Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Tulongosanie [emoji1][emoji1][emoji1]Endelea kuumia, watu tunakuja hapo tunagonga menyu saafi na kulala park lodge then tunarudi makwetu .zimebaki siku 16 tu natimba hapo [emoji109]
Bora ww umewaza kifursa...mimi upeo wangu umeishia kuolewa huko tuKuna uwezekano wa kufanya biashara ya nyama kwenda Norway?bei ya nyama ipo juu, ukiwa na mtaji wa kutosha utatoboa.
Vigezo vya chura vimekamilika? tupia vipicha tukufanyie tathmini..Bora ww umewaza kifursa...mimi upeo wangu umeishia kuolewa huko tu
Kwan wadhungu wanapenda vyura nao? Unanikatisha tamaa ujue kila nyuzi unanicrush..why jamani whyπ! Kitaeleweka mbele kwa mbele..vigodoro vipo babeVigezo vya chura vimekamilika? tupia vipicha tukufanyie tathmini..
Sasa wasio na vyura si wamejaa huko kwao, lazima ukaonyeshe kautofauti....Kwan wadhungu wanapenda vyura nao? Unanikatisha tamaa ujue kila nyuzi unanicrush..why jamani whyπ! Kitaeleweka mbele kwa mbele..vigodoro vipo babe
Ah sina pasi kivile..bas utofauti upoπSasa wasio na vyura si wamejaa huko kwao, lazima ukaonyeshe kautofauti....
Tupia tukufanyie tathmini, tangu lini refa akawa mchezaji...Ah sina pasi kivile..bas utofauti upoπ
Utadhani ww ndo mgonga visaπ !Tupia tukufanyie tathmini, tangu lini refa akawa mchezaji...
Basi bhana, mi nilikuwa nimejitolea kuwa refa...Utadhani ww ndo mgonga visaπ !
Shida itakuja kwenye vibali, lazima upitie mchakato wa kuthibitisha ubora wa wanyama na nyama yenyewe na kuondoa uwezekano wa kuingiza magonjwa hatari ya mifugo...Kuna uwezekano wa kufanya biashara ya nyama kwenda Norway?bei ya nyama ipo juu, ukiwa na mtaji wa kutosha utatoboa.
πππ! Refa bila kunisaidia nauli ni kazi bureeeeBasi bhana, mi nilikuwa nimejitolea kuwa refa...
Nauli ni baada ya kukidhi vigezo....hatuwezi kupeleka timu mbovu kwenye mashindano ya olympic..πππ! Refa bila kunisaidia nauli ni kazi bureeee
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ikala kwenuπ€£π€£π€£ππ!Nauli ni baada ya kukidhi vigezo....hatuwezi kupeleka timu mbovu kwenye mashindano ya olympic..
Maana kama hujakidhi vigezo vya olympic, unaambiwa tu kistaarabu bwana eeeh nenda kashindane kijijini kwenu.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ikala kwenuπ€£π€£π€£ππ!
Nakubali kussurender...naona unaona rahaa mm kupigikaMaana kama hujakidhi vigezo vya olympic, unaambiwa tu kistaarabu bwana eeeh nenda kashindane kijijini kwenu.
Bongo hii hii tushaifanya ulaya na wazungu ndo sisi, ya nini kwenda kuhangaika na baridi...Nakubali kussurender...naona unaona rahaa mm kupigika