Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

idea nzur ila nna swal yan io lak3 yote inatumika kwenye kuku tu?.. suala la banda , msoc na dawa lpo nje ya hyo pesa?
Labda kuku wa kienyeji wanaojitafutia chakula wenyewe na si kuku wa kisasa.
 
mimi nikushauri kwanza nikupongeze kwa kuwa na wazo la uwekezaji katika biashara.

Niukweli usiopingika kwamba ukitaka kuwa tajiri na kuwa huru katika eneo la kifedha basi biashara ndiyo suluhisho.

Kwa mtaji wa laki 3 kwetu sisi wafanyabiashara ni pesa nyingi sana kama ukiweza kuwekeza kwenye fursa zinazokuzunguka na zisizo hitaji mtaji mkubwa.

Siku zote biashara zenye fedha nyingi ni biashara ndogo ndogo.

Ukiweza kununua Mayai kama trei 10 za kuku wa kisasa na ukazunguka kwenye vioski vya kukaanga chips na kuuza kwa jumla ndani ya muda mchache utakuwa umekuza mtaji wako.

Mfano ukanunua trei 1 kwa sh 6500 ukauza elf 7000 kwenye trei 10 utapata elf 10

ukipata wateja 10 kila siku wote wakachukua Trei 10 kila m1 utakuta unatengeneza laki moja kwa siku faida. Hapo hujatoka?

Tatizo la watu wengi hawataki kuanzia chini ndiyo maana wanadharau fedha na kubaki maskini.
mkuu umepata like nyingi sana
 
Kama una laki tatu uza na hiyo smartphone jumlisha then utajua mtaji wako halisi mana unakuta kijana ana genge but anamiliki cm ya laki tatu!
Ukishafanya hivyo angalia biashara yenye mzunguko wa haraka mana kwa mtaji mdogo ukifanya biashara ya mda mrefu sana utakula mtaji buree.
mkuu smart hatakiw kuuza smartphone ni kitu kama utakitumia vizur kitakupa michongo mingi sana mitandaoni
 
300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
 
Fingua hata genge la nyanya , faida utapata tu, ila uwe bahili sana ndio utaona faida yako
 
300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
Kama unafanya hii kitu tuwasiliane tufanye kitu # 0753543236
 
300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.


Nimeipenda hii.

-Kaveli-
 
300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
Mkuu unamaanisha viazi vya chips na sio viazi vitamu kama nilivokuelewa hivi..
 
300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
Good idea
 
Back
Top Bottom