Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?

Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?

Mwenetu isije kua ww...juzi Kuna mpangaji alikua anapiga kama anaua watu tukaamka tukajua labda wamelewa wanapigana.... kuskiliza kwa makini inaskika ".....piga baba hii yote ni yako....ongeza mm ndo mtoto wa kitanga" Kila mtu alirudi ndani kimya kimya huku wanafyonza
 
Jana nilitembelewa na mzazi mwenzangu (mchepuko) kutoka mkoa wa jirani; na lengo la safari yake ni kwa ajili ya kupeana vitamini S, pamoja na kujadili mambo ya kimaisha, kibiashara n.k

Kwa sababu ni muda mrefu tulikuwa hatujaonana, takribani miezi mitano hivi; ikawa ni furaha kwetu wote kuonana tena.

Ikabidi nimtoe 'out' kidogo, kwa sababu ni mtu anayependa kwanja/kupari/kuosha macho viwanjani.

Baada ya kurudi nyumbani, tukaanza kufanya yetu; ile kuchochea kuni ili moto uwake vizuri, ikawa ni full kuimba pambio; ''equation x weee, equation x wee...''. Mbaya zaidi alikuwa anapiga makelele sana mpaka majirani wakawa wanasikia, na kingine kilichoniuma zaidi ni kuendelea kutaja jina langu.

Baada ya kumaliza zoezi, namuuliza kwa nini ulikuwa unapiga makelele hivyo mpaka kuniaibisha kwa majirani? Akanijibu, alikuwa hapigi kelele na hakumbuki lolote.​

Leo asubuhi wakati natoka naenda kwenye ibada, naona majirani wananitazama kwa macho ya chini chini; huku mimi nikiwa sina ujasiri tena.

Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?
Ebu record tusikilize ili tukushauri huo mlio urudishe heshima iliyopotea.
 
Mwenetu isije kua ww...juzi Kuna mpangaji alikua anapiga kama anaua watu tukaamka tukajua labda wamelewa wanapigana.... kuskiliza kwa makini inaskika ".....piga baba hii yote ni yako....ongeza mm ndo mtoto wa kitanga" Kila mtu alirudi ndani kimya kimya huku wanafyonza
😀 😀 😀 kwa mazingira hayo heshima inaweza kurudi kweli?
 
Jana nilitembelewa na mzazi mwenzangu (mchepuko) kutoka mkoa wa jirani; na lengo la safari yake ni kwa ajili ya kupeana vitamini S, pamoja na kujadili mambo ya kimaisha, kibiashara n.k

Kwa sababu ni muda mrefu tulikuwa hatujaonana, takribani miezi mitano hivi; ikawa ni furaha kwetu wote kuonana tena.

Ikabidi nimtoe 'out' kidogo, kwa sababu ni mtu anayependa kwanja/kupari/kuosha macho viwanjani.

Baada ya kurudi nyumbani, tukaanza kufanya yetu; ile kuchochea kuni ili moto uwake vizuri, ikawa ni full kuimba pambio; ''equation x weee, equation x wee...''. Mbaya zaidi alikuwa anapiga makelele sana mpaka majirani wakawa wanasikia, na kingine kilichoniuma zaidi ni kuendelea kutaja jina langu.

Baada ya kumaliza zoezi, namuuliza kwa nini ulikuwa unapiga makelele hivyo mpaka kuniaibisha kwa majirani? Akanijibu, alikuwa hapigi kelele na hakumbuki lolote.​

Leo asubuhi wakati natoka naenda kwenye ibada, naona majirani wananitazama kwa macho ya chini chini; huku mimi nikiwa sina ujasiri tena.

Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?
Tafuta pesa ujenge nyumba yako.
 
Back
Top Bottom