

Data ya sensa! Mfumo wetu pesa ya maendeleo anatoa Rais kwa utashi wake, hatumii Data ya sensa wala bajeti ya bunge.
Hilo ndilo linatatiza. Hata ukiona uwakilishi ni matakwa ya mtu bila kutumia data ya sensa. Ukweli hata mipango kwenye WDC inategemea utashi wa diwani na haifuati vipaumbele ndo maana tunaanguka. Aidha kitendo cha Dr Mpango kuua Tume ya Mipango kiliharibu planning ya nchi hii. Angalau sasa Mama anataka kuifufua
 
Tunapozungumza kuhusu Mashirika/Taasisi/Wizara Nyingi za Serikali zinaongozwa na watu wenye uwezo mdogo sana(Kutathimini,Kuchambua,kuchanganua,kutafakari,kufikiri,kutunga sera na mikakati,kusimamia utekelezaji.nk);Maswali mengi ya Sensa ni ya kijinga/kipuuzi na kubwa yanaaingilia "Life privacy"ya mtu. Hata kuyajadili na kuyachambua ni aibu: "JUDGE A MAN BY HIS QUESTION'S RATHER THAN HIS ANSWER'S" By voltaire:
 
Tunapozungumza kuhusu Mashirika/Taasisi/Wizara Nyingi za Serikali zinaongozwa na watu wenye uwezo mdogo sana(Kutathimini,Kuchambua,kuchanganua,kutafakari,kufikiri,kutunga sera na mikakati,kusimamia utekelezaji.nk);Maswali mengi ya Sensa ni ya kijinga/kipuuzi na kubwa yanaaingilia "Life privacy"ya mtu. Hata kuyajadili na kuyachambua ni aibu: "JUDGE A MAN BY HIS QUESTION'S RATHER THAN HIS ANSWER'S" By voltaire:
Kwa utafiti mdogo nilioufanya hapa Nkuhungu Dodoma sensa imefeli. Serikali haitapata takwimu sahihi.
 
Kwamba sensa itafanyika kwa siku saba. Kwa hakika sensa ya mwaka huu itavunja rekodi!
 
Na bado maswali hayawezi kuisha.Mfano hawajauliza ninakohifadhi pesa yangu,milo ninayokula kwa siku hata jumla faida niingizayo ktokana na shghl yangu.so wangepunguza tu maswali maana data nyngne zipo ktk taasisi mbalmbal
 
Hilo ndilo linatatiza. Hata ukiona uwakilishi ni matakwa ya mtu bila kutumia data ya sensa. Ukweli hata mipango kwenye WDC inategemea utashi wa diwani na haifuati vipaumbele ndo maana tunaanguka. Aidha kitendo cha Dr Mpango kuua Tume ya Mipango kiliharibu planning ya nchi hii. Angalau sasa Mama anataka kuifufua
Aliona haina faida kwani haifuatwi.
 
Siafikiani na wewe! Hii ilichagizwa na Usimba na Yanga kati ya Tume ya Mipango na Hazina.
Jiwe alikuwa na maamuzi yake ya nini cha kufanya na nini cha kutokufanya bila kujali umuhimu wa kwanza, unakuwa na mipango kisha rais anasema sitatoa pesa huko kwa wapinzani! Hao wapinzani wametoka dunia ipi! Wananchi wanaolipa kodi nawe ukazichukua unawaita wapinzani na hautaki kuwapa pesa zao! Faida ya mipango ni kutumiwa na kama haitumiwi haina faida.
 
Sasa tumeshinda toka asbh hapa nyumbani na bado sijamwona karani wa sensa. Ina maana na kesho nishinde home namsubiri? Nadhani sasa itabidi anisubiri yeye
 
kwa wingi wa haya maswali zoezi litachukuwa siku 30,
Note my words. hivyo serekali itapata mzigo mkubwa kweli wa kulipa watendaji wa sensa.
 
Mpaka mda huu cjaona karani wala mtu yeyote hata mjumbe na ni saa 10 jioni toka asubuhi wanasubiri kesho sitakuwepo hatanikuti watajijua wenyewe bhana
 
Back
Top Bottom