Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Nawahamisha wakaazi wote wa Rufiji Handeni,halafu Rufiji nawakodishia Waarabu miaka mia moja.Tunatafuta solutions juu ya hali inayo endelea RUFIJI.
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio kiongozi mwenye dhamana ungechukua hatua zipi juu ya hali inayo endelea RUFIJI?
Tiririka mawazo yako yanaweza kuonekana.
Unaweza kusimama kama waziri, injinia, mkurugenzi wa TANESCO, meneja wa bonde la RUFIJI, mkuu wa wilaya vyovyote toa mawazo yako tuyapime.
Ahsante kwa mchangoNawahamisha wakaazi wote wa Rufiji Habdeni,halafu Rufiji nawakodishia Waarabu miaka mia moja.
1. Kuhamisha watu wote toka eneo hilo huku wakilipwa fidia.Tunatafuta solutions juu ya hali inayo endelea RUFIJI.
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio kiongozi mwenye dhamana ungechukua hatua zipi juu ya hali inayo endelea RUFIJI?
Tiririka mawazo yako yanaweza kuonekana.
Unaweza kusimama kama waziri, injinia, mkurugenzi wa TANESCO, meneja wa bonde la RUFIJI, mkuu wa wilaya vyovyote toa mawazo yako tuyapime.
Nawalipa fidia na kuwahamishia msomera wakakae na wamasai. Kimsingi bwawa halina tatizo ila utekelezaji wake ndio umefanyika kienyeji.Tunatafuta solutions juu ya hali inayo endelea RUFIJI.
View attachment 2960810
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio kiongozi mwenye dhamana ungechukua hatua zipi juu ya hali inayo endelea RUFIJI?
Tiririka mawazo yako yanaweza kuonekana.
Unaweza kusimama kama waziri, injinia, mkurugenzi wa TANESCO, meneja wa bonde la RUFIJI, mkuu wa wilaya vyovyote toa mawazo yako tuyapime.
Ahsante kwa mchango wakoNawalipa fidia na kuwahamishia msomera wakakae na wamasai. Kimsingi bwawa halina tatizo ila utekelezaji wake ndio umefanyika kienyeji.
Ahsante kwa mchango wakoHapo hakuna cha kufanya zaidi ya kupeleka misaada na special rescue team..
Hakuna siasa ktk jambo kama hilo then NEXT sasa ni kuweka mikakati.
Ngj niulize kidg hivi huko si naskia kuna MAMBA?
Ahsante kwa mchango wakoPray for rufiji...
Ahsante kwa mchango wakoWananchi wamelifuata bwawa na kujenga makazi. Waondoke.
🤣🤣🤣🤣mbavu zanguNawahamisha wakaazi wote wa Rufiji Handeni,halafu Rufiji nawakodishia Waarabu miaka mia moja.
Ningewahamisha kila mtu sehemu anayotaka na kuwajengea nyumba zao upya na kuwapa mtaji ili angalau wawe kama walivyokuwa kabla ya mafutiko kutokea.halafu eneo Lao lililo athurika ningegeuza bwana la samaki mamba kiboko nkTunatafuta solutions juu ya hali inayo endelea RUFIJI.
View attachment 2960810
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio kiongozi mwenye dhamana ungechukua hatua zipi juu ya hali inayo endelea RUFIJI?
Tiririka mawazo yako yanaweza kuonekana.
Unaweza kusimama kama waziri, injinia, mkurugenzi wa TANESCO, meneja wa bonde la RUFIJI, mkuu wa wilaya vyovyote toa mawazo yako tuyapime.