Kwa miezi 12 sasa moyo wangu unateketea. Nahisi huyu Mtoto sio wangu

Fanya kazi ndugu, hizi mambo sio za leo wala jana na haziishii lei wala kesho just ignore!

Kuna dawa fulani hivi nina haja nayo nitaipata kwako doctor?
Usimdanganye ashakuwa na kitu kichwani hawezi kuignore mwambie apime tu
 
Haya sawa unajifanya mbishi fala wewe me nilishafanya kazi huko Usiwe mbishi shoga wewe
Kulete matusi kwa hoja ndogo kama hiyo inadhihirisha wewe ulikuwa kishoka tu huna hadhi ya kufanya kwenye ofisi yenye heshima kama GCLA
 
Ni mkeo
 
Mkuu tuliza kichwa jibu utalipata tu..

Mtoto kama sio wako dalili utaziona tu badae mkija kuongea kama alifanya kosa alafu unataka kumrekebisha tabia.....utaona dalili kutoka kwa mama ake pia.
Mmmmh unajua wanawake wewe.
 
Kauli ya kipumbavu sana hiyo, nzuri kumtamkia mwingine
Upumbavu upo wapi.
Bush Dokta
Sikia kaka hawa wanawake hawanashida kumbambikizia mtoto me, coz huyo mtoto yeye ni wake a wewe sio wake kwa hio hata ukimsamehe yeye hepatitis maumivu yeyote, hata wewe akijua umeumia kaangalie paternity court utaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…