Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa simu bila kutumia computer inawezekana

Na km Niki aribu si naweza Ku flash

Maana apa naogopa Ku ua sm
d49a5e560676dec54fc05e2d134e87bd.jpg
 
Kwa simu bila kutumia computer inawezekana

Na km Niki aribu si naweza Ku flash

Maana apa naogopa Ku ua sm
d49a5e560676dec54fc05e2d134e87bd.jpg
kwa simu sio rahisi kuharibika jaribu acha uoga hata Mimi first time nilikuwa muoga but saivi kila device Nayo tumia lazma niroot
 
ram ni physical device, unaiongezaje?
Ram ni physical device lakini mwisho wa siku ni memory tu ukijua kuconfigure memory card yako inaweza kuact kama ram vile vile

Na hapo ndio huyu jamaa alichokuwa anajarib kufanya kuna app ambazo ukiroot simu unaweza kuswap kiasi cha sd yako kiwe ram

Narudia tena inawezekana ila wewe hujui
 
Ram ni physical device lakini mwisho wa siku ni memory tu ukijua kuconfigure memory card yako inaweza kuact kama ram vile vile

Na hapo ndio huyu jamaa alichokuwa anajarib kufanya kuna app ambazo ukiroot simu unaweza kuswap kiasi cha sd yako kiwe ram

Narudia tena inawezekana ila wewe hujui
I
fd982989dab65617254454f4d3e3971a.jpg
18976f75a9acad002c2f9ef336c68038.jpg



ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE

IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM

SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED
 
I
fd982989dab65617254454f4d3e3971a.jpg
18976f75a9acad002c2f9ef336c68038.jpg



ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE

IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM

SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED
Kwahiyo unataka nikupigie makofi[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]


Usijisif kwa kuweza kufanya kitu kila mtu anaweza kufanya

Kwahiyo nenda kakae fikiria sana kitu kipya ambacho watu hawajui hakikisha ni kitu unique and dope
Kisha rudi tena utuambie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Can you believe this fool
 
I
fd982989dab65617254454f4d3e3971a.jpg
18976f75a9acad002c2f9ef336c68038.jpg



ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE

IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM

SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED
Mkuu unawezaje kupata hii bure, please share nasi kama hutojali
 
Kusema kweli mi bwana kutoot sim ni kama kula chakula siwez kuacha kuroot sim

Kwa sababu mi natumia sana exposes framework kucustomize simu na kufuta bloatware
Pia luckypatcher ili niweze kuhack game
Pia greenify ili niweze kuhibernate app kma sizitumii inasaidia kutunza battery
Pia overclock cpu ya simu yangu
Pia kuflash cyanogen mod ingawa sasa hv natumia oxygen os


Kimsing nikianza kuongelea yote hapa itanichosha na itawachosha na nyinyi
Kutoot na Ku root ni nini
 
Hii naipataje mkuu
we nenda Google search application unayotaka then una maliza na apk mfano instagram apk
.
.
.
au unaweza kutafuta app ya blackmart humo kuna apps za kulipia for free
 
Kazi zangu nyingi nafanya kwa ES EXPLORER PRO. Hii apps ndo inaniwezesha kuunstall hata system apps, kufanya user apps kuwa system apps, kufanya backup ya apps mbali mbali n. k
mkuu una uninstall system app au updates za system apps
 
I
fd982989dab65617254454f4d3e3971a.jpg
18976f75a9acad002c2f9ef336c68038.jpg



ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE

IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM

SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED
Nikurekebishe Mkuu huwezi kununua bila hela SAWA.... unachokifanya ku kudownload apk yake ambayo waungwana ambao si wabinafsi wamenunua au wamepatch na kuamua kushare...
 
Back
Top Bottom