kid ink tz
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 307
- 320
Kwa simu bila kutumia computer inawezekanaHow to Root Android 6.0 (Marshmallow) with KingoRoot APK
kama itashindikana basi hiyo mpaka uwe na pc
kwa simu sio rahisi kuharibika jaribu acha uoga hata Mimi first time nilikuwa muoga but saivi kila device Nayo tumia lazma nirootKwa simu bila kutumia computer inawezekana
Na km Niki aribu si naweza Ku flash
Maana apa naogopa Ku ua sm
Ram ni physical device lakini mwisho wa siku ni memory tu ukijua kuconfigure memory card yako inaweza kuact kama ram vile vileram ni physical device, unaiongezaje?
Poahadi nije kueelewa kwanza
Nime root imeleta ivihadi nije kueelewa kwanza
IRam ni physical device lakini mwisho wa siku ni memory tu ukijua kuconfigure memory card yako inaweza kuact kama ram vile vile
Na hapo ndio huyu jamaa alichokuwa anajarib kufanya kuna app ambazo ukiroot simu unaweza kuswap kiasi cha sd yako kiwe ram
Narudia tena inawezekana ila wewe hujui
Kwahiyo unataka nikupigie makofi[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]I
ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE
IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM
SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED
Sijaelewa kwa hiyo wewe unaogopa kuua sim kwa sabab magufuli ana uchumi au maana sijaelewangoja muue simu zenu na uchumi wa magu
Kutoot na Ku root ni niniKusema kweli mi bwana kutoot sim ni kama kula chakula siwez kuacha kuroot sim
Kwa sababu mi natumia sana exposes framework kucustomize simu na kufuta bloatware
Pia luckypatcher ili niweze kuhack game
Pia greenify ili niweze kuhibernate app kma sizitumii inasaidia kutunza battery
Pia overclock cpu ya simu yangu
Pia kuflash cyanogen mod ingawa sasa hv natumia oxygen os
Kimsing nikianza kuongelea yote hapa itanichosha na itawachosha na nyinyi
Uoga wako ndo umaskini wako kama unaogopa kutake risk huwez kufanikwangoja muue simu zenu na uchumi wa magu
we ndo unajua Leo mbona hiyo ya zamani sana.I
ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE
IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM
SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED
we nenda Google search application unayotaka then una maliza na apk mfano instagram apkHii naipataje mkuu
mkuu una uninstall system app au updates za system appsKazi zangu nyingi nafanya kwa ES EXPLORER PRO. Hii apps ndo inaniwezesha kuunstall hata system apps, kufanya user apps kuwa system apps, kufanya backup ya apps mbali mbali n. k
Nikurekebishe Mkuu huwezi kununua bila hela SAWA.... unachokifanya ku kudownload apk yake ambayo waungwana ambao si wabinafsi wamenunua au wamepatch na kuamua kushare...I
ILA MM IYO NAWZA NUNU BURE BILA MALIPO YOYOTE
IYO YA KUONGEZEA RAM YA SM
SEMA TUU SM YANGU HAIPO ROOTED