Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Kwa mfano mtu ni mgonjwa mahututi na akamkuta jamaa ndio Dr wa kumfanyia upasuaji etc je angeangaliwa kwanza muonekano wake
NB Kuna baadhi ya kazi mtu ukifanya muonekano na haiba ni muhimu kuzingatia
Daha! We raraa reree umepigaje hapa km umepuliza hivi kdgo halafu ukang'ata.
Oya mzee wa Dubenga waambie huyo ni miongoni mwa wageni uliowapokea uko unamtembeza kumtafutia kazi
 
Shem we huoni hiyo dis 😂
IDDY S MHANDO ana muda mfupi sana dubai, ni ajabu leo hii anataka kutembeza watu kona za huko.

2. Umekuwa attention sana kuwa katika midomo ya watu kila wakati. Ulitakiwa utulie na kufocus kwa kile kilichokupeleka kwanza. Ukusanye pesa/ mtaji then ndo uangalie fursa zingine (side hustling). Utajikuta kila kitu unakitaka alaf sio efficient kwa wakat huo

3. Jamii forum sio mahala sahihi kwq marketing has hasa ya sasa. Mana hata hata watu wa kuja huko kufanya utalii hawawez kuwa wengi. Watu wengi humu ni wasaka fursa kama mm na wew. So usiipe attention saana kweny plan zako kubwa kubwa kama hizi
 
Uzi ufungwe 😂😂😂😂
 
Je kama huko dubai hana kazi ya kufanya
 
Ila mwamba unaroho safi umeona njia kidgo tu hutaki upite peke yko safi sna wabongo roho mbaya ndio mana wanakushangaa wameshazoea kutapeliwa na wenye vitambi. Boda ulimuachia nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…