.......kimsingi lile bwawa halikutegemewa kuleta maafa, hata risk assessment zilizofanywa zililenga hasa mabadiliko ya tabia ya nchi kwa upande mmoja tu wa kuleta ukame na tabia za kijangwa, hivyo ziishaangaliwa, mind you kwa mvua za kawaida hili bwawa lilitegemewa kujaa kwa miaka miwili.........
.......tatizo limekuja kuwa kinyume na ilivyotegemewa mvua zimekuwa nyingi kupitia kiasi na hivyo kusababisha bwawa kujaa haraka na kusababisha mafuriko makubwa na sio ukame ambao ungesababishwa na kupotea kwa uoto wa asili na destruction of ecological set up.........
.........nini kifanyike, naamini hali ya mvua ikiendelea hivi lazima serikali itatangaza rasmi kuwahamisha wakazi na kuwalipa fidia, in fact hii ni kawaida kama vile kuingia gharama fulani ktk project ambazo hukuziwaza au hukuzipa uzito ktk project au biashara hiyo......
.......mvua zikipungua kiasi nashauri serikali itenge bajeti ya kuhakikisha kuwa inaestablish other project katika blonde la mto rufiji, panatakiwa pawe kama Nile valley na Tennessee valley authority ambapo projects za fishing, powe generation, transport na irrigation schemes zinaingizia pato kubwa inchi na at the same time environmental conservation iko well ensured.......