Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Very true Tena ukikuta BAADHI YA WATU MATAJIRI na FAMILIA ZAO huwa term wengine Kama sub_humanYeah kabisa first impression yako mbele ya watu wengine inaweza kuamua either uaminike au upuuzwe😡
😀 😀 😀 tunawajua dada zetu, anaweza kusema A kumbe ni BMpaka apate kibali kwa Lucas ama guede😂😊
😂😂😂😂 Hatareeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kantrii akamuumbua, ile siku nilicheka had machozi, kila nikikumbuka mbavu cna.
Izi sasa Dharau kwaiyo avae suti kila sehemuMuonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Yani mimi ni fans mkubwa wa Fally ukiweka pic yake yoyote hata avae km ninja najua huyu Fally, kafanana sana na ex wangu 😍😍😍Nilitaka kuwachanganya tu 😂😁😁😁
Una ruhusiwa huku utachoka wewe...!vipi lakini huko utalii wa mademu unaruhusiwa?
Ongezea jumanne Muliro 😅😅 mi niendelee kufurahia commentKuwa mwembamba ni njaa?? Unaakili ww? Akili zako zinatumika sawasawa?
January makamba mwembamba
Jerry silaa mwembamba
Hussein bashe mwembamba
Humphrey polepole mwembamba
Luhaga mpina mwembamba
IGP camilius mwembamba
Kumbe na hawa ni njaa.
Hongera sana Mimi hadi nyumbani nimebandika mastika kwenye tv na friza ukutani zote za fallyYani mimi ni fans mkubwa wa Fally ukiweka pic yake yoyote hata avae km ninja najua huyu Fally, kafanana sana na ex wangu 😍😍😍
Kwa bahati mbaya mmesha ni quotes nashindwa kuifuta😭😭😭😭Mada unayotaka kuingiza kwenye uzi wako itakuharibia
Huu ni uzi wako wa biashara ujinga weka pembeni
Thank you bossWazo zuri na kazi nzuri.
Kwa MTU makini na anayetambua umuhimu wa kuwa na Afya njema huo mwili wako ndo mzuri
Hiyo first impression Kama ingekuwa Ina Masada wabongo wangekuwa wamefanikiwa .
So ni akili za watu sio za kufatisha maana they know nothing and they speaks nothing.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ile siku kantriii alikubananisha haswaa, nilikua nachekaaa km mwehuuu. KhaaaaahUnasemea ile ya Italy sio ya fally lamomy ndio alijuwa pekee[emoji23][emoji16]
Ongezea jumanne Muliro 😅😅 mi niendelee kufurahia comment
Hahaha hatari sanaVery true Tena ukikuta BAADHI YA WATU MATAJIRI na FAMILIA ZAO huwa term wengine Kama sub_human
Yani wako km mapacha aiseee.!! Ila Fally anajua kuimbaHongera sana Mimi hadi nyumbani nimebandika mastika kwenye tv na friza ukutani zote za fally
Hawez kosa.. kuna mawakala wemgi tu wanawapeleka dubai, Qatar na Jordan kwenhe house keeping, casual cleaners na ulinzi. Although weng wao wakienda huwa na mipango ya vidili vingi vingi kama huyu mwishowe wanajiharibia na kurudishwa huku.Je kama huko dubai hana kazi ya kufanya
Noumaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hatareeee
Kuna wengine hapo waondolewe kwenye group la wembamba mfano Jerry slaa, Bashe..Kuwa mwembamba ni njaa?? Unaakili ww? Akili zako zinatumika sawasawa?
January makamba mwembamba
Jerry silaa mwembamba
Hussein bashe mwembamba
Humphrey polepole mwembamba
Luhaga mpina mwembamba
IGP camilius mwembamba
Kumbe na hawa ni njaa.