Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
ππππAli zingua Kuna mumama alikujaga hadi pm aisee baadae alivyojua akanitelekeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ile siku kantriii alikubananisha haswaa, nilikua nachekaaa km mwehuuu. Khaaaaah
Amini mkuu na bado mpaka kesho posta kuna majamaa yanatembea na suti muda wote wanajifanya usalama kumbe matapeli tu.Ndio maana DUDE wa kwenye bongo dar es salaam analikua Ana wa win watu wengi Sanaaaa..
Hii synopsis ya kuwa judge watu kwa appearance zao ipo Sanaa huku kwetu afrika mkuu ππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu, mie sitakiii acha kutuchotaaa hapaaYani mimi ni fans mkubwa wa Fally ukiweka pic yake yoyote hata avae km ninja najua huyu Fally, kafanana sana na ex wangu [emoji7][emoji7][emoji7]
Yule jamaa fundi wa mziki mzuriYani wako km mapacha aiseee.!! Ila Fally anajua kuimba
πππππKweli kabisa hii ni πvinyeo tena kwenye biashara
Mnaomsema mdau kiafya hivi mnafahamu washindi, wachina ,wajapani? Miili yao na vipato vyao vitu tofauti
Nafikiri mngecriticize wearing style , hayo mengine sio yeye ni uumbaji kwasababu kuna mtu hali chakula sana ila ni bonge, mwingine anakula sana kila diet ila mwili ndio vile , kwani professor janabi anasemaje π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani em niachee, ntapaliwa hapa ulanziii.[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]Ali zingua Kuna mumama alikujaga hadi pm aisee baadae alivyojua akanitelekeza
Hatari, havihusiani kabisa labda wangesema wearing style nayo ni approaching muhimu ningeelewaPia mchungaji kapora mwembamba hata mtoa post hampati lakini jamaa Ana hela zinamwagika.
Shukrani sanaUsikatishwe tamaa, na usiwe na tamaa ya haraka utafika mbali leo utakua peke yako kesho utakua kampuni,
Futa wasije wengine kukot ili iishie hapohapo hiyo smsKwa bahati mbaya mmesha ni quotes nashindwa kuifutaππππ
Ni kweli mkuu ukizubaa TU unajaa king πAmini mkuu na bado mpaka kesho posta kuna majamaa yanatembea na suti muda wote wanajifanya usalama kumbe matapeli tu.
Hatari, havihusiani kabisa labda wangesema wearing style nayo ni approaching muhimu ningeelewa
Alivyojua sipo kwa wazungu tu nikapewa hadi ignore ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani em niachee, ntapaliwa hapa ulanziii.
Ko hukumuibukia tenaaa?
ππππ Sio ex unayemjua wewe bana!! Ex mwenyewe mwenye misingi ya kiumeni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu, mie sitakiii acha kutuchotaaa hapaa
πππππ ww had mubebe ulipata??ππππAli zingua Kuna mumama alikujaga hadi pm aisee baadae alivyojua akanitelekeza
Ndo ukome ππππAlivyojua sipo kwa wazungu tu nikapewa hadi ignore ππ
Hapo kwa max melo @DR mkorofi sana weweπJe Joel Nanauka na yeye Ana njaa na Max melo Ana njaa ?