Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Ukitaka kwenda huko unafungasha kiroba chako cha mchele kilo 100, unga wa dona na michembe. Maisha safi.
Kwenye ndege unaweza kukwamna au kushindwa gharama
 
Pesa yao Ina thamani kuliko ya Tz Ila sio sana
 
Haina shida
 
Hizo hela ukibadili ki tsh ni shilingi ngapi?? Mfano 70000 huku ni sh ngapi?? Au 8500 kwa hela yabongo ni sh ngapi?
Nimeweka kwa tsh, hivyo wewe Soma Kama ilivyo
 
Sawa kaka
 
🤣🤣🤣🤣 hatari sana.
 
Hivi siku hizi shule ya msingi na sekondari huko Bongo, akina Ndalichako wametoa topic ya punctuation?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…