Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana kwa mchangoNingekua mimi ndio Rais.
Ningemfuta Kazi Mkurugenzi wa Mipango miji nchini.
Kufuta kazi afisa Ardhi Rufiji
Futa kazi DED Rufiji.
Ningepima maeneo mengine Rufiji ni kubwa kuweka ukomo wa shuguli na maisha ya binadamu kutoka bonde la Mto Rufiji.
NINGECHIMBA mabwawa mengine pembeni yenye uwezo wa kubeba maji lita bili 500 ili Rufiji ikijaa itapikie huko iwe Reserve.
NINGEANZISHA kilimo cha umwagiliaji kikubwa mazao ambayo Dar na mikoa jirani wangefaidi..Organic Agriculture no mbolea...
Unajua gharama yabujenzi wewe au unaongea tu?? Nyumba ya vyumba vitatu 25m puuuhhhWalipwe fidia ili wahame.
Nyumba ya chumba kimoja Tsh mil 7.
Chumba na sebule Tsh mil 15.
Vyumba viwili na sebule Tsh mil 20.
Vyumba vitatu na sebule Tsh mil 25.
Vyumba vinne (na zaidi) na sebule Tsh mil 35.
Ahsante kwa mchangoNingewahamisha kila mtu sehemu anayotaka na kuwajengea nyumba zao upya na kuwapa mtaji ili angalau wawe kama walivyokuwa kabla ya mafutiko kutokea.halafu eneo Lao lililo athurika ningegeuza bwana la samaki mamba kiboko nk
Ahsante kwa mchangoKuwapa mbegu za mazao kama wazee wapumbav machawa walivyotaka.
Ahsante sana kwa mchangoUnajua gharama yabujenzi wewe au unaongea tu?? Nyumba ya vyumba vitatu 25m puuuhhh
Ahsante kwa mchangoni kupewa tu fidia na ilo eneo kubaki tu la shuhuli husika ,,ila kwa makazi apana aseee
Ahsante kwa mchangoNingewaacha wapambane na hali zao
Ahsante kwa mchango wakoKubomoa bwawa la mwl nyerere na bila aibu alilikataa Leo pamepewa jinalake. Laaana hii
Ahsante kwa mchango wakoWanawahoji wazee wenye vyeo vyeo na wajinga wajinga.....wangepiga tathmini wahamishe wote walio bondeni...ingawa nasikia huwa wanarudi......wana makazi sehemu tofauti hawakubali kuacha mabonde yao .....mafuriko kila baada muda fulani takribani miaka 4
Ahsante sana kwa mchango wakoNingewachukua wakristo wote na kwenda kuwaweka kwenye safina.Waliobaki wangebaki kusaga meno
Wahamishiwe HANDENI...Tunatafuta solutions juu ya hali inayo endelea RUFIJI.
View attachment 2960810
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio kiongozi mwenye dhamana ungechukua hatua zipi juu ya hali inayo endelea RUFIJI?
Tiririka mawazo yako yanaweza kuonekana.
Unaweza kusimama kama waziri, injinia, mkurugenzi wa TANESCO, meneja wa bonde la RUFIJI, mkuu wa wilaya vyovyote toa mawazo yako tuyapime.
Najenga ghorofa...Unajua gharama yabujenzi wewe au unaongea tu?? Nyumba ya vyumba vitatu 25m puuuhhh