Wazo lako ndo Biashara yakowasalaam wakuu
pole na majukumu.
Ningependa kujua hela hiyo inafaa kwa biashara gani kwa kipindi hiki cha magufuli ili nihustle maana huwa napata laki 6 zinaisha bila chenji.
Sumu ya panya, mende, kunguni na viroboto...fanya iyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sumu ya panya, mende, kunguni na viroboto...fanya iyo
ahsante mkuuMatatizona changamoto zilizopo mtaani kwenu ndio fulsa pekee
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sumu ya panya, mende, kunguni na viroboto...fanya iyo
Niko Mara huku wilaya ya tarimeungesema upo maeneo gani?...
hapo ingekuwa rahisi sana kupata ushauri uliyo makini
Hata biashara ya matunda yale ya kwenye vikontena Na biashara ya viazi,mihogo, ndizi za kukaanga inafaa kabisa mkuu
Elezea vzur mkuu tupate na ssNakushaur kaiwekeze
Kwenye kilimo cha mahind
Na maharage walau hata kwa
Robo 3 ya heka
Yaani biashara ya kukaanga mihogo, viazi na ndizi...Pembeni ukiweka na matunda mix kama ndizi, parachichi ,machungwa n.kzinafanywaje mkuu
Ahsante sana ndugu kwel tusaidiane maana ajira sasa ni nguvu zetu wenyeweUna mawazo mazuri sana ndugu. Kilimo ndio mkombozi wetu kwa hakika. Wenyeji wa mbeya waje watujuze bei ya kukodisha mashamba ikoje huko, cha kuanzia ni hiko kwanza