Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kama unania kweli ya biashara kanunue u- fresh ni maji yaliyowekwa ladha na rangi box(ice cream za wanafunzi) ni 4000tsh na zinakaa 100 na zinauzwa kila moja 100tsh.
100*100=10000
Hapo faida ni 6000

Haya kwa hy 50000
Nunua box 8 kwa 32000
Itabaki 18000
Kama unaweza kukomaa nauli kutoka tegeta kiwandani popote kwa dar haizidi 10000
Hiyo 8000 ongeza umeme nyumbani ili uzigandishe tayari kwa biashara

Box 8 * idadi ya pc 100=800
800*100=80000
80000-50000=30000
Faida ni 25000-30000

Aya kijana kazi kwako!
brilliant
 
Nakushauri fanya biashara ya mayai ya kienyeji inalipa sana ila kwa kujituma.
BE A SUPPLIER.
nimependa mtazamo wako chanya GOD BE WITH YOU KIJANA
 
Nakushauri fanya biashara ya mayai ya kienyeji inalipa sana ila kwa kujituma.
BE A SUPPLIER.
nimependa mtazamo wako chanya GOD BE WITH YOU KIJANA
How? Give more details please ili aelewe nasi wengine tujifunze.
 
Kama unania kweli ya biashara kanunue u- fresh ni maji yaliyowekwa ladha na rangi box(ice cream za wanafunzi) ni 4000tsh na zinakaa 100 na zinauzwa kila moja 100tsh.
100*100=10000
Hapo faida ni 6000

Haya kwa hy 50000
Nunua box 8 kwa 32000
Itabaki 18000
Kama unaweza kukomaa nauli kutoka tegeta kiwandani popote kwa dar haizidi 10000
Hiyo 8000 ongeza umeme nyumbani ili uzigandishe tayari kwa biashara

Box 8 * idadi ya pc 100=800
800*100=80000
80000-50000=30000
Faida ni 25000-30000

Aya kijana kazi kwako!
Safi nimeipenda. Hii!
 
Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
1:Nunua mayai kwa wafugaji yauze kwa wakaanga chips na madukani
2: Fanya biashra ya kuuza maji ya kunywa kwenye sehemu zenye mikusanyiko ya watu
(kama uko Dar )
 
Habari Wakuu
.
.
Nimehitimu kidato cha sita wiki iliyopita na sasa nasubiria matokeo ya mtihani huo lakini.
kwa bahati nzuri nilijiwekea Akiba ya Pesa kiasi cha Elfu hamsini ambayo nahitaji kuitumia kuanzisha biashara ambayo naweza kuifanya kwa wakati huu badala ya kukaa nyumbani bila kazi na kusubiria ugali au kucheki movie na kupoteza mda bila sababu.
.
.
Changamoto yangu ni kuwa cjui nijishughulishe na biashara gani ambayo inaweza kuanzia na kiasi hicho cha fedha.
.
Tafadhalini wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu
.
Nifanye nini?
Anza kufanya biashara ya kukaanga pweza.
 
Kama unania kweli ya biashara kanunue u- fresh ni maji yaliyowekwa ladha na rangi box(ice cream za wanafunzi) ni 4000tsh na zinakaa 100 na zinauzwa kila moja 100tsh.
100*100=10000
Hapo faida ni 6000

Haya kwa hy 50000
Nunua box 8 kwa 32000
Itabaki 18000
Kama unaweza kukomaa nauli kutoka tegeta kiwandani popote kwa dar haizidi 10000
Hiyo 8000 ongeza umeme nyumbani ili uzigandishe tayari kwa biashara

Box 8 * idadi ya pc 100=800
800*100=80000
80000-50000=30000
Faida ni 25000-30000

Aya kijana kazi kwako!
Asante mkuu nimekuelewa sana"
 
Kuna watu wanamshauri huyu kijana upumbavu mpaka unashangaa kama huu ushauri umetoka kwa mtu mzima mwenye akili timamuu au wale wenye mihemko?
Eti "nunua bando la halichachi, weka ufanye nauli ya kambini,ka beti n.k" wale wote waliomshauri hivi huyu kijana kwa mtaji wake wa elfu 50 nadiriki kusema ni WAPUMBAVU wa akili na kufikiri"
Kwenye Biashara hakuna ela ndogo ni wewe tu na juhudi yako ya kuitafutia soko tu.
Mdogo wangu, hongera kwanza na nakusihi usikatishwe tamaa na wapuuzi wachache wa JF, wewe umeonyesha nia na akili zaidi inayowashinda hata Graduate wabeba bahasha,zipo vingi vya kufanya ila nitaviorodhesha baadhi
* kama upo Dar amka asubuhi sana nenda katika masoko makubwa ya mitumba kama Soko la Ilala boma n.k muda huo ndio mitumba hufunguliwa na kuuzwa kwa bei nafuu sana, tafuta hata Nguo za watoto kwa buku buku na ukaziuze mtaani kwa kuzitembeza nyumba kwa nyumba hata kwa elfu 2 mbili tayari utakua unakuza mtaji wako taratibu Sana lakini wenye matumaini na kuendelea kujitanua.
*kwa kua sasa hivi ni msimu wa mihogo nenda sokoni asubuhi sana kanunue roba lako la mihogo (hapa yakupasa uwe makini ya kutambua aina ya mihogo kama ni mitamu + inaiva kwa haraka) nunua hata mihogo ya elfu 10 tu kwa kuanzia,
Karai lako La elfu 5 na kuni bila kusahau mafuta , anza kukaanga mihogo taratiibu utapata chochote kitu
*Nenda k/koo kwenye maduka ya vyombo ya jumla AU Maduka ya urembo na viatu (simple shoes za akina mama na watoto wa kike) kanunue vitu vichache tu na anza kuvitembeza na kuvikopesha kwa akina mama wa mitaani (hawa hupenda kukopa sana) alafu waambie utapitia kila siku buku buku, utajikuta unasogea
*tafuta karai size ya kawaida tu, nunua mafuta na uamke asubuhi kwenda machinjio ya kuku, nenda kanunue kuku huko hata kwa kuanzia na wa 3 sio mbaya mfano niliwahi nunua kuku wa kizungu kwa elfu 6, anza biashara mdogo wangu hapo hapo mtaani kwenu

Siku zote muheshimu sana Mtu anayeanzia chini kwenye biashara maana kiu yake ni kubwa mno kufikia mafanikio, naamini na wewe kiu hiyo unayo, Allah akuongoze vyema InshaAllah
 
Back
Top Bottom