Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano ukikuta ni wako au sio wako?Natafuta njia ya kumwambia tukapime niwe na uhakika
Nisingekubali maana watoto hubeba genes za baba zao.We ungekubali?
Mkuu ndio maana nimeweka quotation marks,We ungekubali?
Kauli ya kipumbavu sana hiyo, nzuri kumtamkia mwingineNdio tubambikiwe?
Taifa linanitegemea sana. Nilimuoa na tuna mipango mingi ya maendeleo tumeshatekeleza iko kwa 80%Mama yako ana usahihi wa 98% na mashangazi pia.
Inawezekana mtoto sio wako, nakushauri kapime DNA uache mashaka na kukisia.
Ikigundulika sio wako mpeleke huyo mtoto Kwa baba yake, kama hujamuoa huyo mwanamke, piga chini mapema sana.
Afya yako ya akili ni muhimu na Taifa inakutegemea.
Umeambiwa umebambikizwa?Yaani nilee mbegu ya mtu mwingine ya kubambikiziwa?
Kweli lkn hisia zinaletwa na jambo.Mkuu ndio maana nimeweka quotation marks,
Ila pia siwezifika conclusion kwakua wewe ulichonacho sasa ni hisia tu huna uhakika.
Hiyo kauli ya kitanda hakizai haramu ni ya kijinga sanaUmeambiwa umebambikizwa?
Lea ni Mwanao...
Hivi ukimwekea chuki huyo mtoto asiyekuwa na makosa kabisa, unafikiri itakuwaje?
Sikiliza kuwa Social father is good enough.
Fikiri kama Baba mawazo yakubambikiziwa yatakuumiza.
Au hata ukipata hiyo chance ya kupima DNA ukagundua kuwa ni mtoto wako, itakuumiza zaidi. due to hatred inayojizalishia sasa.
"Jua kabisa kitanda hakizai haramu"...
Kapime DNA Sasa, ikigundulika sio wako Kaa chini fanya maamuzi.Taifa linanitegemea sana. Nilimuoa na tuna mipango mingi ya maendeleo tumeshatekeleza iko kwa 80%
Umeonae najaribu kuwaza japo najua ni wapi nilikoseaPole bush dokta, inauma sana nakuelewa mno
😄😄😄Kapime DNA Sasa, ikigundulika sio wako Kaa chini fanya maamuzi.
Tatizo la mwanamke kusaliti ni sawasawa na mchawi for the first time alishwe nyama ya binadamu, kuacha ni ngumu sana.
Kama mkeo kaanza kutoka nje ya ndoa ni ngumu sana kuacha, atakudanganya Kwa maneno.
HAKIKISHA huyo mtoto arudi Kwa baba yake, kama wewe ni Mkristo unaweza endelea naye sema wanawake wa sikuhizi anaweza kukuwekea sumu akuondoe aishi na bae yake.
Solution ni piga chini
Utaiona yakijinga zaidi kwa hilo unalotaka kulijua.Hiyo kauli ya kitanda hakizai haramu ni ya kijinga sana
Walau umeshtuka wewe kama wewe,, fanya mpango uthibitishe hata kama ni kwenda Kenya, wenzio wengine wanalea shahawa za wanaume wenzao na wanatamba kabisaaUmeonae najaribu kuwaza japo najua ni wapi nilikosea
😁😁😁😁huo ujinga mimi siwezi fanya najua madhara yakeWalau umeshtuka wewe kama wewe,, fanya mpango uthibitishe hata kama ni kwenda Kenya, wenzio wengine wanalea shahawa za wanaume wenzao na wanatamba kabisaa
😅😅😅Ni damu yako mkuu,usijipe stress,nlidhani katoka white
Ujinga upi dokta? Wa kupima?😁😁😁😁huo ujinga mimi siwezi fanya najua madhara yake
Yule kaka yako yeye hakushtuka kabisa😁😁Walau umeshtuka wewe kama wewe,, fanya mpango uthibitishe hata kama ni kwenda Kenya, wenzio wengine wanalea shahawa za wanaume wenzao na wanatamba kabisaa