Keshoyangu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2021
- 365
- 1,082
Pendekeza maswali yako Leta hapa tuyachambue tuone Kama yatafaa kuwa mbadalaKwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Household Budget Survey bwasheeSwali namba 59.
Una mtaji wa Shilingi ngapi na uliutoa wspi?
Hili swali watapewa majibu ya uongo tupu
Hii ndiyo maana ya uandishi uliotimia! Ahsante sana ngoshaKwani wewe hawakutumii kwenye simu yako?
Ilitakiwa liwepo swali linalohusu katiba mpya. Kujua kama wananchi wanafahamu katiba iliyopo na endapo wangehitaji katiba mpya.
Pia swali la uchumi liwepo. Je, mwananchi anaonaje hali ya kiuchumi katika eneo lake? Nzuri, inaridhisha, mbaya au haieleweki! Ili sasa wazee wa tozo wajue kama waendelee na tozo au wasitishe kwanza!
View attachment 2331390
Then hio itasaidia kupunguza tozo sio?Tunafanya sensa mara moja tu kila baada ya miaka 10....na bado watu wanaona maswali mengi! Issue hapa ni maswali ya msingi, yatasaidia kutambua ukubwa wa mahitaji ya msingi, by the way...huhitaji haya certificate ya darasa la 7 kuyajibu!
Huyu mama Dr. Chuwa ameshiriki sana sensa ila kwa hapa ameonyesha jinsi PhD yake haijamsaidia kupambanua mambo!Waliotayarisha sensa hawajawahi kushiriki sensa.
Unafahamu kitu inaitwa skip katika utafiti? Si kila mtu au kila kaya inaulizwa maswali yote.Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Una uhakika wewe! Unajua kuwa data halisi ni data ya sensa na si surveys!Huyu mama Dr. Chuwa ameshiriki sana sensa ila kwa hapa ameonyesha jinsi PhD yake haijamsaidia kupambanua mambo!
🤣🤣🤣Then hio itasaidia kupunguza tozo sio?
Afadhali wewe unafikra chanya si Ileje mwenye mawazo mgando. Kukujibu, ni kuwa maswali ya muhimu ni mengi na ukitaka yote yaulizwe ni gharama kubwa sana. Usisahau kuwa swali moja ni sawa na billion moja. Mfano Uhusiano na mkuu wa kaya gharama yake ni billion mojaKwani wewe hawakutumii kwenye simu yako?
Ilitakiwa liwepo swali linalohusu katiba mpya. Kujua kama wananchi wanafahamu katiba iliyopo na endapo wangehitaji katiba mpya.
Pia swali la uchumi liwepo. Je, mwananchi anaonaje hali ya kiuchumi katika eneo lake? Nzuri, inaridhisha, mbaya au haieleweki! Ili sasa wazee wa tozo wajue kama waendelee na tozo au wasitishe kwanza!
View attachment 2331390
Ukiyaona jtasonya....eti unaulizwa wewe ni mwanaume au mwanamke?Hayo maswali yako wapi? Acha kuandika vitu nusu nusu
Sio kweli...Kuna swali linauliza nyumba unayoishi alipaua nani na aliyesakafia ni nani?
Wacha tuliwekee tuone kama litasoma! Mavi-Jana mengi ya Tanzania yamekuwa ya hovyo hovyo tu!Acha uzembe na uvivu wa kusoma na kutafuta! Hata ungewekewa hapa hayo maswali ungetaka tukusomee!
Halipo hilo swali na kama lipo sijibu😅😅😅Kuna swali linauliza nyumba unayoishi alipaua nani na aliyesakafia ni nani?
Hili swali mnatunga auSwali la 42 ndo wamechemka kabisa,42.umeoa na una watoto wangapi na je una uhakika hawa watoto ni damu Yako?🤦nadhani sensa ya mwaka huu imelenga kuvunja ndoa za watu🙄🙌
Hili ni paper LA form sixKwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
Wao watakula wapi?Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!