Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Sijawahi kumuomba mtu aniletee parcels...acha uongo kamanda 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Daah!😂😂🙆‍♂️
 
Ndugu yangu Wana wivu tu...pengine tokea azaliwe sehemu nzuri aliyo wahi kutembelea ni dar es salaam na cocobeach🤣🤣🤣​
ukiwa na metality hiyo kwa ushauri unaopewa hufiki popote. nadhani jamaa hakumaanisha uwembamba wako alivyosema muonekano. yote tis first impression matters a lot. jaribu kusikiliza ushauri uchambue utakusaidia na usijione bora kufika Dubai. labda kwa wasiojua ila nauli ya dubai kuna mda inashuka hadi $200 ambayo nadhani wadau wanaweza wakaimudu.
 
Wanasema don't judge a book by its cover.
 
🤣🤣🤣
 
Naomba kuuliza. Hivi Dubai kuna watalii wa ngono? Nina maana kuwa kuna wale watalii wanaoenda sehemu kwa ajili ya kupata vimwana. Au huko kuna sheria kali? Kuna wadada wanaojiuza?
Wengi sana Tena wa kimataifa unaweza kufanya ngono na watu wa mataifa MBALI mbali, WAFILIPINO, Wanaigeria, waghana, watanzania, wachina wazungu...!

Ni wewe na pesa zako tu...Ile sio nchi ya dini ni nchi iliyotengwa kwaajili ya starehe...!​
 
Sawa sijamkataza kuja...🤣🤣🤣
 
Wengi sana Tena wa kimataifa unaweza kufanya ngono na watu wa mataifa MBALI mbali, WAFILIPINO, Wanaigeria, waghana, watanzania, wachina wazungu...!

Ni wewe na pesa zako tu...Ile sio nchi ya dini ni nchi iliyotengwa kwaajili ya starehe...!​
Kwa hiyo huko buoa average price bei gani kwa kijana wa uchumi wa kitz?
 
But sometimes the cover of the book has to be appealing enough to intrigue a person to read it.
sio kweli.kwa huyu jamaa.hustle zake zinaonekana na ana nia ya kisaidia watu wakajitafute.hayo mambo ya kupima kina Cha maji kwa kuyaangalia utapotea.anaweza akaja kavaa suti Kali na alafu akawa mpigaji.aje kavaa hata mashuka au kakonda kama Chelewa lakini asiwe mpigaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…