Kwa mfano ungekuwa wewe ndio kiongozi mwenye dhamana ungechukua hatua zipi kuhusu Rufiji

Ningewaambia Arab contractor wawape kazi TVA-Tennessee Valley Authority wafix makosa waliofanya na mitigation plan kuondoa mafuriko Rufiji.
 
Unajua gharama yabujenzi wewe au unaongea tu?? Nyumba ya vyumba vitatu 25m puuuhhh
By the way, watabomoa nyumba za zamani na kuhamisha material.
Pili hii ni hisani. Utaki unaacha uendelee kuishi kwenye bwawa.
 
Nawahamisha wananchi halafu nabomoa bwawa la jiwe
 
Mkuu mchango wako umeuleta kama kiongozi fulani hivi sijui tuseme ni waziri.
 
Hapo kuna wahuni wanataka wapige hela na watanzania tayari wameshaingia King.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…