Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu Village liked this commet😂😂😂😂mm sio ticha mkuu, ila ni afadhali kuwa ticha kuliko kuwa jobless
Wewe ni kada wa ccm unajua jinsi ya kuibia nchi. Mleta mada sio kada kama wewe.Mimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.
Take home yangu ni 270K
Acha kuogopesha watu, jamaa kama anajiweza akope
Na hata hiyo biashara iwe biashara inayo operate na sio akope kufungua biashara.Usikope kununua sofa na TV wala kujenga kama una idea ya biashara ndio ukope na utakachopata kwenye biashara kidogo kidogo ndio uanze kujenga maana mnapenda kujenga hata kama uwezo wa kujenga hauna baadae unaipeleka nyumba Bank kukopa huku mtaji ukiwa hauna...unapotaka kukopa inatakiwa ufanye feasibility study ya kutosha ukiona majibu sio sawa achana na mkopo mpaka utakapopata wazo zuri la biashara na hiyo biashara ufanye mwenyewe kwa usimamizi wako sio sijui mtoto wa Mjomba utaishia kumkata kichwa tuu wakati biashara ndio zilivyo...
Umekamilisha nyumba ya million 13?Mimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.
Take home yangu ni 270K
Acha kuogopesha watu, jamaa kama anajiweza akope
Kama unaweza bora ujibane...save kadri unavyoweza ili utatue tatizo lako. Au save kadri uwezavyo ili ufungue biashara kwa pesa yako ya ku save. Ukiona inaenda vizuri ndio ukope!Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
12 m tu miaka 7
Angalau Saccos na sio huko kausha damu
Huyu mtu akichukua mikopo 2 ya 25m akiwa kazini mpaka anastaafu atakuwa ametumia miaka 18 kulipa riba za mikopoHapo Hadi 25 m kwa miaka tisa unaichangia bank kujiendesha.utarejesha zaido ya 40m.
Kukopa Raha kulipa matanga unarejesha hela zilizoshatumika kwenye hasara
Huwezi kuhalalisha wizi kuwa kipato halali, hiyo take home yako inatosha Kwa bill ya umeme, maji na chakula labda cha wiki moja tu.Mimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.
Take home yangu ni 270K
Acha kuogopesha watu, jamaa kama anajiweza akope
Pesa ya mkopo tamu sana kama mchepuko maumivu yake makubwa sana ikiishaKwa sasa hatokuelewa ila atakuelewa baada ya miezi 6 akishakopa mkopo
Amelinda kiwanja chake Kwa kuhifadhi matofali.Umekamilisha nyumba ya million 13?
Ndiyo maana sasa baada ya kuona wafanyakazi wanaponea kwenye VIKOBA sasa wamekuja na strategy ya kuvibana VIKOBA...Benki za Tanzania , zinapata faida kupitia wafanyazi masikini
si iyo pesa ataifanyia kituUnataka kutatua njaa ya siku moja kwa maumivu ya miaka tisa
Vicoba ni lazima ajiunge na awe amechangia hisa za kutosha ndiyo apate mkopo kulingana na hisa zake. Kiukweli kabisa VICOBA si suluhisho pekee kabisa kwa watumishi wenye vipato/mishahara midogo.Nakushauri utafute vicoba ukakope huko kwenye mabenki ni umasikini unajitafutia.
Mkuu uzuri sijawahi kujiweka mtu wa maisha ya juu,nadhani members wengi wanajua mimi mwalimu,kama ukipata muda karibu liwale lindi,niko kijiji cha mpigamitiMna majina makubwa jamiiforum kumbe tunawazidi mbali mno kwenye mpunga na mahede hede mengine.
Afya kwa diploma wanaoanza kazi wanachukua 700k na points mkuuNilikuwa na kadem kangu, Judith, tumeachana mwaka jana,
Kalikuwa ni katicha, same basic salary 700+K