digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Sawa!!!Wewe ni kada wa ccm unajua jinsi ya kuibia nchi. Mleta mada sio kada kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!!!Wewe ni kada wa ccm unajua jinsi ya kuibia nchi. Mleta mada sio kada kama wewe.
Ndio,unatka niseme nyumba ya 100M kwa faida ya nani!?Umekamilisha nyumba ya million 13?
Sawa lakini tambua hata mbinguni kuna matabaka,hiki kipatato changu pia kuna mtu anaweza kisotea kwa mwaka mzima Bila kukipataHuwezi kuhalalisha wizi kuwa kipato halali, hiyo take home yako inatosha Kwa bill ya umeme, maji na chakula labda cha wiki moja tu.
To be successful one has to fail several times... Unapoanguka kwenye biashara, kuna somo unalipata, ambalo litakufanya usirudie kosa. Ndiyo maana kama huna uzoefu na biashara don't start big, anza mdogo mdogo ili upate uzoefu. Huwezi anza biashara ya bodaboda kwa kuchukua mkopo na kununua bodaboda 4 kwa mpigo, ilhali huna hata uzoefu wa kusimamia bodaboda moja. Ukweli mwingine ni kwamba siyo kila mtu ana uwezo wa kufanya biashara. So kama ukiona biashara huwezi waweza kopa na kujenga hata fremu chache ukakodisha au kununua shamba ukawa unalima au kukodisha.Biashara ni rahisi kwenye karatasi na sio field haupo mwenyewe.
Ukiloose kwenye businesses ndo utajua ujui.
Bora upoteze pesa kwenye ngono haumi kuliko kupoteza kwenye project utaumia maisha Yako yote.
Bora ukope utie kwenye ardhi Haina hasara unacheza na time TU mkopo ukiisha na ardhi imepanda thamani unapata faida mara mbili.
🤣🤣imefanyeje
Nilichosema take home hiyo huwezi kufanya hayo unayoyasema labda uwe na channel ya wizi.Sawa lakini tambua hata mbinguni kuna matabaka,hiki kipatato changu pia kuna mtu anaweza kisotea kwa mwaka mzima Bila kukipata
Tafuta hela, achana na mikopoNawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
Ukitaka kutembea na 1 out of three CRDB utakopa 22m watakata bima, processing fee. Kodi utabaki na 19.5m halafu ukae kwa kutulia ulambwe 389000 Kilamwezi kwa miaka 8 JUMLA ULIPE 37mNawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
Usikalili mkuu,sio kila mtu aliyefanikiwa anaiba lakini pia sio kila aliye na mikopo na kubaki na 270K kama kipato cha mwezi ana maisha magumu,Tatizo mnajipa title za wasomi ila uwezo wa kupambanua mambo na kuyaweka katika uhalisia ni mdogoNilichosema take home hiyo huwezi kufanya hayo unayoyasema labda uwe na channel ya wizi.
Million 2 cash utaitowa wapi?
Tusiandikie mate, weka mchanganuo hapa wa 270k.Usikalili mkuu,sio kila mtu aliyefanikiwa anaiba lakini pia sio kila aliye na mikopo na kubaki na 270K kama kipato cha mwezi ana maisha magumu,Tatizo mnajipa title za wasomi ila uwezo wa kupambanua mambo na kuyaweka katika uhalisia ni mdogo
UNAJUA SISI AMBAO HATUJAWAJI KUPOKEA MSHAHARA MAISHANI..Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
Miaka yote ya kazi anafanya kazi ya kulipa mkopo aliokopa 50m daah aisee riba za mikopo ni balaa ndio maana kutoa umasikini sio mchezo inatakiwa kujitoa kweli...Huyu mtu akichukua mikopo 2 ya 25m akiwa kazini mpaka anastaafu atakuwa ametumia miaka 18 kulipa riba za mikopo
Mikopo ni wendawazimu
Yeah hebu imagine mkuuMiaka yote ya kazi anafanya kazi ya kulipa mkopo aliokopa 50m daah aisee riba za mikopo ni balaa ndio maana kutoa umasikini sio mchezo inatakiwa kujitoa kweli...
Kuna watu wanarudi na pesa kila siku, siku za mapumziko kama hizi wanachukio mishindo inawapita.UNAJUA SISI AMBAO HATUJAWAJI KUPOKEA MSHAHARA MAISHANI..
WAGA TUNAWAZA HV INAWEZEKANAJE KUSUBIRIA HELA MPAKA MWISHO WA MWEZI