Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Kuna uwezekano wa kufanya biashara ya nyama kwenda Norway?bei ya nyama ipo juu, ukiwa na mtaji wa kutosha utatoboa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulongosanie [emoji1][emoji1][emoji1]Endelea kuumia, watu tunakuja hapo tunagonga menyu saafi na kulala park lodge then tunarudi makwetu .zimebaki siku 16 tu natimba hapo [emoji109]
Bora ww umewaza kifursa...mimi upeo wangu umeishia kuolewa huko tuKuna uwezekano wa kufanya biashara ya nyama kwenda Norway?bei ya nyama ipo juu, ukiwa na mtaji wa kutosha utatoboa.
Vigezo vya chura vimekamilika? tupia vipicha tukufanyie tathmini..Bora ww umewaza kifursa...mimi upeo wangu umeishia kuolewa huko tu
Kwan wadhungu wanapenda vyura nao? Unanikatisha tamaa ujue kila nyuzi unanicrush..why jamani why😃! Kitaeleweka mbele kwa mbele..vigodoro vipo babeVigezo vya chura vimekamilika? tupia vipicha tukufanyie tathmini..
Sasa wasio na vyura si wamejaa huko kwao, lazima ukaonyeshe kautofauti....Kwan wadhungu wanapenda vyura nao? Unanikatisha tamaa ujue kila nyuzi unanicrush..why jamani why😃! Kitaeleweka mbele kwa mbele..vigodoro vipo babe
Ah sina pasi kivile..bas utofauti upo😀Sasa wasio na vyura si wamejaa huko kwao, lazima ukaonyeshe kautofauti....
Tupia tukufanyie tathmini, tangu lini refa akawa mchezaji...Ah sina pasi kivile..bas utofauti upo😀
Utadhani ww ndo mgonga visa😅!Tupia tukufanyie tathmini, tangu lini refa akawa mchezaji...
Basi bhana, mi nilikuwa nimejitolea kuwa refa...Utadhani ww ndo mgonga visa😅!
Shida itakuja kwenye vibali, lazima upitie mchakato wa kuthibitisha ubora wa wanyama na nyama yenyewe na kuondoa uwezekano wa kuingiza magonjwa hatari ya mifugo...Kuna uwezekano wa kufanya biashara ya nyama kwenda Norway?bei ya nyama ipo juu, ukiwa na mtaji wa kutosha utatoboa.
😀😀🙂! Refa bila kunisaidia nauli ni kazi bureeeeBasi bhana, mi nilikuwa nimejitolea kuwa refa...
Nauli ni baada ya kukidhi vigezo....hatuwezi kupeleka timu mbovu kwenye mashindano ya olympic..😀😀🙂! Refa bila kunisaidia nauli ni kazi bureeee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ikala kwenu🤣🤣🤣🙌🙌!Nauli ni baada ya kukidhi vigezo....hatuwezi kupeleka timu mbovu kwenye mashindano ya olympic..
Maana kama hujakidhi vigezo vya olympic, unaambiwa tu kistaarabu bwana eeeh nenda kashindane kijijini kwenu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ikala kwenu🤣🤣🤣🙌🙌!
Nakubali kussurender...naona unaona rahaa mm kupigikaMaana kama hujakidhi vigezo vya olympic, unaambiwa tu kistaarabu bwana eeeh nenda kashindane kijijini kwenu.
Bongo hii hii tushaifanya ulaya na wazungu ndo sisi, ya nini kwenda kuhangaika na baridi...Nakubali kussurender...naona unaona rahaa mm kupigika