Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Ukija kwenye ibada utaniona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wee,sema kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukija kwenye ibada utaniona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wee,sema kweli?
🤣🤣🤣🙌🏿Ukija kwenye ibada utaniona
😀 😀 😀 tatizo nafsi inakuwa haina amani, nikifikiria wanavyotathminiUsikute majirani walikuwa wanakuona mgonjwa...Jana ndo wamejua Una afya ....unahangaika bure tu
ha ha haHama hiko chumba afu tatu
Wanaweza wakaniitisha kwenye kikao cha mtaa kwa kuwapigia keleleNakuhakikishia hapo heshima ndio imepanda maradufu comrade, siku nyingine ukipata show peleka moto mpaka majirani waje kukugongea mlango.
Heshima ya mwanaume ni mashinee
Tumerudi saa tisa usiku, pia kupiga mziki usiku kwa jamii iliyostaarabika inakuwa changamoto 😀 ; ila ata kama ingekuwepo spika isingesaidia.Kwani huna radio kwako? BT speaker zinauzwa hadi za 12k mbona usinunue😂😂
pambana sasa
Nimeona kuna ulazima wa kutokuogopa binadamu, lasivyo unaweza kuleta ugonjwa wa sonona au preshaIna elekea D huogopi kabisa mambo haya, mpaka una muambia asiogope binadamu
Ebu record tusikilize ili tukushauri huo mlio urudishe heshima iliyopotea.Jana nilitembelewa na mzazi mwenzangu (mchepuko) kutoka mkoa wa jirani; na lengo la safari yake ni kwa ajili ya kupeana vitamini S, pamoja na kujadili mambo ya kimaisha, kibiashara n.k
Kwa sababu ni muda mrefu tulikuwa hatujaonana, takribani miezi mitano hivi; ikawa ni furaha kwetu wote kuonana tena.
Ikabidi nimtoe 'out' kidogo, kwa sababu ni mtu anayependa kwanja/kupari/kuosha macho viwanjani.
Baada ya kurudi nyumbani, tukaanza kufanya yetu; ile kuchochea kuni ili moto uwake vizuri, ikawa ni full kuimba pambio; ''equation x weee, equation x wee...''. Mbaya zaidi alikuwa anapiga makelele sana mpaka majirani wakawa wanasikia, na kingine kilichoniuma zaidi ni kuendelea kutaja jina langu.
Baada ya kumaliza zoezi, namuuliza kwa nini ulikuwa unapiga makelele hivyo mpaka kuniaibisha kwa majirani? Akanijibu, alikuwa hapigi kelele na hakumbuki lolote.
Leo asubuhi wakati natoka naenda kwenye ibada, naona majirani wananitazama kwa macho ya chini chini; huku mimi nikiwa sina ujasiri tena.
Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?
Nipo kambi tu kwa majukumujenga kwako ndugu
basi huna cha kupoteza mkuu wewe pita na taulo huku ukimba nyimbo ya matikiti kudondoka kwa mluziNipo kambi tu kwa majukumu
😀 😀 😀 kwa mazingira hayo heshima inaweza kurudi kweli?Mwenetu isije kua ww...juzi Kuna mpangaji alikua anapiga kama anaua watu tukaamka tukajua labda wamelewa wanapigana.... kuskiliza kwa makini inaskika ".....piga baba hii yote ni yako....ongeza mm ndo mtoto wa kitanga" Kila mtu alirudi ndani kimya kimya huku wanafyonza
Tatizo mrembo alikuwa anataja jina langu kwa sauti, huku akitoa ushirikiano wa kutosha; nikijaribu kumzuia mdomoni, anatoa mkono 😀 😀Waambie ulikuwa unaangalia XVideos
Heshima ni nn Kwa mtazamo wako😀 😀 😀 kwa mazingira hayo heshima inaweza kurudi kweli?
Tafuta pesa ujenge nyumba yako.Jana nilitembelewa na mzazi mwenzangu (mchepuko) kutoka mkoa wa jirani; na lengo la safari yake ni kwa ajili ya kupeana vitamini S, pamoja na kujadili mambo ya kimaisha, kibiashara n.k
Kwa sababu ni muda mrefu tulikuwa hatujaonana, takribani miezi mitano hivi; ikawa ni furaha kwetu wote kuonana tena.
Ikabidi nimtoe 'out' kidogo, kwa sababu ni mtu anayependa kwanja/kupari/kuosha macho viwanjani.
Baada ya kurudi nyumbani, tukaanza kufanya yetu; ile kuchochea kuni ili moto uwake vizuri, ikawa ni full kuimba pambio; ''equation x weee, equation x wee...''. Mbaya zaidi alikuwa anapiga makelele sana mpaka majirani wakawa wanasikia, na kingine kilichoniuma zaidi ni kuendelea kutaja jina langu.
Baada ya kumaliza zoezi, namuuliza kwa nini ulikuwa unapiga makelele hivyo mpaka kuniaibisha kwa majirani? Akanijibu, alikuwa hapigi kelele na hakumbuki lolote.
Leo asubuhi wakati natoka naenda kwenye ibada, naona majirani wananitazama kwa macho ya chini chini; huku mimi nikiwa sina ujasiri tena.
Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?