Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

Usikope kununua sofa na TV wala kujenga kama una idea ya biashara ndio ukope na utakachopata kwenye biashara kidogo kidogo ndio uanze kujenga maana mnapenda kujenga hata kama uwezo wa kujenga hauna baadae unaipeleka nyumba Bank kukopa huku mtaji ukiwa hauna...unapotaka kukopa inatakiwa ufanye feasibility study ya kutosha ukiona majibu sio sawa achana na mkopo mpaka utakapopata wazo zuri la biashara na hiyo biashara ufanye mwenyewe kwa usimamizi wako sio sijui mtoto wa Mjomba utaishia kumkata kichwa tuu wakati biashara ndio zilivyo...
 
Usikope kununua sofa na TV wala kujenga kama una idea ya biashara ndio ukope na utakachopata kwenye biashara kidogo kidogo ndio uanze kujenga maana mnapenda kujenga hata kama uwezo wa kujenga hauna baadae unaipeleka nyumba Bank kukopa huku mtaji ukiwa hauna...unapotaka kukopa inatakiwa ufanye feasibility study ya kutosha ukiona majibu sio sawa achana na mkopo mpaka utakapopata wazo zuri la biashara na hiyo biashara ufanye mwenyewe kwa usimamizi wako sio sijui mtoto wa Mjomba utaishia kumkata kichwa tuu wakati biashara ndio zilivyo...
sahihi mkuu,wengine wanajifunza pia
 
Usikope kununua sofa na TV wala kujenga kama una idea ya biashara ndio ukope na utakachopata kwenye biashara kidogo kidogo ndio uanze kujenga maana mnapenda kujenga hata kama uwezo wa kujenga hauna baadae unaipeleka nyumba Bank kukopa huku mtaji ukiwa hauna...unapotaka kukopa inatakiwa ufanye feasibility study ya kutosha ukiona majibu sio sawa achana na mkopo mpaka utakapopata wazo zuri la biashara na hiyo biashara ufanye mwenyewe kwa usimamizi wako sio sijui mtoto wa Mjomba utaishia kumkata kichwa tuu wakati biashara ndio zilivyo...
Biashara ni rahisi kwenye karatasi na sio field haupo mwenyewe.
Ukiloose kwenye businesses ndo utajua ujui.
Bora upoteze pesa kwenye ngono haumi kuliko kupoteza kwenye project utaumia maisha Yako yote.
Bora ukope utie kwenye ardhi Haina hasara unacheza na time TU mkopo ukiisha na ardhi imepanda thamani unapata faida mara mbili.
 
Back
Top Bottom