Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Habari wakuu.

Nimeona nianzishe uzi huu ili tuweze kushirikishana machache kwa wale waliofanikiwa ku-root simu zao.


Kama ilivyo jadi kwa wanaJF kuelimishana na kusaidiana pale inapobidi.


Wengi wetu tumekuwa tukifanya maamuzi mengine kwa kufuata mkumbo na hatupo tiyari kukiri hilo.


Sasa naomba wale wenzetu wajuzi wa mambo ambao mli root simu zenu kwa sababu mnazozijua mtusaidie namna mnavyoweza kufurahia simu zenu tofauti na ilivyokuwa awali, maana ku-root simu bila sababu hilo ndio tatizo.


Please mtusaidie nasi tuliofuata mkumbo pasipokujua faida zake.


Naombeni wataalamu mtusaidie hapa.


-Endapo kuna Apps, Features na mambo mengine kibao basi tunaweza kufaidi baada ya ku-root simu basi tujimwage hapa.



NB : Nimepitia nyuzi nyingi sana kuhusiana na hili suala la rooting lakini hazipo clear, nyingi zinaishia kuelezea namna ya ku-root.



Regards,...
kutumia roooted phone ni raha kwangu.

nina na samsung duos trend lite
ina ram 512
nimeiroot
na kuweka ram expander (app)
nika swap memory na kutengeneza secondary ram u
by using memory card .
nimeweka app kubwa kama games za football, na apps kubwa kama messenger facebook offical ambazo kwa ram 512 itakusumbua na simu kuwa mzito
 
Mi nimefanikiwa kuiroot ila tatizo kila mara inaleta notification mpaka inakera naomba msaada wenu kwa anaefahamu jinsi yakufanya ili zisitokee
 
Mi nimefanikiwa kuiroot ila tatizo kila mara inaleta notification mpaka inakera naomba msaada wenu kwa anaefahamu jinsi yakufanya ili zisitokee
nenda kwenye app setting kisha kuna sehemu ya show notification toa kile kitik(√) hapo itakuwa fresh hata Mimi iliwahi kunisumbua
ila kama unazungumzia matangazo tafuta app ya adaway au adblock plus unaweza kuigoogle
 
Wakuu simu yangu ilikua coloured lakini now ni black namaanisha maandishi pamoja na sceen ilikua coloured lakini kwa sasa maandishi ikiwa ni pamoja na gallery vyote vinaonyesha nyeusi hili tatizo halihusiani na kuroot simu wakuu naombeni mnifahamishe
 
a9bb666153e48afcff90c77998daaacf.jpg


Kama 6.0 huijui ione hiyo 7.1.1 inaitwa Nougat

Ninaisubiri 7.1.2
Mkuu umewezaje kuongeza android version hapo... nina simu kama hiyo na nimisha iroot ila kuongeza version inanisumbua sana
 
Wakuu nisaidieni ktk hili,simu yangu Huawei nilii-root kipindi yapata miezi kumi sasa ila kuna app nimezi-download ktk link zilizowekwa humu simu imekataa kuzi-support nimecheck kama simu ipo rooted inaniletea message hii
f73e6715d27605f2c9d45f19731b2fba.jpg
ila mwanzo ilikubali ila nilipomaliza kui-root app niliyotumia niliitoa ktk system labda kosa langu lipo hapo au vipi sijaelewa naomba mnieleweshe pia kipi cha kufanya naomba mniambie.
 
Halafu wakuu naombeni msaada wenu. .Nina simu yangu apa ni vodafone 875, ilikufaga system nikaweka ingine ila mpaka sasa nashindwa kuitumia. Nikaweka laini inaniletea kitu kama hichi
7cdefc6189db806a7a923ef035742448.jpg
kwa hiyo wakuu apo sijui cha kufanya, kwa yeyote anayejua naomba anisaidie. Asanteni.
 
Nan ka root marshmallow kwa Samsung maana nna galaxy s5 min nataka ni root.....
 
Kusema kweli mi bwana kutoot sim ni kama kula chakula siwez kuacha kuroot sim

Kwa sababu mi natumia sana exposes framework kucustomize simu na kufuta bloatware
Pia luckypatcher ili niweze kuhack game
Pia greenify ili niweze kuhibernate app kma sizitumii inasaidia kutunza battery
Pia overclock cpu ya simu yangu
Pia kuflash cyanogen mod ingawa sasa hv natumia oxygen os


Kimsing nikianza kuongelea yote hapa itanichosha na itawachosha na nyinyi
Khaaaaaa....jamaa wewe
 
Rooting inakupa access ya "kuifanya" simu yako ya Android uipendavyo kwa upande wa Software including OS..

Ku root simu mkuu inategemea aina ya simu japo kuna apps na softwares ambazo zipo multipurpose kwa ajili ya kuroot aina tofauti za simu..

Unaweza kiroot kwa kutumia 'box' au kwa PC+ software au simu yenyewe kwa kutumia apps na flashable zip files...

Kabla ya kuchukua maamuzi ya ku root simh yako yapaswa kifaham madhara na faida zake...!

Hasara ninazoweza kukutajia mbili kuu ni

1. Kupoteza warranty ya simu yako
2. Kuwa kwenye hatihati ya 'kuua' simu yako..

Binafsi siwezi kukaa na simu isiyorootiwa...
kupoteza warranty ki vp
 
Kusema kweli mi bwana kutoot sim ni kama kula chakula siwez kuacha kuroot sim

Kwa sababu mi natumia sana exposes framework kucustomize simu na kufuta bloatware
Pia luckypatcher ili niweze kuhack game
Pia greenify ili niweze kuhibernate app kma sizitumii inasaidia kutunza battery
Pia overclock cpu ya simu yangu
Pia kuflash cyanogen mod ingawa sasa hv natumia oxygen os


Kimsing nikianza kuongelea yote hapa itanichosha na itawachosha na nyinyi
inatakiwa nikutafte mkuu una maujuz meng sanaa
 
Back
Top Bottom