Vipo mkuu kutoka Kongo!p
poa nimekuelewa ndg ila naulizia vitenge huuzi vya mafuta?
hvyo vya pic tatu kila pic vinakuwa viwili viwili au?,maana kuna mtu mwingine anasema jola moja lina pic 6 na sh 42000 tu mkuu,Vipo mkuu kutoka Kongo!
Pc3 vina grade 30000/ unauza kati 40000 mpaka 45000 vipo vingine 35000 ila unauza 45000 mpk 50000.
mkuu kwa hiyo 92000 kwa matunzo ya miche yote nazani haiwezi kutosha kabisa,labda kuwepo na maji ya karibu ya bure au unamaanishaje mkuu?Mkuu...jishughurishe na kilimo...cha nyanya...nunua miche 700@1 shilingi 144=108000 fedha itakayo baki utanunulia maji na mbole nazani itabaki 92000/= katika hizi laki 2 zako....na hizo mbegu utazipanda kwenye eneo dogo la robo heka...ukiihudumia vizuri baada ya siku 72 utaanza kuvuna nyanya na kila mche utavuna zaidi ya kilo 7 za nyanya hivyo 7*650=4500 hapo nimekisia kuwa miche 50 itakufa kwasababu mbalimbali...kilo moja ukiiuza kwa shilingi 1000 utakuwa umejitengenezea shilingi 1000*4500=4,500,000. Hayo ni mahesabu ya chini...mkuu...usifanye kitu kwa kukurupuka...si lazima wote tuwe wafanyabiashara wa nguo tunaweza kubadili uelekea.
PC 3 maana yake viko vitenge 3 ambavyo wamama huwa wanajifunga, huyo labda vitakuwa fake, huwezi pata vitenge vya kongo huwa vinakatwa p3, afu kwa mtu anayevijua utagundua ila kwa mgeni ni vigumu kutambua, wachina wanafoji sana, mfano kariakoo vimejaa ukienda kizembe utapigwa tu afu unaambiwa vya Kongo.hvyo vya pic tatu kila pic vinakuwa viwili viwili au?,maana kuna mtu mwingine anasema jola moja lina pic 6 na sh 42000 tu mkuu,
mambo ya kilimo haya hayawez kukutoa wakulima wenyew wanakimbilia mjini jiulize kuna nini mambo ni hapa hap mjiniMkuu...jishughurishe na kilimo...cha nyanya...nunua miche 700@1 shilingi 144=108000 fedha itakayo baki utanunulia maji na mbole nazani itabaki 92000/= katika hizi laki 2 zako....na hizo mbegu utazipanda kwenye eneo dogo la robo heka...ukiihudumia vizuri baada ya siku 72 utaanza kuvuna nyanya na kila mche utavuna zaidi ya kilo 7 za nyanya hivyo 7*650=4500 hapo nimekisia kuwa miche 50 itakufa kwasababu mbalimbali...kilo moja ukiiuza kwa shilingi 1000 utakuwa umejitengenezea shilingi 1000*4500=4,500,000. Hayo ni mahesabu ya chini...mkuu...usifanye kitu kwa kukurupuka...si lazima wote tuwe wafanyabiashara wa nguo tunaweza kubadili uelekea.
Cesy hv we kila sehemu upo tu? NataniaWe jinsia gani ?
HahaaaaaaaCesy hv we kila sehemu upo tu? Natania
mm jinsia ya kiumeWe jinsia gani ?
T-shirt si mtaji mkubwa??Fanya ishu ya T-shirt
> Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?Habar wakuu?
Mdau wenu Naomba Ushauri wenu juu ya swala hili......
Je kwa mtaji wa 200,000 naweza fungua Biashara gan?
hapa mjini Dar-es-salaaam?
NAWASILISHA...........
Uza Katanga na pipi mkuuHabar wakuu?
Mdau wenu Naomba Ushauri wenu juu ya swala hili......
Je kwa mtaji wa 200,000 naweza fungua Biashara gan?
hapa mjini Dar-es-salaaam?
NAWASILISHA...........